DP World: Hizi Kelele, Kulalamika, Shutuma, na Lawama ni za Kweli au ni Ujinga Tu? Rais Samia Anastahili Kulaumiwa au Kupongezwa?

DP World: Hizi Kelele, Kulalamika, Shutuma, na Lawama ni za Kweli au ni Ujinga Tu? Rais Samia Anastahili Kulaumiwa au Kupongezwa?

R.I.P Magufuli ulisema Tanzania ni tajiri na ukatuonyesha kwa vitendo baada ya kuanzisha miradi mikubwa barani Afrika, viongozi uliowaacha hawaamini kama Tanzania ni tajiri wanaamini katika kuombaomba.
Miradi gani? Zaidi ya kudumaza Uchumi? Miaka 6 yupo Madarakani uchumi haujakua hata asilimia 10%
 
Mbona huwa unatoa hoja za kiuoga oga wewe.
Tiririka mwanangu acha uoga wa kujipendekeza Kama Yule rafiki yako anayeitwa Lukas Mwashamba.
 
Hivyo naomba kutoa wito, kila Mtanzania mwenye uelewa na ushauri mzuri wa kusaidia, ajitokeze, atoe ushauri, wa namna bora ya kuiboresha HGA inayokuja na kuiomba serikali yetu iwe sikivu kupokea michango chanya, tutaisaidia sana serikali yetu, tutamsaidia sana Rais wetu Samia na kulisaidia taifa letu Tanzania.
Kumbe Kweli Bunge halijaidhinisha Azimio la serikali?

Hii alama ya kuuliza ni ulinzi.
 
R.I.P Magufuli ulisema Tanzania ni tajiri na ukatuonyesha kwa vitendo baada ya kuanzisha miradi mikubwa barani Afrika, viongozi uliowaacha hawaamini kama Tanzania ni tajiri wanaamini katika kuombaomba.
Kwanza niko upande wa wanao pinga uuzaji bandari ila ulicho andika hapa sio sahihi.. kwani miradi mikubwa ela si tulikopa?
 
Uzi wako hapa ni swali kule umepeleka conclusion ?

Unataka tujadili swali lako au tukubaliane na conclusion yako ?

Sababu heading ya Gazeti nimeona kama umesema anastahili Pongezi....

Anyway binafsi huwa sina muda wa kupongezana kama mtu akifanya vyema ni kazi yake akikosea anastahili kuwa criticized after all hio kazi hakulazimishwa hata akiamua kuondoka sasa hivi kuna wengi wanaitaka....

Nadhani na wewe ungelisaidia taifa ukiwa more of a critic rather than a cheerleader... / Muunga mkono Hoja
 
Wanabodi,

Hii ni makala yangu kwenye Nipashe ya leo.

View attachment 2661201View attachment 2661204
Kama kawaida yangu, kila nipotapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zinazozungumzia jambo lolote lenye maslahi kwa taifa, liwe ni la kisiasa, kiuchumi au kijamii, na hufanywa kwa mtindo wa maswali fikirishi, kisha hukuwekea hoja zangu elimishi, na kukuachia fursa wewe, utoe majibu yako.

Leo naendelea na mada ya wiki iliyopita kuhusu makubaliano ya kiserikali, IGA ambapo Bunge letu limeridhia makubaliano ya IGA kati ya Serikali yetu na kampuni ya DPW ya Dubai, kutuendeshea Bandari ombalo ni jambo zuri, lakini bado kuna kelele nyingi za huku na kule, kelele nyingine ni kelele za kijinga tuu kwa watu kutokujua, IGA ni nini, na HGA ni nini, hivyo swali la leo ni "Hili la Mkataba na kampuni ya DPW kutuendeshea bandari zetu, hizi kelele, kulalamika, shutuma, na lawama ni za kweli?, are they justified?, au ni kelele tuu za ujinga tuu wa kutojua sheria na mikataba?. Mhusika mkuu wa kelele hizi, kulalamikiwa huku, shutuma hizi na kutwishwa lawama ni Rais Samia!, Je Rais Samia, anastahili kulaumiwa au kupongezwa?.

Kiukweli jambo hili la DPW na serikali yetu, limefika hapa lilipofika kwa udhaifu tuu wa kitengo cha mawasiliano serikalini kushindwa kutimiza wajibu wake kikamilifu kwa kutokuwa proactive na badala yake kinakuwa reactive when the cat is already out of basket!, sina uhakika kama ni udhaifu wa uongozi, lack of vision, uwezo duni wa communicators wetu kwenye technical issues kama hii ya mikataba, au ni lack of resources kuendesha vipindi vya public information programs kuwaemisha Watanzania.

Sasa kwa vile na mimi mwandishi wako wa makala hizi pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, na ninauwezo wa kuelimisha umma, baada ya kuona serikali yetu imeshindwa kwenye hili, uzalendo umenituma kujitokeza kujitolea kuelimisha umma kidogo kuhusu IGA na HGA, kwa kuwasisitiza Watanzania wenzangu, kwanza tupunguze kelele, kupotosha na kulaumu, kwa vitu ambavyo hatuvijui kwa undani.

Kwenye hili la DPW na Bandari, kiukweli kabisa, Rais Samia anastahili pongezi za dhati na sio lawama!, IGA na DPW ni Makubaliano Tuu Sio Mkataba, Mkataba ni HGA!. ila kabla ya kwenda huko tuanze na jambo kuu la kwanza la msingi kabisa ni utendaji wa Bandari zetu na uwezo wetu wa uendeshaji, ni mdogo, hivyo tunahitaji usaidizi.

Jambo la pili kubwa na la msingi sana ni nia njema ya dhati na dhamira safi ya Rais wetu Mama Samia, kulisaidia taifa letu kutoka hapa tulipo, tuweze kusonga mbele kimaendeleo, na kufika kule tulikopaswa kuwa. Maadam Mama Samia ana nia njema na dhamira safi, naomba tuendelee kumuunga mkono kwa dhati na kumsupport ili kutimiza nia hiyo.

