"Double Standards" ya TEC na Kardinali Pengo linapokuja suala la ukosoaji wa utawala

Nenda kajadili taweed na wapumbavu wenzako, trinity hamtaiweza nyie washika mikia shuleni
Sisi kwetu elimu na uadilifu ni kipaumbele na elimu yetu inaonekana hata viongozi wenu wanatamani uislamu, au hukumbuki yule askofu alitilewa kanisani baada ya kusifia vijana wa kiislamu kwamba ni waaminifu kuliko wakristo.
 
Kati ya Quran na huyo Allah nan alianza nenda kajielimishe kuhusu hiyo tahweed trinity hutaiweza kama ulibondwa kisogo
 
We mtoa mada msimamo wako juu ya kuuzwa kwa bandari ukoje?
Kunaleta afya na ustawi wa watanganyika?
Wapi DP world walipochukua bandari hiyo nchi ilikuwa kiuchumi?
Nan kakueleza bandari inauzwa??

Kwanza umeshausoma mkataba wenyew au unakuwa bendera fuata upepo kama wenzako??

Draft of contract agreement Lin mkataba huo umeshasainiwa??
 
Sisi kwetu elimu na uadilifu ni kipaumbele na elimu yetu inaonekana hata viongozi wenu wanatamani uislamu, au hukumbuki yule askofu alitilewa kanisani baada ya kusifia vijana wa kiislamu kwamba ni waaminifu kuliko wakristo.
Kweli ni kipaumbele ndio maana shule za Zanzibar na za kiislam huwa za mwisho na seminar huwa za kwanza
 
Achana na Udini hauta kusaidia . Umeusahau Waraka kipindi cha JPM?
 
Hawakujibu kwa kuwa hawakuona ubaya wa yaliyokuwa yakitendeka. Siyo kila unachokiona wewe kibaya lazima kila mtu akione hivyo. Kwa mfano suala la sasa la bandari, wao wameliona ni baya lakini kuna wengine wanaliona ni sahihi. Hivyo wametoa maoni yao. Hakuna cha double standards. Mtu atoe maoni kadiri anavyoyaona mwenyewe.
 
Kati ya Quran na huyo Allah nan alianza nenda kajielimishe kuhusu hiyo tahweed trinity hutaiweza kama ulibondwa kisogo

Allah ndie muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo,qur an siyo tuh kitabu Cha kwanza,vilianza vingi huko nyuma ikiwemo Injili,zaburi,torati sema wengi wenu nyinyi ni watu wa kuburuzwa tuh ndiyo maana mnaipinga haki
 
Allah ndie muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo,qur an siyo tuh kitabu Cha kwanza,vilianza vingi huko nyuma ikiwemo Injili,zaburi,torati sema wengi wenu nyinyi ni watu wa kuburuzwa tuh ndiyo maana mnaipinga haki
Pumbavu hata tahweed huijui wewe tabla lasa ndio ujadili trinity
 
Hao ni wapumbavu na waza
Ndiki! Sijawahi kuwaelewa hata kidogo waende kwa bwana zao wa vatican huko wapuuzi hao
 

Hivyo eeh,alipokawa anataka kujiongezea muda wa kuongoza na kuminya demokrasia na kupiga bunduki wapinzani waliona ni sawa tuh siyo,kupora wafanya biashara fedha zao na kufunga accounts zao hawakuona shida katika Hilo siyo
 
We hamnazo kweli! Yaani Tanganyika ni mali ya TEC!? Umefilisika wewe huna hoja.
Ndivyo wanavyodanganywa huko makanisani,

Kipindi wanaume wanapigania uhuru wa nchi hii Hilo kanisa lilikuwa upande wa hao wazungu,then wanataka kujifanya Leo Wana uchungu na nchi na waraka zao
 
Weka evidence ya TEC ikimkosoa JPM tuone
Imkosoe hata kama haioni amefanya vibaya? Siyo suala la kukosoa kiongozi Mkristu kwa kuwa tu hapo awali ilimkosoa Muislamu. Kosoa kitendo chenyewe badala ya kukosoa mtu. Anza na kupima kitendo unakionaje na utoe uamuzi kadiri ulivyokiona.
 
Ndivyo wanavyodanganywa huko makanisani,

Kipindi wanaume wanapigania uhuru wa nchi hii Hilo kanisa lilikuwa upande wa hao wazungu,then wanataka kujifanya Leo Wana uchungu na nchi na waraka zao
Yani ninyi msubiri raisi afe mrithi ndio mnajiona wamiliki wa Tanganyika!?
Kweli ninyi ni matabla lasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…