Dotto Biteko anashauriwa na kina nani?

Dotto Biteko anashauriwa na kina nani?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Naona wale wote waliokuwa mashabiki wa Magufuli wameamua Kwa makusudi kum push huyu Biteko kuvaa viatu vya Magufuli ili aje awe "the Next Magufuli" matokeo yake wanamshauri vibaya sana au pengine yeye mwenyewe kwa kujaribu kuvaa viatu vya Magufuli ndo anazidi kuharibu na since washauri sometimes ni kama wapambe na machawa hata akikosea hawamwambii ukweli.

Biteko anafanya makosa yake Yale yale ambayo wengine wanafanya lakini huoni akiambiwa lolote.. .bila kujali matokeo.

Biteko Kwa "kukurupuka au kukosa ushauri sahihi kaamua kusitisha likizo za wafanyakazi wote wa Tanesco Kwa muda usiojulikana, bila kujali huo uamuzi utaathiri watu wengi Sana hata ambao wengine si wafanyakazi wa Tanesco.

Wapo ambao walipaswa kwenda kuoa au kuolewa likizo ya mwaka wote wanapaswa tusubiri siku waziri akiamka vizuri na kurudisha likizo. .ndo wapange tarehe za harusi.

Wapi waliotaka kusafiri mbaali kutazama familia, wote hawa watasubiri. Wapo ambao wamechoka na wanataka kupumzika Ku "recharge" hawa nao watalazimika kwenda kazini hadi waziri akiamka na kukumbuka kuwa "kasitisha likizo".

Waziri anafanya maamuzi ya kuathiri watu wengi bila kushauriwa sahihi.

Zipo idara watu wapo wachache, hawawezi kwenda likizo wote Kwa mara moja lazima wajipange kila mwezi Nani anaenda Nani abaki, waziri keshatibua hili na haijulikani lini akiruhusu wangapi wataweza kwenda likizo kabla ya mwaka kuisha.

Yote haya for "political mileage"

Waziri Biteko alipoingia alibadili na mkurugenzi wa shirika halafu miezi michache baadae anaenda tena Tanesco kukoroma kuhusu utendaji bila kumpa nafasi Mkurugenzi mpya kufanya maamuzi yake bila "political interference" sasa hapa swali Waziri Biteko anashauriwa na nani? Hizi political interference Kwa shirika kubwa kama Tanesco zitaisha lini? Zina faida? Kama unaweka mkurugenzi unaemtaka na kumuamini why bado unaendeleza political interference?

Biteko anashauriwa na nani?
 
Amepewa zawadi hiyo wizara Acha aichape atakavyo , chukua hii kanda ya Ziwa wameishika Tanesco Kwa sasa
1. WAZIRI
2. MWENYEKITI WA BODI
3. MKURUGENZI MTENDAJI
4. DIRECTORS KARIBU 50%
Huko Chini vimemo vya kanda ni kama vyote hizo Wilaya wanapena Tu.
CCM HAIJALALA!
 
Naona wale wote waliokuwa mashabiki wa Magufuli wameamua Kwa makusudi kum push huyu Biteko kuvaa viatu vya Magufuli ili aje awe "the Next Magufuli" matokeo yake wanamshauri vibaya sana au pengine yeye mwenyewe kwa kujaribu kuvaa viatu vya Magufuli ndo anazidi kuharibu na since washauri sometimes ni kama wapambe na machawa hata akikosea hawamwambii ukweli.

Biteko anafanya makosa yake Yale yale ambayo wengine wanafanya lakini huoni akiambiwa lolote.. .bila kujali matokeo.

Biteko Kwa "kukurupuka au kukosa ushauri sahihi kaamua kusitisha likizo za wafanyakazi wote wa Tanesco Kwa muda usiojulikana, bila kujali huo uamuzi utaathiri watu wengi Sana hata ambao wengine si wafanyakazi wa Tanesco.