Ila katika utekelezaji nia njema hiyo, ndipo kwenye matatizo, kuanzia matatizo makubwa ya msingi ya kisheria, hadi matatizo madogo madogo ya uelewa finyu na tafsiri potofu za hapa na pale, ambayo hayamuhusu kabisa Rais Samia, lakini kwa vile mkubwa ni jalala, kila kitu anatupiwa yeye!, wakati matatizo mengine wala hayamhusu kabisa yeye kama Samia, ila kwa vile yeye ndio kichwa cha nchi, ndio nembo yetu, hawezi kukwepa kuhusishwa na kutajwa tajwa mara ni Mzanzibari, mara anauza nchi, mara hivi mara vile, huu ni ujinga mtupu!.

Nichukue fursa hii kuendelea kumpongeza rais wetu Mama Samia, kwa kuendelea kuwa na ngozi ngumu!, maana kuna vitu vinasemwa, ikijiuliza kama angekuwa ni Magufuli, vingesemwa?. Hata huo mkataba wa IGA, tungeuona?, hata huko Bungeni ungepelekwa?. Mnyonge tumnyongeni jamani, haki yake mpeni!, kwenye hili la kupeleka mkataba huu wa IGA kuridhiwa na Bunge, ni jambo jema linalo stahili pongezi za dhati.

Sasa tuje kwenye hili la IGA na HGA. Hapa Watanzania wanahitaji kuelimishwa hii IGA ni nini na HGA ni nini ? kazi ambayo ingefanywa kikamilifu na kitengo cha mawasiliano serikalini, tusingefika hapa tulipofika!.

IGA ni neno la Kiingereza linaloitwa Inter Governmental Agreement, IGA ni makubaliano kati ya nchi na nchi sio mkataba wa contract, ni mkataba wa makubaliano, ambao kwa kiingereza unaitwa MoU, (memorandum of understanding) kati ya serikali yetu na serikali ya Dubai kuingia mkataba wa kimataifa wa ushirikiano. Mkataba wenyewe wa ushirikiano ndio unaitwa HGA yaani Host Government Agreement, huu ndio mkataba. Kila mkataba ni makubaliano ila sio kila makubaliano ni mkataba.

Kitu kilichojadiliwa na kuridhiwa na Bunge letu ni IGA na sio HGA, hivyo hata ikithibitika pasipo shaka kuwa kuna mambo bado hayajakaa sawa kwenye makubaliano hayo ya IGA, mambo hayo yatarekebishwa kabla ya kuingia mkataba wa HGA na serikali yetu, hivyo Tanzania kufaidika kwa kuboreshewa Bandari zetu, na mwekezaji DPW kufaidika kwa kuvuna mapato halali kwa uwekezaji wake hivyo wote wawili kufaidika kwa kufikia hali inayoitwa a win win situation na Tanzania kama nchi nchi kufaidika.

Japo serikali yetu ina watendaji wazuri wa kusimamia maslahi ya taifa, lakini huku nje mitaani kuna kuwa watu wazuri tuu wenye uwezo mkubwa tuu wa kuisaidia nchi yetu na serikali yetu pengine kuliko hata hao waliopo serikalini, hoja za watu hawa zisikilizwe na kutathminiwa kama zina mashiko na manufaa zijumuishwe ili tupate mkataba mzuri wa HGA.

Hivyo naomba kutoa wito, kila Mtanzania mwenye uelewa na ushauri mzuri wa kusaidia, ajitokeze, atoe ushauri, wa namna bora ya kuiboresha HGA inayokuja na kuiomba serikali yetu iwe sikivu kupokea michango chanya, tutaisaidia sana serikali yetu, tutamsaidia sana Rais wetu Samia na kulisaidia taifa letu Tanzania.

Naendelea kusisitiza Rais wetu, Mama Samia, ana nia njema ya kweli na ya dhati kulisaidia taifa letu, tumuunge mkono tukiwemo sisi watu wa Mhimili wa Nne, the media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu kwa kuhabarisha taarifa sahihi na kuelimisha maeneo yenye ukakasi kwenye hii IGA ili hivyo vipengele kakasi vya IGA viboreshwe kwenye HGA ili hii kazi nzuri ya Mama Samia iendelee!.

Kwa upande wangu mimi kama nilivyosema, licha ya kuwa ni mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, mimi pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, kwa kujitolea kutetea bure haki kwa wasio na uwezo, hivyo wiki ijayo nitawachambulia hii IGA kisheria kwa kuwaonyeshea maeneo yenye ukakasi wa kisheria.

Kwa vile Rais Samia ana nia njema ya dhati kuisaidia nchi yetu, wasaidizi wa rais na sisi Watanzania wengine wote tuna wajibu wa kumsaidia rais wetu na kulisaidia taifa letu kama makala hizi zinachofanya na huu ndio uzalendo wa kweli wa mtu kwa taifa lake.

Wasalaam

Paskali.
Bado anafanya uteuzi vuta subira Paskali.
 
Wanabodi,

Hii ni makala yangu kwenye Nipashe ya leo.

View attachment 2661201View attachment 2661204
Kama kawaida yangu, kila nipotapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zinazozungumzia jambo lolote lenye maslahi kwa taifa, liwe ni la kisiasa, kiuchumi au kijamii, na hufanywa kwa mtindo wa maswali fikirishi, kisha hukuwekea hoja zangu elimishi, na kukuachia fursa wewe, utoe majibu yako.

