Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Shule za kusomea ujinga:Najiuliza shina ni nini? hatuna weledi, hatuna teknolojia, poor decision making au poor political will au Bwegez wamejaa kwenye hiyo Taasisi? Inasikitisha sana! kujenga bwawa tabu!! hata uratibu wa bwawa nao tabu. sijui kipi tunaweza sasa. Au tunahitaji tuletewe tena SAP part II
Hawana hela ya kuleta mitambo mingine? Mbona ma v8 yanaletwa bila kujiuliza? Nashauri viongozi wapigwe mnada fedha ipatikane ya mitambo. Mvua zinawataka waharakishe wao wanajizungusha tuNadhani concept ni moja.
Kuna mashine 9, inayofanya kazi ni moja. Bwawa linatakiwa kuhifadhi maji ya mashine 9.
Sasa kama mashine moja kati ya 9 ndio inafanya kazi, maji mengine hayana sababu ya kuwepo pale, lazima yafunguliwe yaondoke.
Iwapo mashine zote 9 zingekua zinafanya kazi basi hayo maji bado yasingetosha.
Ni serikali kuhakikisha mashine zote zinawashwa kwa wakati mmoja tu ama vinginevyo yale maji yote yatapotea bure.
Hapo ni kama unawaambia wachimbe bwawa lingine. Cha msingi kama mitambo ni michache waongeze mingind na wauze umeme kama wanaona nchini hauhitajiki. Na kama unahitajika bei ya umeme ipunguzwe wananchi wafurahie matunda ya viongozi walio jikana nafsi kuanzisha mradiKwani hayo maji ya ziada hayawezi kuhifadhiwa sehemu halafu muda ukifika wa kuyahitaji wanayatumia?
Storage facilities za umeme wa megawatt 200 mpaka 1000 ni kama zipi? Mabetry 1000,000 ya gari yatumike kutunza charge? Kuna vifaa gani special?Sasa wakishayapunguza maji kipindi cha kiangazi watasema maji ni machache mno. Shenzi taipu zao hao wawashe mashine zote watengeneze storage facility za umeme ili utumike kipindi maji yakiwa machache kipindi cha kiangazi ndio wazime baadhi ya mashine.
hapana bibi yetu, Mtanzania ndo icon ya ujinga....(wa kwanza)Wakiyapunguza, mvua zikikata itabidi sasa tungoje mpaka 2026 bwawa lijae tena.
kizungumkuti.
Mitanzania ni mijinga ya mwisho duniani.
Du members wa Jamii forums,NI wataalam wa kila kutu,Wana ponda na kulaumu hata vitu cya kitaalamu,shida Sana.AFRIKA tuna shida jamani. Sasa inabidi tumwombe Mungu apunguze mvua.
Mitambo inazama majini. Serikali imeshtuka baada ya Mamlaka ya Hali ya Hewa kutangaza mvua itanyesha kali. Wakati wana dizaini bwawa hawakujua kuna siku mvua zitapiga kali. Hakuna provision ya kuchepusha maji yanapozidi....
MWANANCHI ONLINE
APRIL 1st 2024
Mashine yazimwa Julius Nyerere
View attachment 2951205
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dr. Dotto Biteko, akikagua mitambo ya kufua umeme
Biteko amesema kutokana na Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA) kutangaza uwepo wa mvua kubwa kwenye maeneo mengi, wizara hiyo itaendelea kuchukua kila hatua ya tahadhari
“Mfano Kituo cha Julius Nyerere ipo mashine moja ya kuzalisha umeme, lakini maji yanayozalishwa pale ni mengi sana kinyume kabisa na mipango tuliyokuwa nayo"
Maana tulikuwa tunajua kwamba Julius nyerere ingeweza kujaa bwawa lile mwezi wa 12 mwaka 2026, lakini yamejaa ndani ya msimu huu tu mmoja na yale maji yanavyojaa yanakuja mengi kwa wakati mmoja,” amesema.
Amesema baada ya kuona wingi walitoa tahadhari Machi kwa watu wote walioko upande wa chini wa bwawa, kwamba wangeachia maji maana uwezo wa kuendelea kuyashikilia haupo.
“Ukianza kufungulia yale maji, Julius Nyerere lazima uizime, maana yanayotoka juu ni mengi zaidi kuliko yanayotoka kwenye teresi, hivyo ninavyozungumza mtambo wa Julius Nyerere tumeuzima, tunapunguza maji ili tupate umeme," amesema Dk Biteko
Cheo chenyewe alichopewa hakipo...anajikuata anafanya kazi zote.Huyu jamaa mpunguzieni vyeo,kazi zinakua nyingi sana kuzimudu kwa wakati.
Kama ni waziri nishati iwe hivyo.
Kama ni naibu waziri mkuu iwe hivyo.
Vinginevyo porojo hizi tunazo siku zote.
Tanzania kuna shida kubwa sanaMakadirio yao yalikuwa bwawa lijae 2026 lakini limejaa ndani ya msimu mmoja tu 2023/24.... Hivi haya yalikuwa makadirio ya aina gani?
Hapo waseme tu walikuwa wanataka kuwapiga watanzania dana dana hadi 2026 lakini walivyoona kelele zimezidi ndo wakawasha kamtambo kamoja.
Hako kamtambo kamoja kati ya 9 iliyopo ndo kanawapa shida hivi, je zikiwashwa zote 9 wataweza kuzimanage kweli?
Majii yakijaa shida, yakipungua shida. Sitashangaa wakitangaza mgao wa umeme sababu maji yamejaa na yakipungua tena watatangaza mgao na kutuhimiza tuombee mvua zinyeshe bwawa lijae.... Hii nchi ni kama wote tupo chekechea.
Sio mitanzania sema mi CCMWakiyapunguza, mvua zikikata itabidi sasa tungoje mpaka 2026 bwawa lijae tena.
kizungumkuti.
Mitanzania ni mijinga ya mwisho duniani.
Maelezo ya Kitapeli tu haya. Tuliwambia ccm imezeeka haiwezi tena kuleta mabdiliko ndani Nchi.Nadhani concept ni moja.
Kuna mashine 9, inayofanya kazi ni moja. Bwawa linatakiwa kuhifadhi maji ya mashine 9.
Sasa kama mashine moja kati ya 9 ndio inafanya kazi, maji mengine hayana sababu ya kuwepo pale, lazima yafunguliwe yaondoke.
Iwapo mashine zote 9 zingekua zinafanya kazi basi hayo maji bado yasingetosha.
Ni serikali kuhakikisha mashine zote zinawashwa kwa wakati mmoja tu ama vinginevyo yale maji yote yatapotea bure.
Mvua ikinyesha umeme unakatwa kuwa maji yako mengi ,ikiacha kunyesha umene unakatwa tunaambiwa tatizo maji kidogoWakiyapunguza, mvua zikikata itabidi sasa tungoje mpaka 2026 bwawa lijae tena.
kizungumkuti.
⁷
Mitanzania ni mijinga ya mwisho duniani.
Pekeni huo umeme unaozidi hata Malawi au Zambia au kenya bure au wauzieni kwa bei ndogo mbona akili hamna nyieStorage facilities za umeme wa megawatt 200 mpaka 1000 ni kama zipi? Mabetry 1000,000 ya gari yatumike kutunza charge? Kuna vifaa gani special?
Kila mwenye betri la la gari asiye na kazi nalo,tunaliomba
Walijua kwasababu maneno haya ''Saddle dam' niliyapata wakati wa kufuatilia ujenziHayo yote hawakuwa wameyaona awali?
Hakukuwepo na contingency plans zozote zile kuhusu maji kuwa mengi?