Tetesi: DP world hawakupewa bandari za Tanganyika bure. Nakataa

Tetesi: DP world hawakupewa bandari za Tanganyika bure. Nakataa

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Tanzania raha sana, matukio ni mengi, na watu wanakwenda na matukio. Tukio moja lina trend wiki 2 , mwezi, miezi 3 na kubwa sana linachukua miezi 4-6 kisha linazimika.

Issue ya ukodishaji wa bandari za Tanganyika especially Dar es salaam port kwa DP world ilitrend kwa muda mwingi na sasa imetulia tuli.

Wapo waliosema tumegawa bure maana hawakuiona pesa ikiingizwa kwenye account zao au hawakusomewa tarakimu za pesa zilizopokelewa na serikali kutoka DP world.

Ukweli ni kwamba pesa imeingia , tena ya kutosha. Iliingia kabla hata ya kukamilisha mikataba.Imeingia wamegawana kulingana na cheo na ushawishi wa mtu katika jamii.

Sasa wana pesa za kusomesha watoto Cambridge, Oxford n.k Wakimaliza vipindi vyao watoto wao from abroad watakuja kututawala.

Sema Mimi sijapata mgao wa kishika uchumba cha DP world usiseme imetolewa bure.
 
Tanzania raha sana, matukio ni mengi, na watu wanakwenda na matukio. Tukio moja lina trend wiki 2 , mwezi, miezi 3 na kubwa sana linachukua miezi 4-6 kisha linazimika.

Issue ya ukodishaji wa bandari za Tanganyika especially Dar es port kwa DP world ilitrend kwa muda mwingi na sasa imetulia tuli.

Wapo waliosema tumegawa bure maana hawakuiona pesa ikiingizwa kwenye account zao au hawakusomewa tarakimu za pesa zilizopokelewa na serikali kutoka DP world.

Ukweli ni kwamba pesa imeingi , tena ya kutosha. Iliingia kabla hata ya kukamilisha mikataba.Imeingia wamegawana kulingana na cheo na ushawishi wa mtu katika jamii.

Sasa wana pesa za kusomesha watoto Cambridge, Oxford n.k Wakimaliza vipindi vyao watoto wao from abroad watakuja kututawala.

Sema Mimi sijapata mgao wa kishika uchumba cha DP world usiseme imetolewa bure.
Post ya kipumbavu...

Tanganyika haipo....

#JMT milele dumu[emoji7]
 
Tanzania raha sana, matukio ni mengi, na watu wanakwenda na matukio. Tukio moja lina trend wiki 2 , mwezi, miezi 3 na kubwa sana linachukua miezi 4-6 kisha linazimika.

Issue ya ukodishaji wa bandari za Tanganyika especially Dar es salaam port kwa DP world ilitrend kwa muda mwingi na sasa imetulia tuli.

Wapo waliosema tumegawa bure maana hawakuiona pesa ikiingizwa kwenye account zao au hawakusomewa tarakimu za pesa zilizopokelewa na serikali kutoka DP world.

Ukweli ni kwamba pesa imeingia , tena ya kutosha. Iliingia kabla hata ya kukamilisha mikataba.Imeingia wamegawana kulingana na cheo na ushawishi wa mtu katika jamii.

Sasa wana pesa za kusomesha watoto Cambridge, Oxford n.k Wakimaliza vipindi vyao watoto wao from abroad watakuja kututawala.

Sema Mimi sijapata mgao wa kishika uchumba cha DP world usiseme imetolewa bure.
Bandari ngapi "za Tanganyika" wamepewa?
 
Tanzania raha sana, matukio ni mengi, na watu wanakwenda na matukio. Tukio moja lina trend wiki 2 , mwezi, miezi 3 na kubwa sana linachukua miezi 4-6 kisha linazimika.

Issue ya ukodishaji wa bandari za Tanganyika especially Dar es salaam port kwa DP world ilitrend kwa muda mwingi na sasa imetulia tuli.

Wapo waliosema tumegawa bure maana hawakuiona pesa ikiingizwa kwenye account zao au hawakusomewa tarakimu za pesa zilizopokelewa na serikali kutoka DP world.

Ukweli ni kwamba pesa imeingia , tena ya kutosha. Iliingia kabla hata ya kukamilisha mikataba.Imeingia wamegawana kulingana na cheo na ushawishi wa mtu katika jamii.