Wapo ambao walipaswa kwenda kuoa au kuolewa likizo ya mwaka wote wanapaswa tusubiri siku waziri akiamka vizuri na kurudisha likizo. .ndo wapange tarehe za harusi.

Wapi waliotaka kusafiri mbaali kutazama familia, wote hawa watasubiri. Wapo ambao wamechoka na wanataka kupumzika Ku "recharge" hawa nao watalazimika kwenda kazini hadi waziri akiamka na kukumbuka kuwa "kasitisha likizo".

Waziri anafanya maamuzi ya kuathiri watu wengi bila kushauriwa sahihi.

Zipo idara watu wapo wachache, hawawezi kwenda likizo wote Kwa mara moja lazima wajipange kila mwezi Nani anaenda Nani abaki, waziri keshatibua hili na haijulikani lini akiruhusu wangapi wataweza kwenda likizo kabla ya mwaka kuisha.

Yote haya for "political mileage"

Waziri Biteko alipoingia alibadili na mkurugenzi wa shirika halafu miezi michache baadae anaenda tena Tanesco kukoroma kuhusu utendaji bila kumpa nafasi Mkurugenzi mpya kufanya maamuzi yake bila "political interference" sasa hapa swali Waziri Biteko anashauriwa na nani? Hizi political interference Kwa shirika kubwa kama Tanesco zitaisha lini? Zina faida? Kama unaweka mkurugenzi unaemtaka na kumuamini why bado unaendeleza political interference?

Biteko anashauriwa na nani?
Na CCM.
 
Naona wale wote waliokuwa mashabiki wa Magufuli wameamua Kwa makusudi kum push huyu Biteko kuvaa viatu vya Magufuli ili aje awe "the Next Magufuli" matokeo yake wanamshauri vibaya sana au pengine yeye mwenyewe kwa kujaribu kuvaa viatu vya Magufuli ndo anazidi kuharibu na since washauri sometimes ni kama wapambe na machawa hata akikosea hawamwambii ukweli.

Biteko anafanya makosa yake Yale yale ambayo wengine wanafanya lakini huoni akiambiwa lolote.. .bila kujali matokeo.

Biteko Kwa "kukurupuka au kukosa ushauri sahihi kaamua kusitisha likizo za wafanyakazi wote wa Tanesco Kwa muda usiojulikana, bila kujali huo uamuzi utaathiri watu wengi Sana hata ambao wengine si wafanyakazi wa Tanesco.

Wapo ambao walipaswa kwenda kuoa au kuolewa likizo ya mwaka wote wanapaswa tusubiri siku waziri akiamka vizuri na kurudisha likizo. .ndo wapange tarehe za harusi.

Wapi waliotaka kusafiri mbaali kutazama familia, wote hawa watasubiri. Wapo ambao wamechoka na wanataka kupumzika Ku "recharge" hawa nao watalazimika kwenda kazini hadi waziri akiamka na kukumbuka kuwa "kasitisha likizo".

Waziri anafanya maamuzi ya kuathiri watu wengi bila kushauriwa sahihi.

Zipo idara watu wapo wachache, hawawezi kwenda likizo wote Kwa mara moja lazima wajipange kila mwezi Nani anaenda Nani abaki, waziri keshatibua hili na haijulikani lini akiruhusu wangapi wataweza kwenda likizo kabla ya mwaka kuisha.

Yote haya for "political mileage"

Waziri Biteko alipoingia alibadili na mkurugenzi wa shirika halafu miezi michache baadae anaenda tena Tanesco kukoroma kuhusu utendaji bila kumpa nafasi Mkurugenzi mpya kufanya maamuzi yake bila "political interference" sasa hapa swali Waziri Biteko anashauriwa na nani? Hizi political interference Kwa shirika kubwa kama Tanesco zitaisha lini? Zina faida? Kama unaweka mkurugenzi unaemtaka na kumuamini why bado unaendeleza political interference?

