DP World anapewa kazi ya kupakua na kupakia Makontena tu, sio Bandari yote ya Dar wala si nje ya Dar

DP World anapewa kazi ya kupakua na kupakia Makontena tu, sio Bandari yote ya Dar wala si nje ya Dar

Nilidhani unakuja na kipengele kwenye mkataba kinachosema hawapewi bandali yote au zote.
Pia kinachoonesha ukomo wa mkataba.
Acha uzwazwa
Hicho kitu hakipo wala huo Mkataba haupo. Haya yanayojadiliwa ni Maazimio au makubaliano yapi yawekwe kwenye mkataba. Sio Mkataba.

Hayo maneno kwamba kuna mkataba umesainiwa umeyatoa wapi? Usikute umeona makubaliano na maazimio ya Bunge ndo unayoita Mkataba
 
Mkuu, watu wanapotosha, hakuna Mkataba uliojadiliwa. Wakianza kujadili Mkataba ndio wataweka muda. Haya ya sasa ni Maazimio tu ya kufanya biashara ya bandari kati ya Nchi na Nchi. Hata Bunge limepitisha maazimio. Kama maazimip yakikubalika ndipo mikataba sasa inaanza. Yaani hii ni kama barua ya Posa, bado mwali kuolewa.
Soma hapo kwenye kifungu cha pili uone kama wameandika posa au mkataba
Screenshot_20230615-103624_Gallery.jpg
 
Hicho kitu hakipo wala huo Mkataba haupo. Haya yanayojadiliwa ni Maazimio au makubaliano yapi yawekwe kwenye mkataba. Sio Mkataba.

Hayo maneno kwamba kuna mkataba umesainiwa umeyatoa wapi? Usikute umeona makubaliano na maazimio ya Bunge ndo unayoita Mkataba
Sawa basi tukubaliane tu kuwa hayo maazimio ni yakipuuzi.
Na walioyapitisha tuwaite tu kuwa ni wapuuzi
 
Kuna kikubdi cha wanasiasa ndo wanapotosha na wala hawana utalaamu wa mambo haya...Eti bandari zinauzwa !

Ujinga tu kuleta hofu kwa watu .
Hata mwinyi tulimtetea sana kwenye sakata la loliondo,hadi pale waarabu walipojitokeza wenyewe na kukiri kuwa mzigo umeenda jumla.
 
Mkuu watu wanasema kuhudu DPW? Tutonye na sisi tujue aisee. Kuna nini huko kwenye huo uchambuzi? Tuwekee hapa tuuone.
embu niachie email yako nikutumie kitu. mm taarifa zao nimezipata siku hizi za karibuni kutoka chanzo kinachoaminika
 
Hahahahah hahahahahhahahah

Imeisha hiyoooooo

Watu wanavurugana tu huku maubongo yao

Ova
DP World anakuja ondoa Mawakala feki

Anakuja ondoa upigaji

Anakuja ondoa wenye magari wapumbavu maana yeye atatumia reli kuondoa msongamano Dsm, maana yake mzigo ukishuka fasta unapelekwa Kwala.

Na huenda akawekeza Tazara pia ili mizigo isafiri kwa reli.
 
Mkuu mbona TICTS alipopewa hujaleta mambo ya Zanzibar na amekaa miaka Ishirini? Kwanini huyu anayekuja kufanya kazi za TICTS unaleta Ubaguzi. Sema hii Ishu ya DP World imesaidia kujua kwamba Tanzania bado kuna Ubaguzi. Yaani kuleta muwekezaji ni kugawa? Mbona TICTS alipokuwepo hukusema hivyo.? Nahisi bado umelipotoshwa
Tanganyika sio aridhi ya kugawa Kwa wajomba
 
Ndio. Wanachukua nafasi ya TICTS sababu ilikosa ufanisi. Sema watu wamepotoshwa na Wanaharakati. Marekani na Uingereza hawapendi kuona Afrika tukijikomboa. So ndo maana unaona mambo ni mengi. Waarabu na Wachina wakiingia Afrika Wazungu hawana chao. Ndo maana wanawachanganya watanzania ili Washindwe then aje apewe kibaraka mmoja. Utashitukia eti Lowassa kapewa bandari mtu ambaye hana uzoefu wala vifaa.
Ni afadhari ya mzungu kuliko mwarabu.
 
Salaam Wakuu,

Wote tunaijua Bandari ya Dar Es Salaam.


Watu walidanganya eti kuanzia Geti namba moja hadi namba 8 anapewa DP World kumbe uongo. DP World anapewa kazi ya kupakia na kupakua Makasha kama ilivyokuwa kwa TICTS si kwamba anapewa bandari yote ya Dar, anapewa kijisehemu tu.

Kwahiyo TPA ataendelea na kazi ya kupakua Magari, Mafuta nk.

Pili DP World anakuja na Teknolojia ambayo itawezesha Mifumo ya TRA, TASAC, TPA isomane. Yaani mzigo wako ukifika unachukua hapo hapo hamna mambo Storage wala gharama zimezidi.

Hawa wanaopiga kelele ni watu waliokuwa wanategemea hela za storage hawa wenye bandari kavu. DP World yeye kwenye hatakuwa na mambo ya storage sababu hadi mzigo unafika unakuwa ushalipia kila kitu.

Nimefafanuliwa na Mwanasheria wa bandari baada ya kumtwanga swali.

Nimewapenda bure DP World.

Sasa hawa wanaopotosha wana dhamira gani?

Sema kuna wengine wanapinga sababu walishalishwa matango pori ukizingatia haya makubaliano ya awali yapo kwa lugha ya Kimombo.

Ukweli ni kwamba hadi sasa hakuna Mkataba umesainiwa wala hakina kitu kilicho chukuliwa. Hata huu Mkataba wa Mashirikiano ya Nchi kwa Nchi ambayo wanataka yawe na Ukomo nayo hayajatiwa saini.

