much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Basi aache kazi akaoeWewe kwa usumbufu ule wa umeme ukaona ndoa yako ina umuhimu kuliko uchumi wa nchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi aache kazi akaoeWewe kwa usumbufu ule wa umeme ukaona ndoa yako ina umuhimu kuliko uchumi wa nchi?
AaahaaaMagufuli hawezi kurudi Kwani alishamaliza Zamu yake
Ajaye ni Mzalendo namba 3 Dr Mwigullu PhD, mkae Kwa password 🐼
Ni hulka Yao na inapelekea hadi wa ngazi ya Chini kuwa viburi sana, sijui huko kwenye vikao vyao vya kikabila wanamezeshana sumu gani? . Uongozi mzuri ni kuwathamini watu wote haswa Kwa uchapa kazi na si kubebana sana.Ila kanda ya ziwa hiyo tabia wanayo sana,ukienda pale chuo ubaharia kila idara wamejazana wenyewe,yan pale ni vululu vululu,kulikua na wakenya na waganda wanakuja kwa wingi kusoma pale ila now wameanza kupakimbia sababu ya utaratibu wa kishamba
Dereva amefichwa kwenye kofia ya Naibu waziri mkuu , hakuna wa kumshughulikia labda Mwenyekiti wa CCM Taifa.Kama wanafanya hivi kweli basi washughulikiwe haraka
Ukiona hivyo huyu sio muwaijikaji, anataka business as usual, ameona umeme umetemgemaa sasa analeta vioja vyake. Then analeta umajitaka kwa Magufuli.Likizo tu ndo uongee yote haya?
Hapo awali palikuwa pameshikwa na nani asiyekuwa mshamba?Ila kanda ya ziwa hiyo tabia wanayo sana,ukienda pale chuo ubaharia kila idara wamejazana wenyewe,yan pale ni vululu vululu,kulikua na wakenya na waganda wanakuja kwa wingi kusoma pale ila now wameanza kupakimbia sababu ya utaratibu wa kishamba
Miaka ya mkapa kulikua na capt mmoja mznz baadae akashika mchaga,baada ya hapo chuo kikashikwa na watu wa kanda ya ziwa ndio hadi leo,chuo kinaendeshwa kizamani mnoHapo awali palikuwa pameshikwa na nani asiyekuwa mshamba?
Tuwape hiko chuo Wakorea wakiendesheMiaka ya mkapa kulikua na capt mmoja mznz baadae akashika mchaga,baada ya hapo chuo kikashikwa na watu wa kanda ya ziwa ndio hadi leo,chuo kinaendeshwa kizamani mno
Kama timu yake ni wale wanaogaagaa mchangani kumlilia Samia unategemea niniNaona wale wote waliokuwa mashabiki wa Magufuli wameamua Kwa makusudi kum push huyu Biteko kuvaa viatu vya Magufuli ili aje awe "the Next Magufuli" matokeo yake wanamshauri vibaya sana au pengine yeye mwenyewe kwa kujaribu kuvaa viatu vya Magufuli ndo anazidi kuharibu na since washauri sometimes ni kama wapambe na machawa hata akikosea hawamwambii ukweli.
Biteko anafanya makosa yake Yale yale ambayo wengine wanafanya lakini huoni akiambiwa lolote.. .bila kujali matokeo.
Biteko Kwa "kukurupuka au kukosa ushauri sahihi kaamua kusitisha likizo za wafanyakazi wote wa Tanesco Kwa muda usiojulikana, bila kujali huo uamuzi utaathiri watu wengi Sana hata ambao wengine si wafanyakazi wa Tanesco.
Wapo ambao walipaswa kwenda kuoa au kuolewa likizo ya mwaka wote wanapaswa tusubiri siku waziri akiamka vizuri na kurudisha likizo. .ndo wapange tarehe za harusi.
Wapi waliotaka kusafiri mbaali kutazama familia, wote hawa watasubiri. Wapo ambao wamechoka na wanataka kupumzika Ku "recharge" hawa nao watalazimika kwenda kazini hadi waziri akiamka na kukumbuka kuwa "kasitisha likizo".
Waziri anafanya maamuzi ya kuathiri watu wengi bila kushauriwa sahihi.
Zipo idara watu wapo wachache, hawawezi kwenda likizo wote Kwa mara moja lazima wajipange kila mwezi Nani anaenda Nani abaki, waziri keshatibua hili na haijulikani lini akiruhusu wangapi wataweza kwenda likizo kabla ya mwaka kuisha.
Yote haya for "political mileage"
Waziri Biteko alipoingia alibadili na mkurugenzi wa shirika halafu miezi michache baadae anaenda tena Tanesco kukoroma kuhusu utendaji bila kumpa nafasi Mkurugenzi mpya kufanya maamuzi yake bila "political interference" sasa hapa swali Waziri Biteko anashauriwa na nani? Hizi political interference Kwa shirika kubwa kama Tanesco zitaisha lini? Zina faida? Kama unaweka mkurugenzi unaemtaka na kumuamini why bado unaendeleza political interference?
Biteko anashauriwa na nani?
Be specific bwana. Kanda ya ziwa ina mamilioni ya watu kutoka makabila mbalimbali wewe "mbaguzi"Miaka ya mkapa kulikua na capt mmoja mznz baadae akashika mchaga,baada ya hapo chuo kikashikwa na watu wa kanda ya ziwa ndio hadi leo,chuo kinaendeshwa kizamani mno
Anataka wachagua na wazanzibarTuwape hiko chuo Wakorea wakiendeshe
N kama wewe tu bila kusumbua watu huklali vizuri siku hiyo, unalalamika nini sasaHii mijitu mingine midini dini hii bila kumtaja Magufuli kwa kila baya la nchi hii haiwezi kuishi. Huko CCM angalau Biteko ndiye anaonekana kuwa a voice of reason; na siyo mkurupukaji.
Na pengine badala ya kumlaumu marehemu, vipi lawama kama zingeelekezwa kwa bosi wake wa sasa? Kwa nini anaruhusu waziri wake afanye mambo ya KiMagufuli Gufuli? Si amfukuze tu? Doesn't the buck stop with her? 😳😳😳🤔🤔🤔