Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ya Ofisi ya DP WorldPicha ya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya Ofisi ya DP WorldPicha ya nini?
Itakusaidia nini wakati nimeshakupa physical address? CCM kimejaa mijitu mbumbumbu kabisa.Ya Ofisi ya DP World
Utafanya nayo nini? Hiyo picha itakusaidia nini?Ya Ofisi ya DP World
Aheri tungeona hao waarabu. Hao wazungu ndio wenye mpango mzima. Siku hizi watakuja na jina wanatoka uarabuni. Huko watapata washirika wa kuwekeza. Wafilipino ni washirika nguvukazi waaminifu na watiifu mradi wale. Kwa hakika mpango mzima ni kupora umiliki wa mali asili na kuwanyonya waafrika. Kwa ujinga wetu hatuoni wazungu wakisema njia pekee ni hivi wanakua wana wenyeji wametayarishwa na kwa ujinga wetu wanakuta kuna wengi wanakubali. DP world kwa hakika ni bomu lingine. Kama kawaida tutashituka wameshatuibia kabisa. Miaka 63 ya uhuru hakila hakuna tusiloliweza wenyewe. Tatizo ni ubinafsi ns ufisadi kwa viongozi wetu kutuingiza kwenye mikataba ya ovyo kwa maslahi yao.
Aheri tungeona hao waarabu. Hao wazungu ndio wenye mpango mzima. Siku hizi watakuja na jina wanatoka uarabuni. Huko watapata washirika wa kuwekeza. Wafilipino ni washirika nguvukazi waaminifu na watiifu mradi wale. Kwa hakika mpango mzima ni kupora umiliki wa mali asili na kuwanyonya waafrika. Kwa ujinga wetu hatuoni wazungu wakisema njia pekee ni hivi wanakua wana wenyeji wametayarishwa na kwa ujinga wetu wanakuta kuna wengi wanakubali. DP world kwa hakika ni bomu lingine. Kama kawaida tutashituka wameshatuibia kabisa. Miaka 63 ya uhuru hakila hakuna tusiloliweza wenyewe. Tatizo ni ubinafsi ns ufisadi kwa viongozi wetu kutuingiza kwenye mikataba ya ovyo kwa maslahi yao.
Itapendeza sana Dp world ikiwa chini ya waarabu badala ya mzungu kafiri, wana imani na huruma sana hao ndugu zetu waarabu.
Ukituondoa sisi Waafrika, hakuna mtu wa hovyo na asiye na utu, kama mwarabu. Ndiyo maana wamebakia kuuana wenyewe kwa wenyewe wakati wote.
Kama mwarabu hauoni utu wala thamani ya uhai wa mwarabu mwenzake, atakuthamini wewe anayekuita mtwana?
Hapa hapa Tanzania, tembelea makampuni ya Waarabu uone hali ilivyo. Wasikilize wafanyakazi wasio waarabu, ambao huwa ni wachache sana, jinsi wanavyobaguliwa. Tena ukiwa wa dini tofauti, ndiyo mbaya zaidi.
Utafanya nayo nini? Hiyo picha itakusaidia niniYa Ofisi ya DP World