Dotto Biteko anashauriwa na kina nani?

Dotto Biteko anashauriwa na kina nani?

Naona wale wote waliokuwa mashabiki wa Magufuli wameamua Kwa makusudi kum push huyu Biteko kuvaa viatu vya Magufuli ili aje awe "the Next Magufuli" matokeo yake wanamshauri vibaya sana au pengine yeye mwenyewe kwa kujaribu kuvaa viatu vya Magufuli ndo anazidi kuharibu na since washauri sometimes ni kama wapambe na machawa hata akikosea hawamwambii ukweli.

Biteko anafanya makosa yake Yale yale ambayo wengine wanafanya lakini huoni akiambiwa lolote.. .bila kujali matokeo.

Biteko Kwa "kukurupuka au kukosa ushauri sahihi kaamua kusitisha likizo za wafanyakazi wote wa Tanesco Kwa muda usiojulikana, bila kujali huo uamuzi utaathiri watu wengi Sana hata ambao wengine si wafanyakazi wa Tanesco.

Wapo ambao walipaswa kwenda kuoa au kuolewa likizo ya mwaka wote wanapaswa tusubiri siku waziri akiamka vizuri na kurudisha likizo. .ndo wapange tarehe za harusi.

Wapi waliotaka kusafiri mbaali kutazama familia, wote hawa watasubiri. Wapo ambao wamechoka na wanataka kupumzika Ku "recharge" hawa nao watalazimika kwenda kazini hadi waziri akiamka na kukumbuka kuwa "kasitisha likizo".

Waziri anafanya maamuzi ya kuathiri watu wengi bila kushauriwa sahihi.

Zipo idara watu wapo wachache, hawawezi kwenda likizo wote Kwa mara moja lazima wajipange kila mwezi Nani anaenda Nani abaki, waziri keshatibua hili na haijulikani lini akiruhusu wangapi wataweza kwenda likizo kabla ya mwaka kuisha.

Yote haya for "political mileage"

Waziri Biteko alipoingia alibadili na mkurugenzi wa shirika halafu miezi michache baadae anaenda tena Tanesco kukoroma kuhusu utendaji bila kumpa nafasi Mkurugenzi mpya kufanya maamuzi yake bila "political interference" sasa hapa swali Waziri Biteko anashauriwa na nani? Hizi political interference Kwa shirika kubwa kama Tanesco zitaisha lini? Zina faida? Kama unaweka mkurugenzi unaemtaka na kumuamini why bado unaendeleza political interference?

Biteko anashauriwa na nani?
Hamna namna tumrudishe Makamba ufurahi.
 
Kama umechoka kazi basi acha kazi ili nije huku mitaani tuungane na uone kama utamaliza hata Wiki na zile kauli zenu za kajiajiri. Wewe kwanza shukuru Mungu umepata ajira na unalipwa mshahara.Hivi kweli huoni hata aibu kusema habari za mtu kwenda kuoa na kuolewa? Basi acha kazi ili ukaoe na kuolewa

Watanzania tunataka umeme tu na siyo malalamiko yasiyo na mashiko
 
Katika viongozi ambao sikutegemea kuwa ni vichwa haswa ni huyo Biteko. Ukiambiwa mabalaa anayoyafanya huko wizarani huwezi kuamini, katika viongozi mahiri awamu hii Biteko anaongoza.

Tutegemee kumuona ngazi za juu zaidi awamu ijayo, anachapa kazi bila kelele.
Naunga mkono hoja
 
Amepewa zawadi hiyo wizara Acha aichape atakavyo , chukua hii kanda ya Ziwa wameishika Tanesco Kwa sasa
1. WAZIRI
2. MWENYEKITI WA BODI
3. MKURUGENZI MTENDAJI
4. DIRECTORS KARIBU 50%
Huko Chini vimemo vya kanda ni kama vyote hizo Wilaya wanapena Tu.
CCM HAIJALALA!
Mmeanza majungu baada ya kuona umeme umeanza kutulia ili turudi kulekule sasa hao kama wa kanda ya ziwa wanachapa kazi na umeme unapatikana shida ipo wapi?
Au unataka wa kanda yako alafu umeme usiwepo?
 
