Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Sasa kipi ni kipi?
Maji yawe mengi tupate umeme ama maji yawe kidogo?
Excuses za Tanesco zimekuwa za hovyo kweli. Na zote kisingizio ni maji.
Kiangazi, wanalalamika maji ni kidogo. Yamepungua kina. Sawa, mvua zimenyesha kunabadilika kuwa mvua zimekuwa nyingi, tunayapunguza. WTF!.
Walijenga bwawa kubwa kama lile bila ya kuweka viashiria kama litajaa kama litajaa kabla ya wakati?
Maji yawe mengi tupate umeme ama maji yawe kidogo?
Excuses za Tanesco zimekuwa za hovyo kweli. Na zote kisingizio ni maji.
Kiangazi, wanalalamika maji ni kidogo. Yamepungua kina. Sawa, mvua zimenyesha kunabadilika kuwa mvua zimekuwa nyingi, tunayapunguza. WTF!.
Walijenga bwawa kubwa kama lile bila ya kuweka viashiria kama litajaa kama litajaa kabla ya wakati?