Biteko anashauriwa na nani?
Kwa nini wanasiasa wa Bongo wanaporonga kwa sababu hawana uwezo mnasema ''wanashauriwa''?
 
Biteko sio yule unayemjua.
Ameambishwa asali tamu sana.
Ni watu aina ya kina Bashe .
Machoni mwa watu anajifanya mzalendo ila nyuma ya pazia ni kundi la wapigaji .
Amewekwa pale kimkakati.
Pilipiki mia saba kila mkoa sio mchezo
Naona wale wote waliokuwa mashabiki wa Magufuli wameamua Kwa makusudi kum push huyu Biteko kuvaa viatu vya Magufuli ili aje awe "the Next Magufuli" matokeo yake wanamshauri vibaya sana au pengine yeye mwenyewe kwa kujaribu kuvaa viatu vya Magufuli ndo anazidi kuharibu na since washauri sometimes ni kama wapambe na machawa hata akikosea hawamwambii ukweli.

Biteko anafanya makosa yake Yale yale ambayo wengine wanafanya lakini huoni akiambiwa lolote.. .bila kujali matokeo.

Biteko Kwa "kukurupuka au kukosa ushauri sahihi kaamua kusitisha likizo za wafanyakazi wote wa Tanesco Kwa muda usiojulikana, bila kujali huo uamuzi utaathiri watu wengi Sana hata ambao wengine si wafanyakazi wa Tanesco.

Wapo ambao walipaswa kwenda kuoa au kuolewa likizo ya mwaka wote wanapaswa tusubiri siku waziri akiamka vizuri na kurudisha likizo. .ndo wapange tarehe za harusi.

Wapi waliotaka kusafiri mbaali kutazama familia, wote hawa watasubiri. Wapo ambao wamechoka na wanataka kupumzika Ku "recharge" hawa nao watalazimika kwenda kazini hadi waziri akiamka na kukumbuka kuwa "kasitisha likizo".

Waziri anafanya maamuzi ya kuathiri watu wengi bila kushauriwa sahihi.

Zipo idara watu wapo wachache, hawawezi kwenda likizo wote Kwa mara moja lazima wajipange kila mwezi Nani anaenda Nani abaki, waziri keshatibua hili na haijulikani lini akiruhusu wangapi wataweza kwenda likizo kabla ya mwaka kuisha.

Yote haya for "political mileage"

Waziri Biteko alipoingia alibadili na mkurugenzi wa shirika halafu miezi michache baadae anaenda tena Tanesco kukoroma kuhusu utendaji bila kumpa nafasi Mkurugenzi mpya kufanya maamuzi yake bila "political interference" sasa hapa swali Waziri Biteko anashauriwa na nani? Hizi political interference Kwa shirika kubwa kama Tanesco zitaisha lini? Zina faida? Kama unaweka mkurugenzi unaemtaka na kumuamini why bado unaendeleza political interference?

Biteko anashauriwa na nani?
 
Naona wale wote waliokuwa mashabiki wa Magufuli wameamua Kwa makusudi kum push huyu Biteko kuvaa viatu vya Magufuli ili aje awe "the Next Magufuli" matokeo yake wanamshauri vibaya sana au pengine yeye mwenyewe kwa kujaribu kuvaa viatu vya Magufuli ndo anazidi kuharibu na since washauri sometimes ni kama wapambe na machawa hata akikosea hawamwambii ukweli.

Biteko anafanya makosa yake Yale yale ambayo wengine wanafanya lakini huoni akiambiwa lolote.. .bila kujali matokeo.

Biteko Kwa "kukurupuka au kukosa ushauri sahihi kaamua kusitisha likizo za wafanyakazi wote wa Tanesco Kwa muda usiojulikana, bila kujali huo uamuzi utaathiri watu wengi Sana hata ambao wengine si wafanyakazi wa Tanesco.