Sasa wana pesa za kusomesha watoto Cambridge, Oxford n.k Wakimaliza vipindi vyao watoto wao from abroad watakuja kututawala.

Sema Mimi sijapata mgao wa kishika uchumba cha DP world usiseme imetolewa bure.
🤣🤣🤣🤣
 
Tanzania raha sana, matukio ni mengi, na watu wanakwenda na matukio. Tukio moja lina trend wiki 2 , mwezi, miezi 3 na kubwa sana linachukua miezi 4-6 kisha linazimika.

Issue ya ukodishaji wa bandari za Tanganyika especially Dar es salaam port kwa DP world ilitrend kwa muda mwingi na sasa imetulia tuli.

Wapo waliosema tumegawa bure maana hawakuiona pesa ikiingizwa kwenye account zao au hawakusomewa tarakimu za pesa zilizopokelewa na serikali kutoka DP world.

Ukweli ni kwamba pesa imeingia , tena ya kutosha. Iliingia kabla hata ya kukamilisha mikataba.Imeingia wamegawana kulingana na cheo na ushawishi wa mtu katika jamii.

Sasa wana pesa za kusomesha watoto Cambridge, Oxford n.k Wakimaliza vipindi vyao watoto wao from abroad watakuja kututawala.

Sema Mimi sijapata mgao wa kishika uchumba cha DP world usiseme imetolewa bure.
Wewe kutopata mgao ni ukweli kwamba ulichoandika ni majungu tu sawa na zile simulizi za kwenye viti virefu.
 
Nimeona wamepata hasara kwenye shughuli zao za bandari duniani kwa mwaka wa fedha uliopita.
 
Hii Tanzania kumbe kelele zote ni mchongo,yaani toka akiwa mimba anaota mchongo,akizaliwa anawaza mchongo,akihitimu chuo anadai mchongo.
Na akipewa ajira anabariki mchongo.
Tanzania Tanzania tunaelekea wapi?
 
Tanzania raha sana, matukio ni mengi, na watu wanakwenda na matukio. Tukio moja lina trend wiki 2 , mwezi, miezi 3 na kubwa sana linachukua miezi 4-6 kisha linazimika.

Issue ya ukodishaji wa bandari za Tanganyika especially Dar es salaam port kwa DP world ilitrend kwa muda mwingi na sasa imetulia tuli.

Wapo waliosema tumegawa bure maana hawakuiona pesa ikiingizwa kwenye account zao au hawakusomewa tarakimu za pesa zilizopokelewa na serikali kutoka DP world.

Ukweli ni kwamba pesa imeingia , tena ya kutosha. Iliingia kabla hata ya kukamilisha mikataba.Imeingia wamegawana kulingana na cheo na ushawishi wa mtu katika jamii.

Sasa wana pesa za kusomesha watoto Cambridge, Oxford n.k Wakimaliza vipindi vyao watoto wao from abroad watakuja kututawala.

Sema Mimi sijapata mgao wa kishika uchumba cha DP world usiseme imetolewa bure.
Sasa mbona hujasema wewe unasomesha wapi hivi sasa,na je uliuonaje mfuko?
 
Kama umekufa ni wewe, Tanganyika bado iko hai
Sijafa....

Kwa kinywa kipana na kiburi unakataa ukuntu wa FASIHI SIMULIZI + FASIHI ANDISHI za mfinyangaji wa taifa letu hayati baba wa taifa juu ya ni kwanini JMT iwepo na Tanganyika isiwepo ??!

Ni mbango dadangu Tusekelege ?!! [emoji1787]
 
Hili ni janga, habari kubwa mitandaoni ni DP World wamekazia hukumu Marekani dhidi ya Djibouti iliyovunja mkataba kama huu
Imeamriwa Serikali ya Djibouti iwalipe DP World $200milion
Sasa akitokea "Magu'' mwingine kutaka kuvunja mkataba huu tumekwisha.
 
Hili ni janga, habari kubwa mitandaoni ni DP World wamekazia hukumu Marekani dhidi ya Djibouti iliyovunja mkataba kama huu
Imeamriwa Serikali ya Djibouti iwalipe DP World $200milion
Sasa akitokea "Magu'' mwingine kutaka kuvunja mkataba huu tumekwisha.
Huruma
 
Back
Top Bottom