Leo naendelea na mada ya wiki iliyopita kuhusu makubaliano ya kiserikali, IGA ambapo Bunge letu limeridhia makubaliano ya IGA kati ya Serikali yetu na kampuni ya DPW ya Dubai, kutuendeshea Bandari ombalo ni jambo zuri, lakini bado kuna kelele nyingi za huku na kule, kelele nyingine ni kelele za kijinga tuu kwa watu kutokujua, IGA ni nini, na HGA ni nini, hivyo swali la leo ni "Hili la Mkataba na kampuni ya DPW kutuendeshea bandari zetu, hizi kelele, kulalamika, shutuma, na lawama ni za kweli?, are they justified?, au ni kelele tuu za ujinga tuu wa kutojua sheria na mikataba?. Mhusika mkuu wa kelele hizi, kulalamikiwa huku, shutuma hizi na kutwishwa lawama ni Rais Samia!, Je Rais Samia, anastahili kulaumiwa au kupongezwa?.

Kiukweli jambo hili la DPW na serikali yetu, limefika hapa lilipofika kwa udhaifu tuu wa kitengo cha mawasiliano serikalini kushindwa kutimiza wajibu wake kikamilifu kwa kutokuwa proactive na badala yake kinakuwa reactive when the cat is already out of basket!, sina uhakika kama ni udhaifu wa uongozi, lack of vision, uwezo duni wa communicators wetu kwenye technical issues kama hii ya mikataba, au ni lack of resources kuendesha vipindi vya public information programs kuwaemisha Watanzania.

Sasa kwa vile na mimi mwandishi wako wa makala hizi pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, na ninauwezo wa kuelimisha umma, baada ya kuona serikali yetu imeshindwa kwenye hili, uzalendo umenituma kujitokeza kujitolea kuelimisha umma kidogo kuhusu IGA na HGA, kwa kuwasisitiza Watanzania wenzangu, kwanza tupunguze kelele, kupotosha na kulaumu, kwa vitu ambavyo hatuvijui kwa undani.

Kwenye hili la DPW na Bandari, kiukweli kabisa, Rais Samia anastahili pongezi za dhati na sio lawama!, IGA na DPW ni Makubaliano Tuu Sio Mkataba, Mkataba ni HGA!. ila kabla ya kwenda huko tuanze na jambo kuu la kwanza la msingi kabisa ni utendaji wa Bandari zetu na uwezo wetu wa uendeshaji, ni mdogo, hivyo tunahitaji usaidizi.

Jambo la pili kubwa na la msingi sana ni nia njema ya dhati na dhamira safi ya Rais wetu Mama Samia, kulisaidia taifa letu kutoka hapa tulipo, tuweze kusonga mbele kimaendeleo, na kufika kule tulikopaswa kuwa. Maadam Mama Samia ana nia njema na dhamira safi, naomba tuendelee kumuunga mkono kwa dhati na kumsupport ili kutimiza nia hiyo.

Ila katika utekelezaji nia njema hiyo, ndipo kwenye matatizo, kuanzia matatizo makubwa ya msingi ya kisheria, hadi matatizo madogo madogo ya uelewa finyu na tafsiri potofu za hapa na pale, ambayo hayamuhusu kabisa Rais Samia, lakini kwa vile mkubwa ni jalala, kila kitu anatupiwa yeye!, wakati matatizo mengine wala hayamhusu kabisa yeye kama Samia, ila kwa vile yeye ndio kichwa cha nchi, ndio nembo yetu, hawezi kukwepa kuhusishwa na kutajwa tajwa mara ni Mzanzibari, mara anauza nchi, mara hivi mara vile, huu ni ujinga mtupu!.

Nichukue fursa hii kuendelea kumpongeza rais wetu Mama Samia, kwa kuendelea kuwa na ngozi ngumu!, maana kuna vitu vinasemwa, ikijiuliza kama angekuwa ni Magufuli, vingesemwa?. Hata huo mkataba wa IGA, tungeuona?, hata huko Bungeni ungepelekwa?. Mnyonge tumnyongeni jamani, haki yake mpeni!, kwenye hili la kupeleka mkataba huu wa IGA kuridhiwa na Bunge, ni jambo jema linalo stahili pongezi za dhati.

Sasa tuje kwenye hili la IGA na HGA. Hapa Watanzania wanahitaji kuelimishwa hii IGA ni nini na HGA ni nini ? kazi ambayo ingefanywa kikamilifu na kitengo cha mawasiliano serikalini, tusingefika hapa tulipofika!.

IGA ni neno la Kiingereza linaloitwa Inter Governmental Agreement, IGA ni makubaliano kati ya nchi na nchi sio mkataba wa contract, ni mkataba wa makubaliano, ambao kwa kiingereza unaitwa MoU, (memorandum of understanding) kati ya serikali yetu na serikali ya Dubai kuingia mkataba wa kimataifa wa ushirikiano. Mkataba wenyewe wa ushirikiano ndio unaitwa HGA yaani Host Government Agreement, huu ndio mkataba. Kila mkataba ni makubaliano ila sio kila makubaliano ni mkataba.

Kitu kilichojadiliwa na kuridhiwa na Bunge letu ni IGA na sio HGA, hivyo hata ikithibitika pasipo shaka kuwa kuna mambo bado hayajakaa sawa kwenye makubaliano hayo ya IGA, mambo hayo yatarekebishwa kabla ya kuingia mkataba wa HGA na serikali yetu, hivyo Tanzania kufaidika kwa kuboreshewa Bandari zetu, na mwekezaji DPW kufaidika kwa kuvuna mapato halali kwa uwekezaji wake hivyo wote wawili kufaidika kwa kufikia hali inayoitwa a win win situation na Tanzania kama nchi nchi kufaidika.