Wapo ambao walipaswa kwenda kuoa au kuolewa likizo ya mwaka wote wanapaswa tusubiri siku waziri akiamka vizuri na kurudisha likizo. .ndo wapange tarehe za harusi.

Wapi waliotaka kusafiri mbaali kutazama familia, wote hawa watasubiri. Wapo ambao wamechoka na wanataka kupumzika Ku "recharge" hawa nao watalazimika kwenda kazini hadi waziri akiamka na kukumbuka kuwa "kasitisha likizo".

Waziri anafanya maamuzi ya kuathiri watu wengi bila kushauriwa sahihi.

Zipo idara watu wapo wachache, hawawezi kwenda likizo wote Kwa mara moja lazima wajipange kila mwezi Nani anaenda Nani abaki, waziri keshatibua hili na haijulikani lini akiruhusu wangapi wataweza kwenda likizo kabla ya mwaka kuisha.

Yote haya for "political mileage"

Waziri Biteko alipoingia alibadili na mkurugenzi wa shirika halafu miezi michache baadae anaenda tena Tanesco kukoroma kuhusu utendaji bila kumpa nafasi Mkurugenzi mpya kufanya maamuzi yake bila "political interference" sasa hapa swali Waziri Biteko anashauriwa na nani? Hizi political interference Kwa shirika kubwa kama Tanesco zitaisha lini? Zina faida? Kama unaweka mkurugenzi unaemtaka na kumuamini why bado unaendeleza political interference?

Biteko anashauriwa na nani?
ALIYATAMKA HAYO WAKATI TATIZO LA UMEME LIKIWA AT PEAK LEVEL, SIDHANI KAMA SUALA LILE BAADA YA HALI YA UMEME KUTENGAMAA LINA MASHIKO TENA.
 
Katika viongozi ambao sikutegemea kuwa ni vichwa haswa ni huyo Biteko. Ukiambiwa mabalaa anayoyafanya huko wizarani huwezi kuamini, katika viongozi mahiri awamu hii Biteko anaongoza.

Tutegemee kumuona ngazi za juu zaidi awamu ijayo, anachapa kazi bila kelele.
 
Naona wale wote waliokuwa mashabiki wa Magufuli wameamua Kwa makusudi kum push huyu Biteko kuvaa viatu vya Magufuli ili aje awe "the Next Magufuli" matokeo yake wanamshauri vibaya sana au pengine yeye mwenyewe kwa kujaribu kuvaa viatu vya Magufuli ndo anazidi kuharibu na since washauri sometimes ni kama wapambe na machawa hata akikosea hawamwambii ukweli.

Biteko anafanya makosa yake Yale yale ambayo wengine wanafanya lakini huoni akiambiwa lolote.. .bila kujali matokeo.

Biteko Kwa "kukurupuka au kukosa ushauri sahihi kaamua kusitisha likizo za wafanyakazi wote wa Tanesco Kwa muda usiojulikana, bila kujali huo uamuzi utaathiri watu wengi Sana hata ambao wengine si wafanyakazi wa Tanesco.

Wapo ambao walipaswa kwenda kuoa au kuolewa likizo ya mwaka wote wanapaswa tusubiri siku waziri akiamka vizuri na kurudisha likizo. .ndo wapange tarehe za harusi.

Wapi waliotaka kusafiri mbaali kutazama familia, wote hawa watasubiri. Wapo ambao wamechoka na wanataka kupumzika Ku "recharge" hawa nao watalazimika kwenda kazini hadi waziri akiamka na kukumbuka kuwa "kasitisha likizo".

Waziri anafanya maamuzi ya kuathiri watu wengi bila kushauriwa sahihi.

Zipo idara watu wapo wachache, hawawezi kwenda likizo wote Kwa mara moja lazima wajipange kila mwezi Nani anaenda Nani abaki, waziri keshatibua hili na haijulikani lini akiruhusu wangapi wataweza kwenda likizo kabla ya mwaka kuisha.

