KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
- #201
Wewe wasemaSidhani kama DP World ama mawakala wao wa hapa nchini watakuwa na ubavu wa kuweka miguu yao kwenye bandari ya Dar!. Siamini kama hawajitaki!! Mungu wetu ni mkuu sana! Kama hawajitaki ngoja tuone!!