Japo serikali yetu ina watendaji wazuri wa kusimamia maslahi ya taifa, lakini huku nje mitaani kuna kuwa watu wazuri tuu wenye uwezo mkubwa tuu wa kuisaidia nchi yetu na serikali yetu pengine kuliko hata hao waliopo serikalini, hoja za watu hawa zisikilizwe na kutathminiwa kama zina mashiko na manufaa zijumuishwe ili tupate mkataba mzuri wa HGA.

Hivyo naomba kutoa wito, kila Mtanzania mwenye uelewa na ushauri mzuri wa kusaidia, ajitokeze, atoe ushauri, wa namna bora ya kuiboresha HGA inayokuja na kuiomba serikali yetu iwe sikivu kupokea michango chanya, tutaisaidia sana serikali yetu, tutamsaidia sana Rais wetu Samia na kulisaidia taifa letu Tanzania.

Naendelea kusisitiza Rais wetu, Mama Samia, ana nia njema ya kweli na ya dhati kulisaidia taifa letu, tumuunge mkono tukiwemo sisi watu wa Mhimili wa Nne, the media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu kwa kuhabarisha taarifa sahihi na kuelimisha maeneo yenye ukakasi kwenye hii IGA ili hivyo vipengele kakasi vya IGA viboreshwe kwenye HGA ili hii kazi nzuri ya Mama Samia iendelee!.

Kwa upande wangu mimi kama nilivyosema, licha ya kuwa ni mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, mimi pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, kwa kujitolea kutetea bure haki kwa wasio na uwezo, hivyo wiki ijayo nitawachambulia hii IGA kisheria kwa kuwaonyeshea maeneo yenye ukakasi wa kisheria.

Kwa vile Rais Samia ana nia njema ya dhati kuisaidia nchi yetu, wasaidizi wa rais na sisi Watanzania wengine wote tuna wajibu wa kumsaidia rais wetu na kulisaidia taifa letu kama makala hizi zinachofanya na huu ndio uzalendo wa kweli wa mtu kwa taifa lake.

Wasalaam

Paskali.
Ahsante sana kwa wasilisho zuri sana, big up. Asiyetaka kuelewa huwezi kumlazimisha. Ni kweli ingekuwa JPM wangesikia tu DP World inaendesha bandari na hakuna ambaye angenyanyua ulimi wake. Tumshukuru Mungu tuna mtu sahihi kwa wakati sahihi. Mi sikumbuki km mambo ya SGR, daraja la Kigongo-Busisi, Chato international Airport na mengine km hayo yalipelekwa bungeni. Rais Samia ametoa uhuru wa vyombo vya habari badala tuutumie vizuri tunautumia vibaya tena bila aibu kumtukana aliyetutunuku huyu ambao ulishaporwa kabla. Kwlei watanzania ni km punda tu, shukrani zetu ni mateke. Tunaye rais mzuri sana tumheshimu, tumsikilize, tutoe ushauri kwa staha. Rais ni rais anatumia katiba ile ile alokuwa anatumia JPM, Madaraka ya rais wetu ni makubwa sana tusimchokoze sana kupitiliza.
 
Samia ni msaliti katutoa sadaka kwa mwarabu.
Kwa bahati nzuri hizi propaganda zenu zitashindwa kama zilivyoshindwa zile za wakenya wa Loliondo, waliokuwa wanaitumia ardhi yetu kulishia mifugo yao, kulimia nk kwa kigezo cha kuuvaa umasai wa mchongo.

Wezi, wapiga madili, wauza spea za magari ya watu pale bandarini, wakwepa kodi na wapitisha madawa ya kulevya ambao walishindwa kujenga kupitia mfumo butu uliyokuwepo miaka yote pale bandarini ndo basi tena.

Hata wakijificha katika kimvuli cha kuwahusisha waarab haitosaidia kitu, maana raisi wetu anafahamu fika kwamba akicheka na nyani ataishia kuvuna mabua.

Hii vita ya kupambana na watu wanaonufaika na mfumo mbovu wa bandari yetu, ni sawa sawa na ile vita ya wauza madawa ya kulevya na mateja wao aliyopigana nayo hayati Magufuli, hadi kupelekea wanasiasa uchwara kuwa upande wa wauza madawa ili kupewa vijipesa vya kula na kujizolea kundi la mateja kadhaa katika vyama vyao.

Na bado hilo halikuweza kuwasaidia kitu walengwa.
 
Tunachotaka ni majibu ya hoja zetu, sio uzuri wa DPWORLD au nia njema ya mhe. Rais. Nakumpa mfano mdogo tu, gari la serikali likipata itilafu likawa halitengenezeki unadhani unaweza kuliuza ndani ya mwezi au wiki kama mali yako binafsi? Je ukiliuza ndani ya wiki au mwezi huoni kuwa ni faida kuliko kusubiri vibali vikamilike ambavyo vyaweza kukamilika baada ya miaka 5 nakukuta gari lenyewe lilishaoza, lkn watu wakiuliza kwanini gari umeliuza bila kufuata utaratibu uwape majibu, na kumbuka kuna watakaosema unauza mali za serikali hovyo hovyo.
Hii ni point muhimu. Hawataki kujibu point muhimu. Issue sio kukataa uwekezaji, kwamba ni waarabu, Rais ni Mzanzibari, Mwanamke, Muislamu. Hizo ni mbinu mbovu ya kuwagawanya Watanzania.

Issue ni vipengele, masharti ya mkataba.

Wamewekewa karatasi wakasaini baada ya kualikwa na kutembezwa Dubai, na vitu vingine. Hata wazungu, Wachina wangepingwa kwa mkataba mbovu kama huu. Mwanasheria na Mwanahabari nguli anautetea.

Wote tunahitaji wawekezaji kama nchi yoyote duniani. Lakini kwa win - win situation.

Uwazi, uwajibikaji, ukweli, uzalendo utatuweka huru na kusaidia.
 
