Donor Fatigue: Wazungu wametuchoka, sisi tunanunua ma VX!

Donor Fatigue: Wazungu wametuchoka, sisi tunanunua ma VX!

Matusi ya Donald Trump Rais wa Marekani kwa wananchi na viongozi wa Dunia ya Tatu, hasa Afrika, yamekaa mahali pake.

Wenye akili tunaambiwa kwa sauti kubwa: OMBA OMBA YENU TUMEICHOKA!

Hapo ndio tutamkumbuka Mwalimu Nyerere na siasa yake ya kiuchumi ya KUJITEGEMEA.

Watanzania na waafrika, tutatukanwa hadi lini?


Simlaumu TRUMP!
Alipofanya Magufuli kuijali nchi yake alipigwa vita sana tena mno mpk wanachi waliokua brainwashed na western,sasa anafanya Trump anaonekana shujaa.
Namkubali sana mchina kwakua chake toka kwake ni priority vingine vitafuata
 
Du......mkuu ukiwa pimbi wa kufikiri usijionyeshe hadharani. Kwa Mwalimu nyerere, Magufuli ni mfuta viatu,. Katika nyumba ya Mwalimu , Magufuli hana sifa za kuwa hata mlinzi wa getini.

Akili zako za kijinga zipeleke Chato na ufe kwa covid!
Unahisi kuna chochote umeandika?
 
View attachment 3218052
Wito wa Donald Trump kwa watu wa Afrika.

Mungu amebariki nchi zenu kwa rasilimali nyingi, akili, na uwezo mkubwa. Ni wkt wa kuacha kusubiri mabadiliko kutoka nje na kuanza kuwajibisha viongozi wenu wala rushwa. Acheni kukimbilia mataifa ya kigeni na kuzurura mitaani huko mkitafuta fursa ambazo zinapaswa kuwepo nyumbani kwenu.

Kama Wamarekani wangelikubali ukandamizaji na kubaki kimya, hakungekuwepo na Marekani kama unavyoiona leo. Kama Wafaransa wangekaa kimya mwaka 1775, hakungekuwa na Ufaransa ya leo. Mapinduzi yanahitaji hatua, si unyonge.

Kwa nini mnaendelea kucheza siasa za kikabila huku viongozi wenu wakiiba utajiri wa mataifa yenu bila haya?
Kwa nini mnategemea Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa dawa za msaada wkt mna wataalamu wa madawa na tiba katika nchi zenu?
Nchi zenu zimebarikiwa kwa vipaji na maarifa ya kutengeneza suluhisho za ndani.
Dai mifumo bora ya afya. Acheni viongozi wenu wakimbilie nchi za nje kutibiwa huku hospitali zenu nyumbani zikitelekezwa bila hata huduma thabiti ilihali mshajitawala tangu miaka ya 1960's.

Kwa nini viongozi wenu wanapora rasilimali zenu ili kuishi maisha ya anasa huku barabara zenu zikiwa mbovu, shule hazina fedha za kutosha, na umeme haupo wa uhakika?
Je, mnasubiri malaika waje kutatua matatizo haya?
M/Mungu amewapa uwezo wa kuchukua hatua, basi chukueni hatua!
Mataifa yaliyoendelea yamepata mafanikio kupitia uwajibikaji, kazi ngumu, na kujitolea, siyo kwa kusubiri miujiza.

Marekani ni ya Wamarekani. Ufaransa ni ya Wafaransa. Ni wkt wa ninyi kuwajibika kwa nchi zenu. Acheni kukimbilia nchi za kigeni ili kujifungua na kutafuta uraia wa moja kwa moja kwa watoto wenu. Sera hizo zimeondolewa. Rudi nyumbani na mjenge Taifa ambalo mtaweza kujivunia kuzaliwa huko kwenu.

Mapinduzi huanza na watu, kama mmechoka na uongozi mbovu, inukeni. Dai takwimu sahihi za idadi ya watu, uchaguzi wa haki, na mwisho wa wizi na ufisadi. Acheni kuruhusu wanasiasa wala rushwa na viongozi wa kidini kuwapumbaza kwa kusema ukandamizaji ni “mapenzi ya Mungu.”

