"Double Standards" ya TEC na Kardinali Pengo linapokuja suala la ukosoaji wa utawala

"Double Standards" ya TEC na Kardinali Pengo linapokuja suala la ukosoaji wa utawala

Friends and Enemies,

In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation.

Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka mingi sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo uongozi wa serikali unapofanya maamuz ambayo Yana ukakasi na yanagusa maslahi ya Taifa,ni jambo zuri na Kwa kias flan linastahili kupongezwa.

Suala ambalo Linazalisha maswali Kwa TEC na PENGO ni kwamba kwanini huwa wanakuwa kimya kwenye Regime zingine za Utawala hasa pale yanapotokea mambo ya ukakasi kwa Taifa pia?

During Benjamin Mkapa Regime tulishuhudia mauaji ya kikatili ya mwembechai,Unibinafsishaji wa mashirika ya umma na kias hata Mkapa mwenyew alikuja kukiri katika kitabu chake kuwa ni miongon mwa maamuz ya hovyo kuwahi kufanyika katika Utawala wake,hakuonekana PENGO Wala TEC wakitoa kaul wala waraka za aina yoyote.

PENGO na TEC walikuja Kushamiri sana enzi za Regime ya kikwete, kias kwamba ilipelekea Kila anachokifanya kikwete kinageuka kuwa bango la waraka zisizoisha wenye macho waliona na bila shaka wenye kumbu kumbu wanakumbuka.

Regime ya JPM ilikua na mabaya na mazuri yake kama vile zilivyokuwa Regime zingine,mfano suala la kuizika demokrasia ndan ya nchi hii na kukandamiz uhuru wa vyombo vya habari na speech, kuminya upinzan kias had kufikia baadhi ya wapinzani kupigwa risasi ndan ya viunga vya bunge na wengine kupewa kesi za uzushi na kufungwa,hatusikia Wala kuona PENGO na TEC wakisimama kuzungumza Wala kutoa Waraka zao.

Sasa kitu kinachofikirisha,pamoja na Nia Yao njema PENGO na TEC Kwa Taifa kwanin wanakuwa selective katika kusimama na wananchi katika REGIME za uongozi ndan ya Taifa hili?

Nin kinawasukuma nyuma ya Criticism zao, uchungu Kwa Taifa lao au Wana ajenda zao za Udini?
Hawako selective..
Wako openly biased...hawajali Nani anasema nini..
Ni mavuno ya kuwaendekeza na kuwapa platforms unnecessary.....

Watu wanatazama .. ukweli unaonekana.. wanachokipanda watakivuna
 
Hawako selective..
Wako openly biased...hawajali Nani anasema nini..
Ni mavuno ya kuwaendekeza na kuwapa platforms unnecessary.....

Watu wanatazama .. ukweli unaonekana.. wanachokipanda watakivuna

Inasikitisha sana,by the time demokrasia ndan ya nchi hii inapondwa pondwa hadharani na wapinzani kupigwa risasi ndan ya viunga vya bunge na kadhalika,waligeuka kuwa mabubu kabisa.
 
TEC walitoa wakala mzito dhidi ya utawala wa Magufuli kwenye issue ya demokrasia.

Umewasahau maaskofu akina Severine niwemugizi walionyang'anywa passport?

Umemsahau askofu Bangoza?

Umemsahau Father Raymond Saba?

Umesahau Maaskofu walivyomkatalia wazi Magufuli kwenye issue ya Covid?
 
TEC walitoa wakala mzito dhidi ya utawala wa Magufuli kwenye issue ya demokrasia.

Umewasahau maaskofu akina Severine niwemugizi walionyang'anywa passport?

Umemsahau askofu Bangoza?

Umemsahau Father Raymond Saba?

Umesahau Maaskofu walivyomkatalia wazi Magufuli kwenye issue ya Covid?

Ishu ya COVID ilikua wazi na kituko Cha dunia,wangefanya nin Zaid ya kulinda waumin wao?

Besides hakuna bandiko lolote kuhusu demokrasia na Utawala mbovu wa Magufuli ambao maaskofu walithubutu kutoa Waraka,kama upo weka hapa tuone
 
Umeandika uongo wakati wa JPM maasikofu walitoa nyaraka mbili kuukosoa utawala wake.
Huyo mpuuzi ana fikra finyu sana, wanataka yeye na kundi lake kutupeleka kimsimamo wanaotaka wao, kutetea uovu, tabia waliyokuwa nayo miaka mingi hapa JF, hawajui huu ni muda wa fikra mpya, za kizazi kipya, haya mawazo yao chakavu hayana nafasi tena.
 
Kabisa, walikuwa wapi kutoa Waraka zao kipindi JPM anaua demokrasia ndan ya nchi hii
Wewe bogus, unataka kuambiwa mara ngapi Kanisa Katoliki lilitoa waraka kupinga maovu ya JPM?

Umekurupuka kuja na agenda ya kipuuzi isiyo na ushahidi, unaambiwa ukweli, sasa umebaki kuona aibu tu, umeamua kujigeuza jiwe lisilosikia..

Punguza upuuzi kichwani mwako, Samia ni shetani msaliti.
 
