Dotto Magari: Nikimuona Mtu (hasa Mwanaume) anaendesha IST namdharau kwani namuona kama vile amekaa Chooni kwa jinsi anavyoiendesha

 
Nikiwa ndani ya IST naona nimemaliza... sitaki gari za spana mkononi.. garage kila mwezi.. 😁
 
Unaedis IST ukute hata mzazi wako hana na mpaka anakufa hataimiliki hata starlet achilia mbali wazazi wako wewe unaedis IST ukute hata wewe huna hiyo gar ..Key board ya simu yako inakudanganya kufata mkumbo.. hawa ndo wanaotoa t*go wamiliki range za mchongo kwa show off...kama hutembelei ma*taqo kaa kimya huijui hata sheli kutwa kubwabwaja IST IST
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…