DP World anapewa kazi ya kupakua na kupakia Makontena tu, sio Bandari yote ya Dar wala si nje ya Dar

Serikali iachane na huu mradi,watu wanataka waendee kuwa maskini mnalazimisha kuwatoa Ili iwaje? Acha wawe wanalipa gharama kubwa za usafiri,siku za kusubiria na urasimu kama huo.
Bora tumpe muwekeji ili kupunguza upigaji na Ufisadi sababu bandari pamegeuzwa shamba la bibi kila siku uteuzi. Bora apewe muwekezaji sisi tujikite kukusanya mapato
 
Bora tumpe muwekeji ili kupunguza upigaji na Ufisadi sababu bandari pamegeuzwa shamba la bibi kila siku uteuzi. Bora apewe muwekezaji sisi tujikite kukusanya mapato
Majinga yamejaa na yanashabikia upuuzi huku walioanzisha hizo fitina wanawatumia wao kuhakikisha wanaendelea kubaki kula.
 
Tatizo umeongea vitu vingi wakati mmoja.
 
Matanzania ni majinga yamejaa ujamaa na umaskini Haina haja ya kusumbua kuwatoa wayaache hivyo hivyo ,baba Yao Nyerere aliwaridhisha propaganda na porojo
 
Tatizo umeongea vitu vingi wakati mmoja.. Memorandum of understanding ndo inaitwa MoU sio Mkataba wa Bandari. Na kilichosaini 25 Oct 2022 ndo tunasema Makubalinao ya haya maazimio yalojadiliwa bungeni kuhusu maswala ya Uwekezaji bandari na mawanda yake ambavyo tunajadili muda huu ambayo yamewekewa ukomo wake wa miezi 12. Kwahiyo ikifika Oct hatujamaliza huu mjadala, utakuwa umekufa na fedha zake anaweza kuamua kuzipeleka Kenya au sehemu nyingine.. DP WORLD anagombaniwa kama mpira wa kona. Tanzania tumepata zali la mentari.
 
Jamaa mjinga sana.
Pamoja sana. Taratibu utaelewa tu. Jipe muda. Pole sana kwa kichwa kigumu cha kuelewa. Slow Learner si wewe peke yako. Mpo wengi ila baadaye mtaelewa
 
Wewe ni mtoto mdogo? Kuuza Bandari zote ni kuuza nchi. Hivi slaa na vitu vya hovyo haviwezi kupenyezwa kupitia Bandari na nchi kusambaratishwa? Kuwa CCM ni KAZI sana
Mkuu labda kama umefunga akili yako kusikia unachotaka kusikia. Hakuna kitu kinauzwa bali sehemu tu ya bandari ya Dar anapewa Muwekezaji. Nakazia sehemu ndani ya Bandari ya Dar. Wanaosema ni bandari zote watafuta Kiki za kisiasa ili kujenga chuki dhidi ya watendaji, Bunge na kumkosea adabu rais.
 
Uongo.
 
Ukishaelewa naamini utarudi kufuta hii Komenti yako. Tayari unaonekana kabisa huna ujualo kuhusiana na hayo mambo. Relax jipo muda acha kwenda na Upepo. Hadi sasa hakuna Mktaba wowote uliosainiwa.
 
Kwa mkataba upi unao refer?
Mbona kila mtu anasema Mkataba? Jamani Nchi ya Tanzania haijaingia Mkataba wowote hadi hivi sasa kuhusu Bandari. Mbona wagumu kuelewa. Kilichomo ni maazimio ya Uwekezaji bandarini. Je, huo mkataba ulosainiwa mbona hamuuweki hadharani? Unaambiwa agreements sio contract ila kila contract ni agreement. Hiyo contract ipo wapi?
 
Wabinafsishiwe na bunge ili lijue wao wana isimamia serikali na sio kupiga makochi na vijembe
Ili tuwaachie bandari yenu muendelee kupiga sio? Upigaji bandari huu ndo mwisho. Mumetunhonya vya kutosha
 
Mwenyezi Mungu awabariki mama samia, watu wake, wananchi kwa ujumla na wawekezaji especially waarabu wanatupenda sana na wakarimu sana, mwaka huu tutanenepa sana, waabheja sana
 
Kama cr Kali haijatoka maelekezo mepes na yanayoelewek kama yako unazan wew na huyo mwanasheria msomi wa bandari ndio mnajua sana[emoji613][emoji613][emoji613][emoji616]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…