Kama Wafaransa waliweza kuungana dhidi ya majeshi na watawala wakandamizaji, nanyi mnaweza. Mabadiliko hayatakuja ikiwa mtakaa kimya na kinyonge. Kama mnataka umeme wa uhakika, barabara nzuri, na maisha bora, chukueni hatua. Acheni kukimbilia Marekani, Canada, au Ulaya kwa kile ambacho mnaweza kujijengea nyumbani.

Ujumbe ni rahisi, inukeni, ungana, na mchukue hatima ya maisha yenu mikononi mwenu. Hatima ya Afrika ipo mikononi mwenu. Iwafikie mioyoni na akilini mwenu, ni ninyi pekee mnaoweza kuunda Afrika mnayoitamani!

Copied nPasted.

Haya yanaitwa MANENO KUNTU. Yaani jinsi alivyozungumza waafrika tunaonekana kama watu tusiojitambua na kushabikia viongozi wa hovyo, wabinafsi, mafisadi, wakabila, wadini n.k

AFRICANS WAKE UP.
 
Matusi ya Donald Trump Rais wa Marekani kwa wananchi na viongozi wa Dunia ya Tatu, hasa Afrika, yamekaa mahali pake.

Wenye akili tunaambiwa kwa sauti kubwa: OMBA OMBA YENU TUMEICHOKA!

Hapo ndio tutamkumbuka Mwalimu Nyerere na siasa yake ya kiuchumi ya KUJITEGEMEA.

Watanzania na waafrika, tutatukanwa hadi lini?


Simlaumu TRUMP!
Trump hapaswi kulaumiwa kwa chochote kile,viongozi wetu wa Africa na hasa mama yenu anajua kuzurura tu,na kuweka Akili mfukoni.Viongozi wa Africa hawasikilizi wananchi sasa maendeleo yanatoka wapi kama ww kiongozi unajichagua mwenyewe .Marekani wananchi wanachagua viongozi tofauti na Afrika ambako viongozi wasio na Akili wala maarifa wanang'ang'ania kuongoza watu,vyama vilivyoishiwa sera na viaumbele ndio havitaki kusikiliza wananchi,Alafu etu ndio tutapata maendeleo kutoka kwenye Akili za wajinga,haitawezekana kamwe Donald Trump na wazungu wengine wengi tu wataendelea kututukana tu mpaka tutakapo badilika ana kuwa na watu halisi kwenye uongozi watakao tupeleka mbele na sio akina SAMIA na CCM yao.Watanzania Wana mambo mengi sana na ya maana kama watasikilizwa bila kubuzuzwa
 
Maneno ya Trump yanataka kunitoa machozi kwani ndiyo ukweli.Nirudipo Tanzania kifikira namkuta Mtanzania kaathiriwa na umwinyi(asiyejishughulisha).Mwingine msomi na hivyo kazi zake ataka ziende na hadhi yake,mwingine kawekeza katika utajiri wa miujiza,mwingine kawekeza bahati nasibu,mwinine kulaumu viongozi kama chanzo cha umasikini nk.Kifupi Watanzania hatujui nini cha kufanya.Viongozi nao kazi ni ubadhirifu na kuogofya wanaopata maono ya kuwaamsha waliolala.
 
View attachment 3218052
Wito wa Donald Trump kwa watu wa Afrika.

Mungu amebariki nchi zenu kwa rasilimali nyingi, akili, na uwezo mkubwa. Ni wkt wa kuacha kusubiri mabadiliko kutoka nje na kuanza kuwajibisha viongozi wenu wala rushwa. Acheni kukimbilia mataifa ya kigeni na kuzurura mitaani huko mkitafuta fursa ambazo zinapaswa kuwepo nyumbani kwenu.

Kama Wamarekani wangelikubali ukandamizaji na kubaki kimya, hakungekuwepo na Marekani kama unavyoiona leo. Kama Wafaransa wangekaa kimya mwaka 1775, hakungekuwa na Ufaransa ya leo. Mapinduzi yanahitaji hatua, si unyonge.