Wanasiasa nao washapata sehemu ya kupepetea mdomo.

Natamani kuona Watanzania tukishikamana kwa manufaa ya Watoto wetu. Tuache kuishi kama zamani.

Sasa hivi TPA inapakua Kontena laki 6 kwa Mwaka. Ila DP World watapakua Makontena Mil 2 kwa Mwaka.

Sasa hivi baandali inachnagia pato la taifa kwa 35% lakini DP World wakianza Bandari ya taifa itachangia 67% katika Bajeti ya Tanzania

Hii itafanya Watanzania wapumue na mambo ya tozo. Nchi inatoza tozo hadi kwenye Miamala sababu hakuna vyanzo vya mapato vya kueleweka na Nchi lazima iendelee.

Ajabu ni kwamba Wanaoongoza kwa kuiponga DP World mitandaoni ni Wakenya sababu wanajua hii ni vita ya Kiuchumi. DP World wakianza bandari za Kenya hawana chao. Hata waliokuwa wanapinga bomba la Mafuta Mafuta Uganda kuja Tanzania ni Wakenya hadi wakaandamana Ulaya huko eti litaharibu Mazingira.

Watanzania tujitafakari na tujielewe.

Kila kitu kina mazuri na Mabaya, kwanini Wakenya wanaona Ubaya wa DP World tu?

Bila uzalendo tutaishia hapa hapa kulaumiana. Sasa hvi Mwarabu ndo mwenye hela ndo maana hata timu za Mpira za Uingereza anapewa Mwarabu. Hata Bandari zao wamempa Mwarabu lakini sisi wabongo Bandari tunataka eti tumpe Singa singa na Kanjibhai.

Tujaribu Waarabu japo miaka 5 tuone.

Sasa hivi kila mtu huko serikalini anajibu tu baada ya kuona watu wamecharuka na hawataki ujinga.
Hivyo wanaziba viraka kutokana na maoni ya watu keep sha wanataka wachukue point 3 bila kucheza.
 
Wengi wanoikataa DP World ni wale waliozoea Upigaji na wanajua wakija hawana chao.

Waliozoea hela za ICD na minada ya Bandari na kubambikizia kodi ili wapate Rushwa, hawapendi kuona DPW inakuja bongo.

Watatumia kila njia kupinga hata kupotosha Raia.
Mwaka 2010 gari zetu tatu ilibidi ziuzwe kulipia storage na handling charges hapo bandarini ! Ilinifanya niuchukie hata utawala uliokuwepo !!
 
Ni afadhari ya mzungu kuliko mwarabu.
Umeambiwa mpaka huko kwa wazungu hao waarabu wamepewa Bandari kuziendesha pamoja na timu zao kubwa za mpira zinaendeshwa na waarabu 😅😅🙏🙏
 
Mimi nimekuja kuelezea ukweli ninao ufahamu. Hata wewe kama unaona Tanzania tunapigwa, andika na uelezee tunapigwa vipi mapema kabla ya Mikataba kuanza kusainiwa ili tusijilaumu Mikataba ikiwa ishasainiwa. Huu muda wa maazimio ndo wa kufunguka. Je, ni wapi tumepigwa? Usisubiri Watu waingiemkataba. Sema sasa hivi
Unadhan mpaka viongoz wa dini wametia shaka kweny hili mpaka wakadiriki kusema ni lazima serikali isikilize na kuangalia maslahi ya Taifa kuna nn? Sio viongoz wa dini pekee bali wengi wakiwemo wanasheria. NB; Kwa walivyo wapitisha miswada yaan piga kelele, ongea mpaka koo lipate tonsils but watapitisha tu!!
 
Acha Kupotosha Poyoyo wewe.
Dpw hawapewi eneo katika bandari Bali wanapewa Bandari yote na nyinginezo katika Nchi Yetu.
Kuna Tofauti Kubwa Kati Mkataba wa Ticts Na Mkataba wa Dpw.
Mkataba wa ticts ulikuwa na ukomo kuanzia eneo la kumiliki mpk muda wakuhudumu.
Huu wa dpw hauna ukomo lkn pia anapewa bandari zote za nchi ya Tanzania Kasoro Zanzibar.
Msituone Tu Watoto Kiasi hicho.
Mkuu ungeweza kujenga hoja bila kuita mtu poyoyo.

Hayo uliyo yaandika ni Uongo. Ukweli ni anapewa sehemu ya Bandari ya Dar es Salaam tu.

Nani kakulisha huo uongo? Kichwani wamekujaza taarifa za uongo za Propaganda za Kenya. Tuoneshe waliposema hivyo.
 
Umeandika ujinga halafu unaita hoja ambayo unataka ijibiwe.

Ndio maana nikuambia tu tangu awali kuwa huu ni Ujinga.
Basi ni vyema ungeandika hicho ambacho si ujinga ili watu wajue mbivu na mbichi. Sababu hii post ya tatu hakuna ulichoandika cha kusaidia nchi
 
Wewe ni mjinga na hujui chochote zaidi ya uchawa! Na ndio maana unaita " Bandali"!

Huwezi ku- run Bandari bila storage! Kuna watu mzigo unafika hajapata fedha za kulipia mzigo wake na hivyo lazima Bandari iu- store huo mzigo kwa gharama za mteja (demurrage ).

Vijana wa UVCCM hakuna mnachojua kwenye dunia ya uchumi!
Nyie fanyeni kazi za Uchawa mkivizia teuzi basi!
Wanachosubiri ni kusikia nani kateuliwa wapi nani katoswa huku wakiishi kwa matumaini kuwa zamu yao itafika wakisahau umri unasogea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom