Don't be a nice guy

Ku-fall in love for the first time wengi inawakuta pale miaka ya late teenage mpaka early twenties hao hata wakiwa simps sio wa kuwalaumu sana maana bado wageni ila 25+ jitu bado simp ilo la kuchalazwa viboko
Simping is a lack of emotional control, to feel less emotions you have to face a lots of heartbreaks. umri, sawa, lakini nadhani uzoefu ndio kitu ambacho, watu wengine umri mkubwa lakn he has never been in a turmoil, so when a woman test, he pours forth
 
Visa kama hivi ni case studies nzuri sana kwa vijana ambao bado wanaamini women are innocent people.
Kuna kundi kubwa sana la wanaume ambalo limedanganywa kuhusu wanawake na kuwaona kwamba wao ni viumbe wapole,wastahimilivu na siku zote ni watu wa kuonewa tu and on top of all they are incapable of cruelity.

Ni rahisi kuskia limtu linasema "wanawake ni mama zetu,dada zetu,shangazi,wake zetu,wadogo zet...blah blah.." hasa pale linapotaka kujustify kosa au upuuzi wa mwanamke, ila ni nadra kuskia wanawake hao hao wakisema "wanaume ni baba zetu,kaka zetu,waume zetu,babu zetu..." mahala popote pale yaani sisi tukifanya upuuzi hawana muda kujustify ni mwendo wa harsh judgement na tena huwa wanatujudge jumla jumla... mfano, kuna ile kauli yao huwa wanasema "all men are potential rapists"
 
Natafuta Ajira Wewe ni fun wa zile video za "Make her beg" 😂😂
 
Yasije yakanikuta yaliyonikuta mwakajana buree... Naijua hiyoo....
Amna... Mimi nakuachia kabla sijampenda zaidi... Wewe ni mwenyeji kuliko mimi... Lazima nifuate unachokisema na kuheshimu hisia zako... Ndio nilivyofundishwa na mama ili kudumisha undugu na kuepusha migogoro ya kifamilia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…