"Double Standards" ya TEC na Kardinali Pengo linapokuja suala la ukosoaji wa utawala

"Double Standards" ya TEC na Kardinali Pengo linapokuja suala la ukosoaji wa utawala

Waarabu wapelekeni Zanzibar na sio Tanganyika
Hii tanganyika kama pia hujui hawa waislamu usiowapenda ndio walikuwa mstari wa mbele kupigania uhuru, na ili mradi tupo kwenye muungano kiongozi na vyombo husika vitaangalia maslahi mapana ya nchi sio wewe mla mihogo unachotaka
 
Ila hizi tawala za waislamu ndio zinafanya hata mnapata uhuru wa kulalama humu mkishashiba dona, tawala zingine watu hadi mlikimbia nchi hii, mkafutwa kazi bila ya kulipwa mafao, mlivunjiwa nyumba bila ya kulipwa fidia sasahivi ndio mmerudi bado mnarefusha midomo tu uzuri tumewazoea na unafki wenu tatizo kubwa ni uislamu na uarabu hakuna kingine

Alipingwa Issa mwana wa Maryam ambao wao wanamuita eti mungu sijui mara mtoto wa mungu,itakuwa sembuse Samia??waache wapinge tuh,yeye ndie Rais wa nchi sasa and so far ni much better kuliko tulikotoka na wenyew wanalijua Hilo,ni ujeuri wao tuh
 
Labda kama alijiweka mwenyewe
Unataka kusema nin,kama mngekuwa wa maana mbona JPM alitazama huku na Huko Kisha akaona msaidiz intelligent kuliko wote ni Samia??then akamfanya kuwa vice prezoo wake??wewe unataka kusema nin na Njaa Njaa zako hapo, chukua time zako huko
 
Alipingwa Issa mwana wa Maryam ambao wao wanamuita eti mungu sijui mara mtoto wa mungu,itakuwa sembuse Samia??waache wapinge tuh,yeye ndie Rais wa nchi sasa and so far ni much better kuliko tulikotoka na wenyew wanalijua Hilo,ni ujeuri wao tuh
Nenda kajadili taweed na wapumbavu wenzako, trinity hamtaiweza nyie washika mikia shuleni
 
Kuitaja Tanganyika ni udini ila Zanzibar hewala!?
Pumbavu kawaambie wajambiani wenzako huko mchamba wima
Endelea kufura ewe mchamba kulala. Kwani huu muungano mlilazimishwa? Si yule kipenzi chenu mnayemuabudu hadi mkamwita mtakatifu kwa sababu zake za udini aliwaingiza huko ili kuibana Zanzibar! Sasa leo mnalia nini? Zanzibar ilikuwa dola yenye nguvu toka 1840s huko kama historia huijui uliza wajuzi. Bandari tunampa Mwarabu ili kuyabana majizi kama wewe na Mama tupo naye hadi 2030 inshaallah. Vimbeni mpasuke mahasidi.
 
Magufuli aliuza ama kubinafsisha nini?.
Nyumba zote zile unazoziona oysterbay na masaki zilikuwa mali ya serikali ila yeye akiwa waziri alizigawa kama pipi huku mawaziri wakiambiwa wakakae mahotelini, na hadi mademu zao walipewa zile nyumba
 
We mtoa mada msimamo wako juu ya kuuzwa kwa bandari ukoje?
Kunaleta afya na ustawi wa watanganyika?
Wapi DP world walipochukua bandari hiyo nchi ilikuwa kiuchumi?
 
Nenda kajadili taweed na wapumbavu wenzako, trinity hamtaiweza nyie washika mikia shuleni

Wewe nani kakuambia mungu ana mtoto??Yani maria awe mama wa mungu?kama unaona suala la maria kupewa miujiza na Allah ya kuzaa bila baba ni jambo la kukufanya umuite yesu mungu,je vip lile na kumuumba Adam out of nowhere Kisha akampulizia pumzi?lipi ni zito Zaid??Je hamtafakari nyinyi wagalatia??
 
Endelea kufura ewe mchamba kulala. Kwani huu muungano mlilazimishwa? Si yule kipenzi chenu mnayemuabudu hadi mkamwita mtakatifu kwa sababu zake za udini aliwaingiza huko ili kuibana Zanzibar! Sasa leo mnalia nini? Zanzibar ilikuwa dola yenye nguvu toka 1840s huko kama historia huijui uliza wajuzi. Bandari tunampa Mwarabu ili kuyabana majizi kama wewe na Mama tupo naye hadi 2030 inshaallah. Vimbeni mpasuke mahasidi.
Hamna anayelia kwa sababu ni swala la mda tu Tanganyika itarudi kwa watanganyika. TEC ndio wenye Tanganyika wewe juha
 
Back
Top Bottom