Doto Biteko mwanasiasa asiye na kiburi

Doto Biteko mwanasiasa asiye na kiburi

Hiki cheo CHA naibu waziri mkuu nakumbuka kiliishia Kwa mrema...why sasa kirudishwe..?...
 
Nakumbuka nilimpigia debe Biteko humu JF ili Mama ampe Uwaziri Mkuu wa Nchi yetu

Mama ni msikivu
 
wakuu i hope mko salama sana.

guys niseme ukweli, sijui why sikuwahi kumuelewa huyu waziri mkuu (naibu) before. I think sikuwa namfatilia thats why, but aisee , hapa mama samia aliweza,, na maybe hata Majaliwa ni vile tu ishatokea ye ndo waziri mkuu but Dotto Biteko alifaa kua main prime minister na sio majaliwa (vile tu sjui kwa nini nampendaga tu khasim majaliwa hata sjui kwa nini [emoji3], hua kuna mda anazingua mpaka, but still namkubali[emoji16], anyway

nmeangalia hoja alizojibu leo za wabunge mh dotto, aisee yuko vizuri, anajibu in facts , anajishusha, na pia very straight forward, NAMPA MAUA YAKE aisee, shida ilokuepo ya umeme amefafanua vizuri kabisa, hata nngekua bungeni, at first akiwasilisha hoja ningeshikilia shilling ya wizara yake ya nishati cas tanesco nlikua nawachuki mpaka basi, but kwa uwasilishaji wake wa leo, ningeiachia shilingi yake.

vile tu nmeolewa but ningempa yote leo[emoji23], natania bana , apewe maua yake huyu naibu waziri mkuu na waziri wa nishati.
 
wakuu i hope mko salama sana.

guys niseme ukweli, sijui why sikuwahi kumuelewa huyu waziri mkuu (naibu) before. I think sikuwa namfatilia thats why, but aisee , hapa mama samia aliweza,, na maybe hata Majaliwa ni vile tu ishatokea ye ndo waziri mkuu but Dotto Biteko alifaa kua main prime minister na sio majaliwa (vile tu sjui kwa nini nampendaga tu khasim majaliwa hata sjui kwa nini [emoji3], hua kuna mda anazingua mpaka, but still namkubali[emoji16], anyway

nmeangalia hoja alizojibu leo za wabunge mh dotto, aisee yuko vizuri, anajibu in facts , anajishusha, na pia very straight forward, NAMPA MAUA YAKE aisee, shida ilokuepo ya umeme amefafanua vizuri kabisa, hata nngekua bungeni, at first akiwasilisha hoja ningeshikilia shilling ya wizara yake ya nishati cas tanesco nlikua nawachuki mpaka basi, but kwa uwasilishaji wake wa leo, ningeiachia shilingi yake.

vile tu nmeolewa but ningempa yote leo[emoji23], natania bana , apewe maua yake huyu naibu waziri mkuu na waziri wa nishati.

Kumpa yote maana yake nini
 
Mvua hizi zinakuchanganya. Hoja alizojibu huzisemi unawaza kungonoka tu na Mh Waziri.
 
nmeolewa but ningempa yote leo
emoji23.png
Una maanisha ni muaminifu sana au hujawahi kujaribiwa?

Au ndoa ina wiki 2?
 
wakuu i hope mko salama sana.

guys niseme ukweli, sijui why sikuwahi kumuelewa huyu waziri mkuu (naibu) before. I think sikuwa namfatilia thats why, but aisee , hapa mama samia aliweza,, na maybe hata Majaliwa ni vile tu ishatokea ye ndo waziri mkuu but Dotto Biteko alifaa kua main prime minister na sio majaliwa (vile tu sjui kwa nini nampendaga tu khasim majaliwa hata sjui kwa nini [emoji3], hua kuna mda anazingua mpaka, but still namkubali[emoji16], anyway

nmeangalia hoja alizojibu leo za wabunge mh dotto, aisee yuko vizuri, anajibu in facts , anajishusha, na pia very straight forward, NAMPA MAUA YAKE aisee, shida ilokuepo ya umeme amefafanua vizuri kabisa, hata nngekua bungeni, at first akiwasilisha hoja ningeshikilia shilling ya wizara yake ya nishati cas tanesco nlikua nawachuki mpaka basi, but kwa uwasilishaji wake wa leo, ningeiachia shilingi yake.

vile tu nmeolewa but ningempa yote leo[emoji23], natania bana , apewe maua yake huyu naibu waziri mkuu na waziri wa nishati.
Una matatizo ya ubongo
 
Back
Top Bottom