Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
oh nkajua mmetizama pia, ni mengi but alikua akijibu baadha ya hoja za wabunge (as a group cas asingeweza jibu mojamoja)Mbambamba halafu husemi amesema kitu ujinga huu.
how?Una matatizo ya ubongo
ni muaminifu yes, na ndoa ina miaka kadhaaa sasa, sio one week[emoji4]Una maanisha ni muaminifu sana au hujawahi kujaribiwa?
Au ndoa ina wiki 2?
hahah, si kumpa maua yake yote mkuu[emoji28]Kumpa yote maana yake nini
oh nkajua mmetizama pia, ni mengi but alikua akijibu baadha ya hoja za wabunge (as a group cas asingeweza jibu mojamoja)Mvua hizi zinakuchanganya. Hoja alizojibu huzisemi unawaza kungonoka tu na Mh Waziri.
well i think is fine for now, nchi inahitaj watu kama biteko for now, as long as anafaa issue za uongozi serikalini, hayo makando mengine personal hayatuhusu, ila yasiwe ya kuondoka nnje ya mstari na kwenda kinyume na sheria, hapo yatatuhusu na tutamfokea[emoji28]Sema sifa nzuri alizonazo zinazidi makando kando aliyo nayo! Lakini nadhani anaandaliwa kuwa PM wa baadaye!
Nchi haielweki hii unaweza ukute huyo ndio Doto mwenyeweWe humjui Doto wewe.
Hata kama mnatumwa muwe mnaangalia kazi za kuchukua.
Acha hizo!, tunajiandaa kwa Utangamano, hivyo hata akiwa, as long as he is good, kuna tatizo gani?.Dotto Biteko ni mtusi
Mkuu huyu sio muumba,ana mapungufu mengi tu,pammoja kuwa na Phd hajaiva,is short sighted, is just a cadet,means a students Especially kwenye offshore oil exploration.Naunga mkono hoja, tena kwa geopolitics za siasa za nchi yetu, 2025 VP or PM mmoja ni lazima atoke Kanda ya Ziwa, hivyo we have started getting candidates!.
P