Ili mradi tu asingiziwe magufuli,kila anachokifanya mtu binafsi jiwe anatajwa. Kizimkazi kila kukicha anavurunda eti nae mnasingizia anashauriwa vibaya. Mtu akivurunda ni yeye msisingizie washauri wake
Naam, si sahihi kumsingizia marehemu. Lkn pia wafanyakazi wa serekali wanadeka sana wanahitaji mtu wa kuwapeleka mchakamchaka, bila hivyo kila kitu kitakwama.
Mf. Jana nilimwagiza mtu TRA Mwanza anichukulie control no. niweze kufanya malipo ya robo ya 2, huyo mtu alijibiwa kuwa hawatompa control no. mpaka mwenye TIN no aje mwenyewe!.
Btw siku hizi kwetu umeme haukatikikatiki, kama ni matokeo ya uamuzi wa Biteko, namuunga mkono.
 
Naona wale wote waliokuwa mashabiki wa Magufuli wameamua Kwa makusudi kum push huyu Biteko kuvaa viatu vya Magufuli ili aje awe "the Next Magufuli" matokeo yake wanamshauri vibaya sana au pengine yeye mwenyewe kwa kujaribu kuvaa viatu vya Magufuli ndo anazidi kuharibu na since washauri sometimes ni kama wapambe na machawa hata akikosea hawamwambii ukweli.

Biteko anafanya makosa yake Yale yale ambayo wengine wanafanya lakini huoni akiambiwa lolote.. .bila kujali matokeo.

Biteko Kwa "kukurupuka au kukosa ushauri sahihi kaamua kusitisha likizo za wafanyakazi wote wa Tanesco Kwa muda usiojulikana, bila kujali huo uamuzi utaathiri watu wengi Sana hata ambao wengine si wafanyakazi wa Tanesco.

Wapo ambao walipaswa kwenda kuoa au kuolewa likizo ya mwaka wote wanapaswa tusubiri siku waziri akiamka vizuri na kurudisha likizo. .ndo wapange tarehe za harusi.

Wapi waliotaka kusafiri mbaali kutazama familia, wote hawa watasubiri. Wapo ambao wamechoka na wanataka kupumzika Ku "recharge" hawa nao watalazimika kwenda kazini hadi waziri akiamka na kukumbuka kuwa "kasitisha likizo".

Waziri anafanya maamuzi ya kuathiri watu wengi bila kushauriwa sahihi.

Zipo idara watu wapo wachache, hawawezi kwenda likizo wote Kwa mara moja lazima wajipange kila mwezi Nani anaenda Nani abaki, waziri keshatibua hili na haijulikani lini akiruhusu wangapi wataweza kwenda likizo kabla ya mwaka kuisha.

Yote haya for "political mileage"

Waziri Biteko alipoingia alibadili na mkurugenzi wa shirika halafu miezi michache baadae anaenda tena Tanesco kukoroma kuhusu utendaji bila kumpa nafasi Mkurugenzi mpya kufanya maamuzi yake bila "political interference" sasa hapa swali Waziri Biteko anashauriwa na nani? Hizi political interference Kwa shirika kubwa kama Tanesco zitaisha lini? Zina faida? Kama unaweka mkurugenzi unaemtaka na kumuamini why bado unaendeleza political interference?

Biteko anashauriwa na nani?
Kwa ajili ya uwajibikaji ilikuwa sawa kufuta likizo washughulikie changamoto za umeme zilizokuwepo, kiongozi anayejitambua kufuta likizo au safari za nje ili kutatua changamoto huwa ni kawaida sana.
Kama tayari kuna electric stability viongozi wawasiliane na uongozi wa juu kuhusu likizo zao coz ni takwa la kisheria.
 
Ili mradi tu asingiziwe magufuli,kila anachokifanya mtu binafsi jiwe anatajwa. Kizimkazi kila kukicha anavurunda eti nae mnasingizia anashauriwa vibaya. Mtu akivurunda ni yeye msisingizie washauri wake
Hii mijitu mingine midini dini hii bila kumtaja Magufuli kwa kila baya la nchi hii haiwezi kuishi. Huko CCM angalau Biteko ndiye anaonekana kuwa a voice of reason; na siyo mkurupukaji.

Na pengine badala ya kumlaumu marehemu, vipi lawama kama zingeelekezwa kwa bosi wake wa sasa? Kwa nini anaruhusu waziri wake afanye mambo ya KiMagufuli Gufuli? Si amfukuze tu? Doesn't the buck stop with her? 😳😳😳🤔🤔🤔
 
Naona wale wote waliokuwa mashabiki wa Magufuli wameamua Kwa makusudi kum push huyu Biteko kuvaa viatu vya Magufuli ili aje awe "the Next Magufuli" matokeo yake wanamshauri vibaya sana au pengine yeye mwenyewe kwa kujaribu kuvaa viatu vya Magufuli ndo anazidi kuharibu na since washauri sometimes ni kama wapambe na machawa hata akikosea hawamwambii ukweli.

