Suala hapa ni kwamba Mvua zimeendelea kunyesha kwa kiwango kilichopitiliza kote nchini.
Na watanzania wote ni mashuhuda wa hilo.
Chadema wao ni wa kusamehe bure maana kwa ujumla ni kwamba hawajui wanataka nini na wanakataa nini?
Pale wamejaa walora wa kisiasa tupu
 
Nchi ipi ulishasikia imezima mitambo ya umeme kwasababu ya ongezeko la maji? Tunayo mabwawa ya Kidatu na Mtera, kujaa kwa maji ndiyo burudani yenyewe. Kuna tatizo la kiufundi kwenye ujenzi wa hili bwawa la mwal. Nyerere ndiyo sababu mashine zimezimwa baada ya maji kuongezeka. Unataka mwanasiasa asemeje, atatafuta soft reason kuwapumbaza watu kama nyinyi. Kila kitu kwenu ni ushabiki wa CCM & Chadema. Tuna kizazi kisichotumia akili
 
Nijuavyo Mimi bwawa lolote la kimkakati linapojengwa Kuna kitu kinaitwa "SPILL WAY" Yaani mlango wa kupunguzia maji hasa yanapozidi sasa yaweza kuwa bwawa hili pamoja na dhamira njema lakini lilijengwa Kwa mihemko ya kuipinga CHADEMA utaalam ukawa hauzingatiwi kisa kuwakomoa CHADEMA ndo maana lolote litakalotokea bwawani liwe jema au changamoto ktk kuielezea jambo hilo CHADEMA lazima itajwe mfano ni huyu mleta mada,
 

Spill zipo lakini zimepuuzwa
 
Hata jangwani mvua huwa inanyesha mara moja moja. Hivi karibuni Libya ilikumbwa na mafuriko.

Amandla...
 
 
Tupeleke kwenye umwagiliaji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…