HUU UPEPO UTAPITA TU ,NA MAISHA YATAENDELEA
KIKUBWA BANDARI IFANYE KAZI KIUFANISI ZAIDI,HAYO MAMBO MENGINE SISI HAYATUHUSU

Maana TPA na wengineo hapo wamekuwa wakifanya kazi kizembe,uwizi,kujuana tu

Ova
 
Wanabodi,

Hii ni makala yangu kwenye Nipashe ya leo.

View attachment 2661201View attachment 2661204
Kama kawaida yangu, kila nipotapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zinazozungumzia jambo lolote lenye maslahi kwa taifa, liwe ni la kisiasa, kiuchumi au kijamii, na hufanywa kwa mtindo wa maswali fikirishi, kisha hukuwekea hoja zangu elimishi, na kukuachia fursa wewe, utoe majibu yako.

Leo naendelea na mada ya wiki iliyopita kuhusu makubaliano ya kiserikali, IGA ambapo Bunge letu limeridhia makubaliano ya IGA kati ya Serikali yetu na kampuni ya DPW ya Dubai, kutuendeshea Bandari ombalo ni jambo zuri, lakini bado kuna kelele nyingi za huku na kule, kelele nyingine ni kelele za kijinga tuu kwa watu kutokujua, IGA ni nini, na HGA ni nini, hivyo swali la leo ni "Hili la Mkataba na kampuni ya DPW kutuendeshea bandari zetu, hizi kelele, kulalamika, shutuma, na lawama ni za kweli?, are they justified?, au ni kelele tuu za ujinga tuu wa kutojua sheria na mikataba?. Mhusika mkuu wa kelele hizi, kulalamikiwa huku, shutuma hizi na kutwishwa lawama ni Rais Samia!, Je Rais Samia, anastahili kulaumiwa au kupongezwa?.

Kiukweli jambo hili la DPW na serikali yetu, limefika hapa lilipofika kwa udhaifu tuu wa kitengo cha mawasiliano serikalini kushindwa kutimiza wajibu wake kikamilifu kwa kutokuwa proactive na badala yake kinakuwa reactive when the cat is already out of basket!, sina uhakika kama ni udhaifu wa uongozi, lack of vision, uwezo duni wa communicators wetu kwenye technical issues kama hii ya mikataba, au ni lack of resources kuendesha vipindi vya public information programs kuwaemisha Watanzania.

Sasa kwa vile na mimi mwandishi wako wa makala hizi pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, na ninauwezo wa kuelimisha umma, baada ya kuona serikali yetu imeshindwa kwenye hili, uzalendo umenituma kujitokeza kujitolea kuelimisha umma kidogo kuhusu IGA na HGA, kwa kuwasisitiza Watanzania wenzangu, kwanza tupunguze kelele, kupotosha na kulaumu, kwa vitu ambavyo hatuvijui kwa undani.

Kwenye hili la DPW na Bandari, kiukweli kabisa, Rais Samia anastahili pongezi za dhati na sio lawama!, IGA na DPW ni Makubaliano Tuu Sio Mkataba, Mkataba ni HGA!. ila kabla ya kwenda huko tuanze na jambo kuu la kwanza la msingi kabisa ni utendaji wa Bandari zetu na uwezo wetu wa uendeshaji, ni mdogo, hivyo tunahitaji usaidizi.

Jambo la pili kubwa na la msingi sana ni nia njema ya dhati na dhamira safi ya Rais wetu Mama Samia, kulisaidia taifa letu kutoka hapa tulipo, tuweze kusonga mbele kimaendeleo, na kufika kule tulikopaswa kuwa. Maadam Mama Samia ana nia njema na dhamira safi, naomba tuendelee kumuunga mkono kwa dhati na kumsupport ili kutimiza nia hiyo.

Ila katika utekelezaji nia njema hiyo, ndipo kwenye matatizo, kuanzia matatizo makubwa ya msingi ya kisheria, hadi matatizo madogo madogo ya uelewa finyu na tafsiri potofu za hapa na pale, ambayo hayamuhusu kabisa Rais Samia, lakini kwa vile mkubwa ni jalala, kila kitu anatupiwa yeye!, wakati matatizo mengine wala hayamhusu kabisa yeye kama Samia, ila kwa vile yeye ndio kichwa cha nchi, ndio nembo yetu, hawezi kukwepa kuhusishwa na kutajwa tajwa mara ni Mzanzibari, mara anauza nchi, mara hivi mara vile, huu ni ujinga mtupu!.

Nichukue fursa hii kuendelea kumpongeza rais wetu Mama Samia, kwa kuendelea kuwa na ngozi ngumu!, maana kuna vitu vinasemwa, ikijiuliza kama angekuwa ni Magufuli, vingesemwa?. Hata huo mkataba wa IGA, tungeuona?, hata huko Bungeni ungepelekwa?. Mnyonge tumnyongeni jamani, haki yake mpeni!, kwenye hili la kupeleka mkataba huu wa IGA kuridhiwa na Bunge, ni jambo jema linalo stahili pongezi za dhati.

Sasa tuje kwenye hili la IGA na HGA. Hapa Watanzania wanahitaji kuelimishwa hii IGA ni nini na HGA ni nini ? kazi ambayo ingefanywa kikamilifu na kitengo cha mawasiliano serikalini, tusingefika hapa tulipofika!.

IGA ni neno la Kiingereza linaloitwa Inter Governmental Agreement, IGA ni makubaliano kati ya nchi na nchi sio mkataba wa contract, ni mkataba wa makubaliano, ambao kwa kiingereza unaitwa MoU, (memorandum of understanding) kati ya serikali yetu na serikali ya Dubai kuingia mkataba wa kimataifa wa ushirikiano. Mkataba wenyewe wa ushirikiano ndio unaitwa HGA yaani Host Government Agreement, huu ndio mkataba. Kila mkataba ni makubaliano ila sio kila makubaliano ni mkataba.