Yote haya for "political mileage"

Waziri Biteko alipoingia alibadili na mkurugenzi wa shirika halafu miezi michache baadae anaenda tena Tanesco kukoroma kuhusu utendaji bila kumpa nafasi Mkurugenzi mpya kufanya maamuzi yake bila "political interference" sasa hapa swali Waziri Biteko anashauriwa na nani? Hizi political interference Kwa shirika kubwa kama Tanesco zitaisha lini? Zina faida? Kama unaweka mkurugenzi unaemtaka na kumuamini why bado unaendeleza political interference?

Biteko anashauriwa na nani?
Mdau nilifikiri una point ya msingi.

Anyway una point lakini haina uzito kivile. Kulingana na Title ya thread
 
Katika viongozi ambao sikutegemea kuwa ni vichwa haswa ni huyo Biteko. Ukiambiwa mabalaa anayoyafanya huko wizarani huwezi kuamini, katika viongozi mahiri awamu hii Biteko anaongoza.

Tutegemee kumuona ngazi za juu zaidi awamu ijayo, anachapa kazi bila kelele.
Kabisa, he is brilliant and wise.
Hizo likizo zipo tu.
Hakuna mtu mwenye sababu ya msingi atakayeshindwa kupata likizo.

Ni huyu mdau anataka kukuza tu hoja
 
Naona wale wote waliokuwa mashabiki wa Magufuli wameamua Kwa makusudi kum push huyu Biteko kuvaa viatu vya Magufuli ili aje awe "the Next Magufuli" matokeo yake wanamshauri vibaya sana au pengine yeye mwenyewe kwa kujaribu kuvaa viatu vya Magufuli ndo anazidi kuharibu na since washauri sometimes ni kama wapambe na machawa hata akikosea hawamwambii ukweli.

Biteko anafanya makosa yake Yale yale ambayo wengine wanafanya lakini huoni akiambiwa lolote.. .bila kujali matokeo.

Biteko Kwa "kukurupuka au kukosa ushauri sahihi kaamua kusitisha likizo za wafanyakazi wote wa Tanesco Kwa muda usiojulikana, bila kujali huo uamuzi utaathiri watu wengi Sana hata ambao wengine si wafanyakazi wa Tanesco.

Wapo ambao walipaswa kwenda kuoa au kuolewa likizo ya mwaka wote wanapaswa tusubiri siku waziri akiamka vizuri na kurudisha likizo. .ndo wapange tarehe za harusi.

Wapi waliotaka kusafiri mbaali kutazama familia, wote hawa watasubiri. Wapo ambao wamechoka na wanataka kupumzika Ku "recharge" hawa nao watalazimika kwenda kazini hadi waziri akiamka na kukumbuka kuwa "kasitisha likizo".

Waziri anafanya maamuzi ya kuathiri watu wengi bila kushauriwa sahihi.

Zipo idara watu wapo wachache, hawawezi kwenda likizo wote Kwa mara moja lazima wajipange kila mwezi Nani anaenda Nani abaki, waziri keshatibua hili na haijulikani lini akiruhusu wangapi wataweza kwenda likizo kabla ya mwaka kuisha.

Yote haya for "political mileage"

Waziri Biteko alipoingia alibadili na mkurugenzi wa shirika halafu miezi michache baadae anaenda tena Tanesco kukoroma kuhusu utendaji bila kumpa nafasi Mkurugenzi mpya kufanya maamuzi yake bila "political interference" sasa hapa swali Waziri Biteko anashauriwa na nani? Hizi political interference Kwa shirika kubwa kama Tanesco zitaisha lini? Zina faida? Kama unaweka mkurugenzi unaemtaka na kumuamini why bado unaendeleza political interference?

Biteko anashauriwa na nani?
Kama huo uamuzi utatuhakikishia umeme wa uhakika sisi raia tumeridhika nao
 
Back
Top Bottom