Biteko anafanya makosa yake Yale yale ambayo wengine wanafanya lakini huoni akiambiwa lolote.. .bila kujali matokeo.

Biteko Kwa "kukurupuka au kukosa ushauri sahihi kaamua kusitisha likizo za wafanyakazi wote wa Tanesco Kwa muda usiojulikana, bila kujali huo uamuzi utaathiri watu wengi Sana hata ambao wengine si wafanyakazi wa Tanesco.

Wapo ambao walipaswa kwenda kuoa au kuolewa likizo ya mwaka wote wanapaswa tusubiri siku waziri akiamka vizuri na kurudisha likizo. .ndo wapange tarehe za harusi.

Wapi waliotaka kusafiri mbaali kutazama familia, wote hawa watasubiri. Wapo ambao wamechoka na wanataka kupumzika Ku "recharge" hawa nao watalazimika kwenda kazini hadi waziri akiamka na kukumbuka kuwa "kasitisha likizo".

Waziri anafanya maamuzi ya kuathiri watu wengi bila kushauriwa sahihi.

Zipo idara watu wapo wachache, hawawezi kwenda likizo wote Kwa mara moja lazima wajipange kila mwezi Nani anaenda Nani abaki, waziri keshatibua hili na haijulikani lini akiruhusu wangapi wataweza kwenda likizo kabla ya mwaka kuisha.

Yote haya for "political mileage"

Waziri Biteko alipoingia alibadili na mkurugenzi wa shirika halafu miezi michache baadae anaenda tena Tanesco kukoroma kuhusu utendaji bila kumpa nafasi Mkurugenzi mpya kufanya maamuzi yake bila "political interference" sasa hapa swali Waziri Biteko anashauriwa na nani? Hizi political interference Kwa shirika kubwa kama Tanesco zitaisha lini? Zina faida? Kama unaweka mkurugenzi unaemtaka na kumuamini why bado unaendeleza political interference?

Biteko anashauriwa na nani?
Kati ya hao wafanyakazi shemeji kakumbwa na hiyo nini!
 
Issue ya kuvaa viatu vya JPM hiyo hakuna hana uwezo, sihitaji kuongea sana ila wenye kazi zao wakizama deep watanielewa.
 
Amepewa zawadi hiyo wizara Acha aichape atakavyo , chukua hii kanda ya Ziwa wameishika Tanesco Kwa sasa
1. WAZIRI
2. MWENYEKITI WA BODI
3. MKURUGENZI MTENDAJI
4. DIRECTORS KARIBU 50%
Huko Chini vimemo vya kanda ni kama vyote hizo Wilaya wanapena Tu.
CCM HAIJALALA!
Ila kanda ya ziwa hiyo tabia wanayo sana,ukienda pale chuo ubaharia kila idara wamejazana wenyewe,yan pale ni vululu vululu,kulikua na wakenya na waganda wanakuja kwa wingi kusoma pale ila now wameanza kupakimbia sababu ya utaratibu wa kishamba
 
Naam, si sahihi kumsingizia marehemu. Lkn pia wafanyakazi wa serekali wanadeka sana wanahitaji mtu wa kuwapeleka mchakamchaka, bila hivyo kila kitu kitakwama.
Mf. Jana nilimwagiza mtu TRA Mwanza anichukulie control no. niweze kufanya malipo ya robo ya 2, huyo mtu alijibiwa kuwa hawatompa control no. mpaka mwenye TIN no aje mwenyewe!.
Btw siku hizi kwetu umeme haukatikikatiki, kama ni matokeo ya uamuzi wa Biteko, namuunga mkono.

nafikiri mambo mengine mnalaumu kwa kutokuelewa labda, hapo tra walikuwa sahihi kuna vitu sababu ya data protection na hii ni sheria muhusika mwenyewe lazima afike na kutoa kitambulisho na ndiyo maana ya kitambulisho, hiyo control namba ni yako wewe na siyo ya mtoto wako wala mume/mke na haipaswi kupewa mwingine, hapo walikuwa sahihi kabisa …
 
Hakuna aliyewahi kuonywa na mwana JF The Boss akakaza shingo alafu akaja kupona!

Uzi maarufu zaidi wa kumuonya Magufuli upo humu. Alikaza shingo na kilichomkuta kila mtu anakifahamu
 
Back
Top Bottom