HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,058
- 1,218
Aliungua au kujichubua?Huyu dotnata alipata ajali mbaya ya kuuungua na moto usoni, nadhani Yale majeraha ndo yamepelekwa haya
Huyu alikuwa aanatumia mkorogo bwana
Mbona tunamjua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliungua au kujichubua?Huyu dotnata alipata ajali mbaya ya kuuungua na moto usoni, nadhani Yale majeraha ndo yamepelekwa haya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tamka “mamaa Dotinataa dekoresheni” kwa sauti ya Nyoshi el sadat[emoji4]
Dah nimecheka ghaflaLuiza mbutu mmemuona!!! Unaweza sema kicheche...
Dotnata hajawahi kuzaa labda unamuongelea pacha wake na alishakiri mwenyewe analea tu watu bakiMim mwenyewe najua yuko above 60, na mtoto wake wa kike nimempita four years
Mbona kahojiwa last two months youtube yuko hivi hivi? Huenda unamsemea twinUzee umemvaa ila sio kama ile picha
Urembo fakeCream zimechangia kumzeesha na kumharibu vibaya mno
Hatari sanaUrembo fake
Wahongaji washastaafu wamerudia wake zaoKuna siku nilimuona Dotnata, amekuwa mtu mzima. Kweli maisha ya mwanadamu ni kama maua.
Huyu Nani? Winnie Mandela?
Pamoja na ajali ya moto lakini itakua sio usoni, huyu dada unajua mkorogo ndio kwake ulikua toka enzi hizo hapo za Agip Msimbazi. Watu tunamfahamu huyo muhaya kitambo ujue..huo hapo ni athari za mkorogo tyuuu.Dotinata alipata ajali ya moto usoni sasa alivyopona akawa anajaribu kutumia vipodozi vikali ili kuondoa ule weusi wababuko wa moto bila kujua anazidi kuharibu ngozi yake,
Ana Pacha wake yeye yupo vizuri tu tena mweusi
Duh huo moto utakuwa uliuwasha wewe jamaa yanguHuyu dotnata alipata ajali mbaya ya kuuungua na moto usoni, nadhani Yale majeraha ndo yamepelekwa haya
Alipata ajali ya Moto ukaaribu ngozi yake, hata wewe ukipata ajali ya Moto ngozi yako haitakua the same km hapo kablaKheee hivi wanawake nani aliwaroga na ma mikorogo? Yani mimi na weusi wangu napaka tuu vaseline ya watoto
Fuatilia , sijatoa habari ya uongoDuh huo moto utakuwa uliuwasha wewe jamaa yangu
KumbeeeAlipata ajali ya Moto ukaaribu ngozi yake, hata wewe ukipata ajali ya Moto ngozi yako haitakua the same km hapo kabla
Huyu mbona ni kujichubuaAlipata ajali ya Moto ukaaribu ngozi yake, hata wewe ukipata ajali ya Moto ngozi yako haitakua the same km hapo kabla
Unaishije nje ya dar aisee ukiliwa n'a simba jeWe Abdala, unadhani kila mtu anaishi daslamu?
Weka maelezo na picha ili na sisi wa Tandahimba tupate cha kuchangia.
Nimekwazika sana!
Mamaa DotinataAlikua pisi kali kwa wakati uleee[emoji2]
Aiseeh wadau mmemkumbuka mamaa dotinataa😅kunani?Mamaa Dotinata