situjadiriane
Member
- Jan 5, 2023
- 41
- 49
Hiki ndicho unachoweza kusema juu ya Waziri wa Madini Doto Biteko ni mwanasiasa mpole mtaratibu asiye na Tamaa ya madaraka na asiye na kiburi.
Ni mwanasiasa wa kutolewa mfano pamoja na kuongoza Wizara nyeti Maisha yake ni ya kawaida wakati mwingine tunakumbana naye kwenye daladala.
Ana heshima kwa wakubwa na wadogo. Hongera Rais Samia kwa kulea huyo kijana Doto Biteko
Ni mwanasiasa wa kutolewa mfano pamoja na kuongoza Wizara nyeti Maisha yake ni ya kawaida wakati mwingine tunakumbana naye kwenye daladala.
Ana heshima kwa wakubwa na wadogo. Hongera Rais Samia kwa kulea huyo kijana Doto Biteko