Kitu kilichojadiliwa na kuridhiwa na Bunge letu ni IGA na sio HGA, hivyo hata ikithibitika pasipo shaka kuwa kuna mambo bado hayajakaa sawa kwenye makubaliano hayo ya IGA, mambo hayo yatarekebishwa kabla ya kuingia mkataba wa HGA na serikali yetu, hivyo Tanzania kufaidika kwa kuboreshewa Bandari zetu, na mwekezaji DPW kufaidika kwa kuvuna mapato halali kwa uwekezaji wake hivyo wote wawili kufaidika kwa kufikia hali inayoitwa a win win situation na Tanzania kama nchi nchi kufaidika.

Japo serikali yetu ina watendaji wazuri wa kusimamia maslahi ya taifa, lakini huku nje mitaani kuna kuwa watu wazuri tuu wenye uwezo mkubwa tuu wa kuisaidia nchi yetu na serikali yetu pengine kuliko hata hao waliopo serikalini, hoja za watu hawa zisikilizwe na kutathminiwa kama zina mashiko na manufaa zijumuishwe ili tupate mkataba mzuri wa HGA.

Hivyo naomba kutoa wito, kila Mtanzania mwenye uelewa na ushauri mzuri wa kusaidia, ajitokeze, atoe ushauri, wa namna bora ya kuiboresha HGA inayokuja na kuiomba serikali yetu iwe sikivu kupokea michango chanya, tutaisaidia sana serikali yetu, tutamsaidia sana Rais wetu Samia na kulisaidia taifa letu Tanzania.

Naendelea kusisitiza Rais wetu, Mama Samia, ana nia njema ya kweli na ya dhati kulisaidia taifa letu, tumuunge mkono tukiwemo sisi watu wa Mhimili wa Nne, the media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu kwa kuhabarisha taarifa sahihi na kuelimisha maeneo yenye ukakasi kwenye hii IGA ili hivyo vipengele kakasi vya IGA viboreshwe kwenye HGA ili hii kazi nzuri ya Mama Samia iendelee!.

Kwa upande wangu mimi kama nilivyosema, licha ya kuwa ni mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, mimi pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, kwa kujitolea kutetea bure haki kwa wasio na uwezo, hivyo wiki ijayo nitawachambulia hii IGA kisheria kwa kuwaonyeshea maeneo yenye ukakasi wa kisheria.

Kwa vile Rais Samia ana nia njema ya dhati kuisaidia nchi yetu, wasaidizi wa rais na sisi Watanzania wengine wote ambao ni Wazalendo wa kweli wa taifa tuna wajibu wa kumsaidia rais wetu na kulisaidia taifa letu kama makala hizi za kwa maslahi ya taifa zinachofanya na huu ndio uzalendo wa kweli wa mtu kwa taifa lake.

Namalizia kwa lile swali kuu la msingi la uzi huu, kwenye hili la DPW, Je Rais Samia, anastahili lawama kulaumiwa au pongezi kupongezwa?.

Wasalaam

Paskali.

Mkataba wa hovyo kama huu. Ukipewa usaini kuuza nyumba yako utaona uko sahihi!

Anayenunua anakupa masharti, vipengele vyote wewe umekaa pale unacheka, unasaini!

kuuza nyumba, nchi yako ndio unaona uko sahihi sana?
 
Dr. Madam Samia deserve congratulations for what she do, wengi mirija yao ya wizi itakufa na system kuwa perfect ajabu wapo watu ndani ya serekali hii hii wanamirija ya wizi mkubwa nayo itajiziba, NDIYO SABABU YA MAYOWE YOTE HAYA , KAMA MLIKUWA HAMFAHAMU HILI.
Serikali imeshindwa vp kuwawajibisha hao wenye hiyo unayoita mirija?
Kwamaana hiyo unakiri kuwa Serikali yetu imeshindwa kutuongoza yenyewe ndio inahitaji kubinafsishwa?
 
nimesoma mkala yako, kwa uweledi mkubwa kama mtanzania,

nimegundua na kuona yafuatayo;
1. kweli najua wewe ni msheria, ila andiko lako lina ombwe kubwa sana la sheria za investment,
2. paragraph yako ya pili, unatushutumu kuwa hatujui IGA, na HGA na ulichokieleza kwenye andiko lako nadhani wewe ndio huna ufahamu wa hizo terms, na namna zinavyotumika kwenye sheria za uwekezaji.

2. udadavuaji wako wa IGA na HGA unaonyesha hujajipa kazi kuelewa implication za IGA in case of breach in HGA?, hivyo naweza kuhitimisha pia tafiti yako kwenye sheria za uwekezaji hujaitendea haki
3. aidha kwa makusudi au kutokujua, ukisoma paragraph 8 umeeleza IGA imeenda Bungeni kwa hisani ya Samia hivyo tumpongeze kwa ujasiri, nilidhani kama wakili na mwandishi ingeeleza wajibu wa international agreement to be tendered to the parliament, confer (angalia) article (ibara) ya63 (3) (e) ya Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
4. ukiendelea kusema IGA sio mkataba, unawakosea sana Watanzania, aidha kwa makusubi au kwa kutokujua, the implication ya makubaliano ya mataifa mawili (bilateral agreement) kwa level ya international agreemeent.
5. ebu waeleze watanzania kwa nini tanzania imeingia IGA kwenye investment ya bandari?, usisimply kuwa kuwa sio mkataba, na level yake ni nini ulipopelekwa bungeni? tukivunja makabuliano ya IGA kinafuata nini, waeleze haya kwa mtazamo wa investment laws, na consequences zake in case of breach of HGA, na inatumikaje hiyo IGA

6. mwisho napenda kuwashauri, ukisoma kuanzai paragraph yako ya kwanza hadi nane tayari umechagua upande, hivyo no neutrality ya kazi yako kama mwandishi,


please tumia sheria tueleze implication za IGA, and HGA kwenye investment laws.

