Doto Magari ana hoja kuhusu Wasomi, asikilizwe!

Na huu ndio maana ya ujinga sasa...

Ukiwa unaona elimu ni mali basi jaribu ujingaa aah..
Mjinga upenda majivuno..upena majisifu..asichokijua ujifanya anajuaaaa..
 
Ni kweli, wapo madaktari kibaoo, marubani kibaoo, maengeer kibao, wote uliowataja kibaooo WANAMARINGOOOO ILA MFUKONI HAKUNA KITU na KUTUMIA AKILI "OUT OF THERE DEGREES"" hawatak
Ulichoabdika kinaonyesha akili huna wewe na huyo Dotto Magari

Mngesema baadhi ya wasomi hawana hela mngekuwa walau sahihi

Lakini mumekomalia ohh wasomi hawana pesa

Mo Dewji ana degree mbili msomi hasa na ni bilionea

Reginald Mengi msomi degree tatu na tajiri makampuni kibao na ITV

Tatizo na wewe elimu kichwani huna
 
Huwa hawafikirii hayo
 
Dotto aalikwe vyuo vikuu kutoa mihadhara ya namna ya kujiajiri na kuachana na ujinga wa vyeti.
 
Dotto aalikwe vyuo vikuu kutoa mihadhara ya namna ya kujiajiri na kuachana na ujinga wa vyeti.
Mjinga ataongelea kitu gani wakati elimu hana

Kazi za kujiajiri zingine lazima uwe na vyeti bila vyeti hupati

Mfano unataka kujiajiri kama Injinia wa ujenzi uombe tenda kubwa serikalini hupsti hadi uwe na vyeti vya elimu ukitaka kujiajiri kama dereva wa Lori lako lazima uwe na elimu na cheating umepitia vyuo vya udereva wa magari

Ukitaka kujiajiri kwa kufungua hospitali yako au pharmacy lazima uwe na vyeti asiye na vyeti huko hawezi jiajiri sector hiyo.akitaka atamlipa mwenye vyeti ili biashara hiyo afanye

Kuna kujiajiti kunakohitaji vyeti
Sasa huyo mjinga asiye na vyeti atamfundisha nini msomi anayeelewa kabisa kuwa fani yake kujiajiri kama Fundi umeme lazima awe na cheti na ndio maana anasoma apate vyeti
 
Si sanaa tu hii? Mbona haina shida?
 
Tatizo ukibishana na mjinga ni kupoteza muda wako TU
Watu wanaridhika na kile walichonacho na wanawatumikia watanzaniavizuri TU
Kwani yeye aliona wapi mtu anaye miliki IST analalamika
Aache ushamba wapo watu wameridhika na uzima walionao na amani ya nafsi
Kikubwa mtu apate mahitaji makuu na amani iwepo
 
Doto kapiga kwenye mshono. Fikiria PhD holder analilia uteuzi ukuu wa wilaya
 
Kama wewe ni msomi usikubali andamana mpaka kwa mama kizimkazi,huo ni udhalilishaji kwa wasomi wetu.
 
Mfanyabiashara maarufu wa magari au mtafuta kiki maarufu....

Makonda alishasemaga ,,,Nchi yetu inapenda kuwapa platform watu wajinga wajinga tu.
 
NB: Wasomi msikilizeni Kwa makini, msitumie mihemko kumjibu. Bali jibuni hoja kwa hoja. Msimtukane Wala kumbughudhi hapo ndo kipimo cha usiku wenu kitaonekana.
Kwanza ujue tu huyu ni mfanyabiashara nawaza yeye akihisi yuko sawa lakini hana hekima na hata kiutaratibu anakosea kutamka maneno kama haya. Kwake ajue tu hata wasomi wanaweza kuwa wateja wake. Lakini toka lini mafanikio yanapimwa kulingana na aina ya gari unalotumia? Msivyo wote na akili na wewe umeungana naye kama vile ameongea point ya maana sana.

Mnahitaji kuambiwa ukweli hii dunia inahitaji wasomi atleast tutaweza kuchagua mambo ya maana ya kufanya nje ya uchawa. Hii sio kazi rasmi vijana
 
Inasikitisha anaua brand name ya biashara yake mbele ya wateja

Tatizo la kutosoma ndio hilo hajui brand ni nini? Inajengwaje na inakufaje? Yeye kaamua kuua brand na kukimbiza wateja

Shida ya kutosoma hiyo.Wateja wasomi ndio bye bye mjinga sana huyo
Lakini usimlaumi kasababu hajui au hakujua impact ya maneno yake, kwanchi zilizoendelea ndio angeweza kuona hiyo impact uliyozungumza...
 
Kwanza kabisa, Tanzania hakuna wasomi. As a class, hakuna wasomi.

Wasomi gani?

Hawa kina Kabudi, Bashiru na Kitila Mkumbo wanaopopolewa jalalani na kunyamazishwa kwa ajira za serikalini?

Wasomi gani?
Usiwalaumu sana hao maana hali yao ya uchumi ni duni ndio maana wako radhi kununuliwa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…