Huyo mpuuzi ana fikra finyu sana, wanataka yeye na kundi lake kutupeleka kimsimamo wanaotaka wao, kutetea uovu, tabia waliyokuwa nayo miaka mingi hapa JF, hawajui huu ni muda wa fikra mpya, za kizazi kipya, haya mawazo yao chakavu hayana nafasi tena.
Wao ni wadini kwa hiyo wanajua ukiwakosoa alafu usiwe wa dini yao ni mdini kama wao si ajabu ni ruksa kumwita kafiri asiye wa dini yao
 
Nawe umekuwa mwongo. Kumbukumbu yàngu ni kuwa TEC daima wamekemea maovu katika Awamu zote. Pengo kama yeye alijitokeza kumkumbatia Makonda na Magufuli, not TEC. Refresh your mind!
Tupe mfano wa maovu waliyokemea kipindi cha Mkapa na Magufuli. Tuwekee ushahidi humu. Kwa ufupi Pengo na TEC ni wadini wakubwa.
 
Kwani huu ndio mkataba wa kwanza serikali kuingia ubia na taasisi za nje? Hela za escrow zilienda hadi makanisani mbona hawakusema kitu kama wao ni watu wa haki? Midomo inakuwa mirefu akiwa kiongozi sio wa upande wao ,waache vyombo husika vya nchi vifanye kaxi, bunge lipo, cag yupo etc
Tunaojielewa kwa sasa tunazililia bandari zetu za Tanganyika zilizotolewa kwa mwarabu, wamepewa milele, hizi kelele zako za 1992 kawatafuteni wajinga huko mbali muwadanganye nazo.
 
Tupe mfano wa maovu waliyokemea kipindi cha Mkapa na Magufuli. Tuwekee ushahidi humu. Kwa ufupi Pengo na TEC ni wadini wakubwa.
Hoja ya mkataba hamuijibu mnajificha kwenye uislamu tibaijuka kashawaambia jibuni hoja kuhusu mkataba na sio kujificha kwenye uislamu na uzanzibar kwenye maswali yanayolenga mkataba na sheria
 
Yes but we have to be fair and objective, haiwezekani hapa kuna viongozi waligawana nyumba za serikali halafu mawaziri wakapangiwa hotel nchi hii hii lakini hawa walalamishi walikaa kimya, kuna viongozi walijigaia migodi na wakaingia mikataba ya hovyo ya migodi watu walikaa kimya, kuna viongozi awamu zao zilijaa ukatili wa kila aina watu walipotezwa, oesa za serikali liingizwa mifukoni mwao yote haya walikaa kimya, ila kiongozi akiwa si wa upande wao hawaishi kutoa waraka na kulalamika kila kitu kinachofanywa hii sio haki hatupo pamoja kwenye hili ni unafki
Tuwekee hiyo mikataba ya hovyo ya migodi hapa tuijadili, usilete story zako za kusadikika, kachezeeni akili za wajinga, kwa sasa bandari za Tanganyika zirudi, hamuwezi kuzitoa kwa mwarabu milele, hata wajukuu zako watakuja kukulaani kwa haya mawazo yako hapa.
 
Friends and Enemies,

In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation.

Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka mingi sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo uongozi wa serikali unapofanya maamuz ambayo Yana ukakasi na yanagusa maslahi ya Taifa,ni jambo zuri na Kwa kias flan linastahili kupongezwa.

Suala ambalo Linazalisha maswali Kwa TEC na PENGO ni kwamba kwanini huwa wanakuwa kimya kwenye Regime zingine za Utawala hasa pale yanapotokea mambo ya ukakasi kwa Taifa pia?

During Benjamin Mkapa Regime tulishuhudia mauaji ya kikatili ya mwembechai,Unibinafsishaji wa mashirika ya umma na kias hata Mkapa mwenyew alikuja kukiri katika kitabu chake kuwa ni miongon mwa maamuz ya hovyo kuwahi kufanyika katika Utawala wake,hakuonekana PENGO Wala TEC wakitoa kaul wala waraka za aina yoyote.

PENGO na TEC walikuja Kushamiri sana enzi za Regime ya kikwete, kias kwamba ilipelekea Kila anachokifanya kikwete kinageuka kuwa bango la waraka zisizoisha wenye macho waliona na bila shaka wenye kumbu kumbu wanakumbuka.

Regime ya JPM ilikua na mabaya na mazuri yake kama vile zilivyokuwa Regime zingine,mfano suala la kuizika demokrasia ndan ya nchi hii na kukandamiz uhuru wa vyombo vya habari na speech, kuminya upinzan kias had kufikia baadhi ya wapinzani kupigwa risasi ndan ya viunga vya bunge na wengine kupewa kesi za uzushi na kufungwa,hatusikia Wala kuona PENGO na TEC wakisimama kuzungumza Wala kutoa Waraka zao.

Sasa kitu kinachofikirisha,pamoja na Nia Yao njema PENGO na TEC Kwa Taifa kwanin wanakuwa selective katika kusimama na wananchi katika REGIME za uongozi ndan ya Taifa hili?

Nin kinawasukuma nyuma ya Criticism zao, uchungu Kwa Taifa lao au Wana ajenda zao za Udini?
Mmeanza, yaani muuze nchi watu wawachekee?
 
Back
Top Bottom