Huyo ni mjinga mmoja fulani hivi.
 
Serikali imeshindwa vp kuwawajibisha hao wenye hiyo unayoita mirija?
Kwamaana hiyo unakiri kuwa Serikali yetu imeshindwa kutuongoza yenyewe ndio inahitaji kubinafsishwa?
Nyerere alishindwaje? Alijenga kila kitu kwa jasho na damu vilikufaje? Maana alipaswa kuwa mwenye hasira kali zaidi, UNAPIKUWA POSITIVE, NA MAZINGIRA YOTE YAKAWA NEGATIVE, WORK DONE HUWA ZERO HATA UWE NA JUHUDI GANI.
 
Wanabodi,

Hii ni makala yangu kwenye Nipashe ya leo.

View attachment 2661201View attachment 2661204
Kama kawaida yangu, kila nipotapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zinazozungumzia jambo lolote lenye maslahi kwa taifa, liwe ni la kisiasa, kiuchumi au kijamii, na hufanywa kwa mtindo wa maswali fikirishi, kisha hukuwekea hoja zangu elimishi, na kukuachia fursa wewe, utoe majibu yako.

Leo naendelea na mada ya wiki iliyopita kuhusu makubaliano ya kiserikali, IGA ambapo Bunge letu limeridhia makubaliano ya IGA kati ya Serikali yetu na kampuni ya DPW ya Dubai, kutuendeshea Bandari ombalo ni jambo zuri, lakini bado kuna kelele nyingi za huku na kule, kelele nyingine ni kelele za kijinga tuu kwa watu kutokujua, IGA ni nini, na HGA ni nini, hivyo swali la leo ni "Hili la Mkataba na kampuni ya DPW kutuendeshea bandari zetu, hizi kelele, kulalamika, shutuma, na lawama ni za kweli?, are they justified?, au ni kelele tuu za ujinga tuu wa kutojua sheria na mikataba?. Mhusika mkuu wa kelele hizi, kulalamikiwa huku, shutuma hizi na kutwishwa lawama ni Rais Samia!, Je Rais Samia, anastahili kulaumiwa au kupongezwa?.

Kiukweli jambo hili la DPW na serikali yetu, limefika hapa lilipofika kwa udhaifu tuu wa kitengo cha mawasiliano serikalini kushindwa kutimiza wajibu wake kikamilifu kwa kutokuwa proactive na badala yake kinakuwa reactive when the cat is already out of basket!, sina uhakika kama ni udhaifu wa uongozi, lack of vision, uwezo duni wa communicators wetu kwenye technical issues kama hii ya mikataba, au ni lack of resources kuendesha vipindi vya public information programs kuwaemisha Watanzania.

Sasa kwa vile na mimi mwandishi wako wa makala hizi pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, na ninauwezo wa kuelimisha umma, baada ya kuona serikali yetu imeshindwa kwenye hili, uzalendo umenituma kujitokeza kujitolea kuelimisha umma kidogo kuhusu IGA na HGA, kwa kuwasisitiza Watanzania wenzangu, kwanza tupunguze kelele, kupotosha na kulaumu, kwa vitu ambavyo hatuvijui kwa undani.

Kwenye hili la DPW na Bandari, kiukweli kabisa, Rais Samia anastahili pongezi za dhati na sio lawama!, IGA na DPW ni Makubaliano Tuu Sio Mkataba, Mkataba ni HGA!. ila kabla ya kwenda huko tuanze na jambo kuu la kwanza la msingi kabisa ni utendaji wa Bandari zetu na uwezo wetu wa uendeshaji, ni mdogo, hivyo tunahitaji usaidizi.

Jambo la pili kubwa na la msingi sana ni nia njema ya dhati na dhamira safi ya Rais wetu Mama Samia, kulisaidia taifa letu kutoka hapa tulipo, tuweze kusonga mbele kimaendeleo, na kufika kule tulikopaswa kuwa. Maadam Mama Samia ana nia njema na dhamira safi, naomba tuendelee kumuunga mkono kwa dhati na kumsupport ili kutimiza nia hiyo.

Ila katika utekelezaji nia njema hiyo, ndipo kwenye matatizo, kuanzia matatizo makubwa ya msingi ya kisheria, hadi matatizo madogo madogo ya uelewa finyu na tafsiri potofu za hapa na pale, ambayo hayamuhusu kabisa Rais Samia, lakini kwa vile mkubwa ni jalala, kila kitu anatupiwa yeye!, wakati matatizo mengine wala hayamhusu kabisa yeye kama Samia, ila kwa vile yeye ndio kichwa cha nchi, ndio nembo yetu, hawezi kukwepa kuhusishwa na kutajwa tajwa mara ni Mzanzibari, mara anauza nchi, mara hivi mara vile, huu ni ujinga mtupu!.

Nichukue fursa hii kuendelea kumpongeza rais wetu Mama Samia, kwa kuendelea kuwa na ngozi ngumu!, maana kuna vitu vinasemwa, ikijiuliza kama angekuwa ni Magufuli, vingesemwa?. Hata huo mkataba wa IGA, tungeuona?, hata huko Bungeni ungepelekwa?. Mnyonge tumnyongeni jamani, haki yake mpeni!, kwenye hili la kupeleka mkataba huu wa IGA kuridhiwa na Bunge, ni jambo jema linalo stahili pongezi za dhati.

Sasa tuje kwenye hili la IGA na HGA. Hapa Watanzania wanahitaji kuelimishwa hii IGA ni nini na HGA ni nini ? kazi ambayo ingefanywa kikamilifu na kitengo cha mawasiliano serikalini, tusingefika hapa tulipofika!.

