Dotto Biteko anashauriwa na kina nani?

Dotto Biteko anashauriwa na kina nani?

Ila kanda ya ziwa hiyo tabia wanayo sana,ukienda pale chuo ubaharia kila idara wamejazana wenyewe,yan pale ni vululu vululu,kulikua na wakenya na waganda wanakuja kwa wingi kusoma pale ila now wameanza kupakimbia sababu ya utaratibu wa kishamba
Ni hulka Yao na inapelekea hadi wa ngazi ya Chini kuwa viburi sana, sijui huko kwenye vikao vyao vya kikabila wanamezeshana sumu gani? . Uongozi mzuri ni kuwathamini watu wote haswa Kwa uchapa kazi na si kubebana sana.
 
Ila kanda ya ziwa hiyo tabia wanayo sana,ukienda pale chuo ubaharia kila idara wamejazana wenyewe,yan pale ni vululu vululu,kulikua na wakenya na waganda wanakuja kwa wingi kusoma pale ila now wameanza kupakimbia sababu ya utaratibu wa kishamba
Hapo awali palikuwa pameshikwa na nani asiyekuwa mshamba?
 
Naona wale wote waliokuwa mashabiki wa Magufuli wameamua Kwa makusudi kum push huyu Biteko kuvaa viatu vya Magufuli ili aje awe "the Next Magufuli" matokeo yake wanamshauri vibaya sana au pengine yeye mwenyewe kwa kujaribu kuvaa viatu vya Magufuli ndo anazidi kuharibu na since washauri sometimes ni kama wapambe na machawa hata akikosea hawamwambii ukweli.

Biteko anafanya makosa yake Yale yale ambayo wengine wanafanya lakini huoni akiambiwa lolote.. .bila kujali matokeo.

Biteko Kwa "kukurupuka au kukosa ushauri sahihi kaamua kusitisha likizo za wafanyakazi wote wa Tanesco Kwa muda usiojulikana, bila kujali huo uamuzi utaathiri watu wengi Sana hata ambao wengine si wafanyakazi wa Tanesco.

Wapo ambao walipaswa kwenda kuoa au kuolewa likizo ya mwaka wote wanapaswa tusubiri siku waziri akiamka vizuri na kurudisha likizo. .ndo wapange tarehe za harusi.

Wapi waliotaka kusafiri mbaali kutazama familia, wote hawa watasubiri. Wapo ambao wamechoka na wanataka kupumzika Ku "recharge" hawa nao watalazimika kwenda kazini hadi waziri akiamka na kukumbuka kuwa "kasitisha likizo".

Waziri anafanya maamuzi ya kuathiri watu wengi bila kushauriwa sahihi.

Zipo idara watu wapo wachache, hawawezi kwenda likizo wote Kwa mara moja lazima wajipange kila mwezi Nani anaenda Nani abaki, waziri keshatibua hili na haijulikani lini akiruhusu wangapi wataweza kwenda likizo kabla ya mwaka kuisha.

Yote haya for "political mileage"

Waziri Biteko alipoingia alibadili na mkurugenzi wa shirika halafu miezi michache baadae anaenda tena Tanesco kukoroma kuhusu utendaji bila kumpa nafasi Mkurugenzi mpya kufanya maamuzi yake bila "political interference" sasa hapa swali Waziri Biteko anashauriwa na nani? Hizi political interference Kwa shirika kubwa kama Tanesco zitaisha lini? Zina faida? Kama unaweka mkurugenzi unaemtaka na kumuamini why bado unaendeleza political interference?

Biteko anashauriwa na nani?
Kama timu yake ni wale wanaogaagaa mchangani kumlilia Samia unategemea nini
 
Miaka ya mkapa kulikua na capt mmoja mznz baadae akashika mchaga,baada ya hapo chuo kikashikwa na watu wa kanda ya ziwa ndio hadi leo,chuo kinaendeshwa kizamani mno
Be specific bwana. Kanda ya ziwa ina mamilioni ya watu kutoka makabila mbalimbali wewe "mbaguzi"
Kwamba wachagua na wazanzibar ndo wasokuwa washamba?
 
Hii mijitu mingine midini dini hii bila kumtaja Magufuli kwa kila baya la nchi hii haiwezi kuishi. Huko CCM angalau Biteko ndiye anaonekana kuwa a voice of reason; na siyo mkurupukaji.

Na pengine badala ya kumlaumu marehemu, vipi lawama kama zingeelekezwa kwa bosi wake wa sasa? Kwa nini anaruhusu waziri wake afanye mambo ya KiMagufuli Gufuli? Si amfukuze tu? Doesn't the buck stop with her? 😳😳😳🤔🤔🤔
N kama wewe tu bila kusumbua watu huklali vizuri siku hiyo, unalalamika nini sasa
 
Back
Top Bottom