Kwa nini mnaendelea kucheza siasa za kikabila huku viongozi wenu wakiiba utajiri wa mataifa yenu bila haya?
Kwa nini mnategemea Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa dawa za msaada wkt mna wataalamu wa madawa na tiba katika nchi zenu?
Nchi zenu zimebarikiwa kwa vipaji na maarifa ya kutengeneza suluhisho za ndani.
Dai mifumo bora ya afya. Acheni viongozi wenu wakimbilie nchi za nje kutibiwa huku hospitali zenu nyumbani zikitelekezwa bila hata huduma thabiti ilihali mshajitawala tangu miaka ya 1960's.

Kwa nini viongozi wenu wanapora rasilimali zenu ili kuishi maisha ya anasa huku barabara zenu zikiwa mbovu, shule hazina fedha za kutosha, na umeme haupo wa uhakika?
Je, mnasubiri malaika waje kutatua matatizo haya?
M/Mungu amewapa uwezo wa kuchukua hatua, basi chukueni hatua!
Mataifa yaliyoendelea yamepata mafanikio kupitia uwajibikaji, kazi ngumu, na kujitolea, siyo kwa kusubiri miujiza.

Marekani ni ya Wamarekani. Ufaransa ni ya Wafaransa. Ni wkt wa ninyi kuwajibika kwa nchi zenu. Acheni kukimbilia nchi za kigeni ili kujifungua na kutafuta uraia wa moja kwa moja kwa watoto wenu. Sera hizo zimeondolewa. Rudi nyumbani na mjenge Taifa ambalo mtaweza kujivunia kuzaliwa huko kwenu.

Mapinduzi huanza na watu, kama mmechoka na uongozi mbovu, inukeni. Dai takwimu sahihi za idadi ya watu, uchaguzi wa haki, na mwisho wa wizi na ufisadi. Acheni kuruhusu wanasiasa wala rushwa na viongozi wa kidini kuwapumbaza kwa kusema ukandamizaji ni “mapenzi ya Mungu.”

Kama Wafaransa waliweza kuungana dhidi ya majeshi na watawala wakandamizaji, nanyi mnaweza. Mabadiliko hayatakuja ikiwa mtakaa kimya na kinyonge. Kama mnataka umeme wa uhakika, barabara nzuri, na maisha bora, chukueni hatua. Acheni kukimbilia Marekani, Canada, au Ulaya kwa kile ambacho mnaweza kujijengea nyumbani.

Ujumbe ni rahisi, inukeni, ungana, na mchukue hatima ya maisha yenu mikononi mwenu. Hatima ya Afrika ipo mikononi mwenu. Iwafikie mioyoni na akilini mwenu, ni ninyi pekee mnaoweza kuunda Afrika mnayoitamani!

Copied nPasted.
Mpka kizaz Cha chawa kiishe kwanza labda Luka mshamba
 
Sasa hv kuna options babu bila marekani inawezekana Acha kupenda utegemezi
Sema hiyo option ? Ipo? All big tech companies zipo silicon valley, we sio mtu wa technology ndio mana yanasema kuna option ? Option ipi, computer unayotumia ni either ina Linux, Microsoft Windows au IOS, hizi zote ni zao, hii web platform unayotumia wewe kunisema mimi niache utegemezi imegongwa kwa pho, java script na vitu kama hivyo na hizi zote ni language wap wap ndio wametengeneza STANDARD hizo, brother unatumia simu right ? The best processor saivi ni snapdragon 8 elite inayotengenezwa na Qualcomm unajua Qualcomm ilipo ? Ipo San Diego CA. Bro jamaa wamejipanga Nvidia, Intel, Mediatake, MAD, Broadcom, haya makampuni kaangalie yanatoka wapi alafu fuatilia how these companies are incorporated with our daily involvement with technology and the devices we use daily alafu urudi hapa tena
 
Tena ilitakiwa wazuie hata mikopo. Serikali ikitaka kukopa, ikope kutoka mabenki ya ndani, na ndani ya miezi mitatu iwe imeanza kulipa.

Hawa viongozi wetu majizi, wanakopa kufanyia anasa, halafu wanaacha madeni yatakayovitesa vizazi vya baadaye.
 
Mzungu kaona mnamchuna halafu utamu mnampa mchina , haya sasa ndo kasema mkale mlipopeleka mboga
 
Back
Top Bottom