IGA ni neno la Kiingereza linaloitwa Inter Governmental Agreement, IGA ni makubaliano kati ya nchi na nchi sio mkataba wa contract, ni mkataba wa makubaliano, ambao kwa kiingereza unaitwa MoU, (memorandum of understanding) kati ya serikali yetu na serikali ya Dubai kuingia mkataba wa kimataifa wa ushirikiano. Mkataba wenyewe wa ushirikiano ndio unaitwa HGA yaani Host Government Agreement, huu ndio mkataba. Kila mkataba ni makubaliano ila sio kila makubaliano ni mkataba.

Kitu kilichojadiliwa na kuridhiwa na Bunge letu ni IGA na sio HGA, hivyo hata ikithibitika pasipo shaka kuwa kuna mambo bado hayajakaa sawa kwenye makubaliano hayo ya IGA, mambo hayo yatarekebishwa kabla ya kuingia mkataba wa HGA na serikali yetu, hivyo Tanzania kufaidika kwa kuboreshewa Bandari zetu, na mwekezaji DPW kufaidika kwa kuvuna mapato halali kwa uwekezaji wake hivyo wote wawili kufaidika kwa kufikia hali inayoitwa a win win situation na Tanzania kama nchi nchi kufaidika.

Japo serikali yetu ina watendaji wazuri wa kusimamia maslahi ya taifa, lakini huku nje mitaani kuna kuwa watu wazuri tuu wenye uwezo mkubwa tuu wa kuisaidia nchi yetu na serikali yetu pengine kuliko hata hao waliopo serikalini, hoja za watu hawa zisikilizwe na kutathminiwa kama zina mashiko na manufaa zijumuishwe ili tupate mkataba mzuri wa HGA.

Hivyo naomba kutoa wito, kila Mtanzania mwenye uelewa na ushauri mzuri wa kusaidia, ajitokeze, atoe ushauri, wa namna bora ya kuiboresha HGA inayokuja na kuiomba serikali yetu iwe sikivu kupokea michango chanya, tutaisaidia sana serikali yetu, tutamsaidia sana Rais wetu Samia na kulisaidia taifa letu Tanzania.

Naendelea kusisitiza Rais wetu, Mama Samia, ana nia njema ya kweli na ya dhati kulisaidia taifa letu, tumuunge mkono tukiwemo sisi watu wa Mhimili wa Nne, the media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu kwa kuhabarisha taarifa sahihi na kuelimisha maeneo yenye ukakasi kwenye hii IGA ili hivyo vipengele kakasi vya IGA viboreshwe kwenye HGA ili hii kazi nzuri ya Mama Samia iendelee!.

Kwa upande wangu mimi kama nilivyosema, licha ya kuwa ni mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, mimi pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, kwa kujitolea kutetea bure haki kwa wasio na uwezo, hivyo wiki ijayo nitawachambulia hii IGA kisheria kwa kuwaonyeshea maeneo yenye ukakasi wa kisheria.

Kwa vile Rais Samia ana nia njema ya dhati kuisaidia nchi yetu, wasaidizi wa rais na sisi Watanzania wengine wote ambao ni Wazalendo wa kweli wa taifa tuna wajibu wa kumsaidia rais wetu na kulisaidia taifa letu kama makala hizi za kwa maslahi ya taifa zinachofanya na huu ndio uzalendo wa kweli wa mtu kwa taifa lake.

Namalizia kwa lile swali kuu la msingi la uzi huu, kwenye hili la DPW, Je Rais Samia, anastahili lawama kulaumiwa au pongezi kupongezwa?.

Wasalaam

Paskali.
 
La bandari walalamikaje wengi ni wale waliokuwa wanatumia bandari yetu kupitisha magendo yao ikiwemo madawa ya kulevya, waliokwepa kulipa kodi, waliokuwa wanapiga madili kwa kuiba vifaa vya magari yaliopo bandarini na vitu vingine vilivyopo hapo.

Unakuta mtu anaagiza mzigo China afu ukifika hapo unatolewa kupitia gate la uwani na baadae mtoaji anapozwa huko mtaani na mwenye mzigo afu serikali inakosa mapato.

Hii naifananisha na mfanyakazi anaekuibia dukani kwako afu ukileta mtu mungine asimamie pesa za mauzo, mfanye kazi huyo aingie mtaani na kuanza kulalamika na kukuchafua kisa umezuia wizi wake aliokuwa anautumia kujineemesha kupitia duka lako.

Wengine ni wale nyumbu na misukule ya wanasiasa fulan wanaotumiwa kwa sababu mbali mbali zikiwemo za kisiasa, huku wanasiasa hao wakiwa wameshahongwa na wale wanaonufaika na mfumo mbovu wa bandari uliyopo nk.

Nashauri raisi asilegeze kamba, maana itakuwa ni sawa na kumpa ushindi adui anaepanga kukuangamiza kupitia gharama zako mwenyewe.

Vita vya panzi furaha kwa kunguru. Hii vita inampa furaha Mkenya ambae anatamani Tanzania iendelee kuwa na mfumo huu huu mbovu wa shamba la bibi, ili bandari yao ya Mombasa iendelee kuonekana bora katika ukanda mzima wa Africa Mashariki.
Hii nchi ukiwa mgeni ni rahisi kufikiri kwamba hao DP World watakuwa msaada sana hapo bandarini ila kimsingi kwa ambao tuna uzoefu na shuhuda za mambo yanayotokeaga ni kwamba hapo itakuwa ni mfumo wa kubadilisha walaji tu.
Yani kundi lililokuwa linanufaika linaporwa tonge wanaingia wengine kula keki kupitia mkataba na DP World. Nina hakika bila huo mkataba kuvuja hii ishu ingepigwa kimya kimya tu ni kwamba kuna mtu hakupewa mgao wake akachomesha.
 
Back
Top Bottom