Don't be a nice guy

Kiukweli nimependa ulichoandika.
Umekuwa muandishi Nguli
 
Chai
 
Don't be a nice guy be a good guy
Itoshe kusema usiumize wala usiumizwe...
 
Aisee
 
Unajifanya kutujua sana, ni vile bado hujaingia vizuri kwenye mfumo hizi ngebe zitakuisha tu
Nakubali, wanawake wana taste tofauti tofauti, namna pekee ya kujikomboa kwenye demonic nature ya mwanamke ni kuepuka ku fall in love, na kuepuka hilo unahitaji kukutana na wanawake wengi mno ili uwaelewe vizuri, vinginevyo ukijaa kwenye mfumo utajua hujui.
 
Safi,kujikomboa nikuepuka ku fall in love hapo naweza Linda pochi
 
Ku-fall in love for the first time wengi inawakuta pale miaka ya late teenage mpaka early twenties hao hata wakiwa simps sio wa kuwalaumu sana maana bado wageni ila 25+ jitu bado simp ilo la kuchalazwa viboko
 
Mwanamke mwenye bikira, maadili mema na past nzuri hawezi ku- complain kuhusu maandiko yangu. Kwenye post zangu ukisikia mayowe kutoka kwa mwanamke ujue jiwe limempata
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ Na hapa nshawaona wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…