DP World kuanza kuendesha bandari ya Dar es Salaam tarehe 01 Novemba 2023

DP World kuanza kuendesha bandari ya Dar es Salaam tarehe 01 Novemba 2023

Kuonyesha ufinyu wa akili yako hapa, unasahau kwamba IGA ni kati ya Tanzania na Dubai. Uwekezaji unaotafutwa sasa hivi haulazimishi ushiriki wa DP World kuhusika katika maswala hayo.
Wewe mjinga kweli, kuna tofauti gani kati ya serikali ya Dubai na hao DP World?.

Kuna mtu anatumia jina lako?, aisee fanya hima urudi mwenyewe!.
 
Wewe mjinga kweli, kuna tofauti gani kati ya serikali ya Dubai na hao DP World?.

Kuna mtu anatumia jina lako?, aisee fanya hima urudi mwenyewe!.
Sioni ajabu kwamba hukuelewa nilichoandika hapo.
Ngoja nikufafanulie uelewe.

Uwekezaji unaofanyika sasa hivi hauhusiani na IGA ya Dubai.
Uwekezaji huu ungefanyika na ulikuwa unafanyika hata kabla ya ujinga wenu mliobuni wa kuingiza hiyo Dubai.

Bandari ya Bagamoyo tulishaamua kuijenga hata kabla ya hiyo IGA, leo hii watu wajinga kama wewe unakuja hapa kupotosha kuwa ni moja ya miradi inayofanyika kwa sababu ya uwepo wa Dubai. Huu ndio upuuzi ninaotaka kukuonyesha kuwa watu wanaelewa ujinga wenu.
 
Kwa sababu wewe hunao mkataba ili uweke kifungu hicho hapa?
Kiweke kifungu, watu wakisome.
Au hata kunakiri tu maneno ya lugha hiyo kwako ni shida, kama ulivyowahi kujionyesha mwenyewe humu katika maswala ya aina hiyo?
Mkataba umevuja na kila mtu anao hata Faiza Foxy aliutafsiri kwa kiswahili, bado unakuja na mbwembwe na ujuaji wako wakati kila kitu kimo humu.
 
Sioni ajabu kwamba hukuelewa nilichoandika hapo.
Ngoja nikufafanulie uelewe.

Uwekezaji unaofanyika sasa hivi hauhusiani na IGA ya Dubai.
Uwekezaji huu ungefanyika na ulikuwa unafanyika hata kabla ya ujinga wenu mliobuni wa kuingiza hiyo Dubai.

Bandari ya Bagamoyo tulishaamua kuijenga hata kabla ya hiyo IGA, leo hii watu wajinga kama wewe unakuja hapa kupotosha kuwa ni moja ya miradi inayofanyika kwa sababu ya uwepo wa Dubai. Huu ndio upuuzi ninaotaka kukuonyesha kuwa watu wanaelewa ujinga wenu.
Hujui usemalo na kama kawaida yako matusi unaona kama vile ndio ujanja.

DP World anaanza kazi Novemba hapo TPA kwa IGA ile ile iliyopitishwa bungeni katikati ya mwaka huu, walikuwa waanza October lakini wataanza Novemba.

Leo unakuja kusema kuwa hata Bagamoyo mlikuwa mnajua kutafanyika uwekezaji, ikiwa jambo hulielewi usitanue mabega kujifanya mjuaji, kubali ueleweshwe.

Mlisema DPW anakwenda kumiliki bandari zote na tumemuuzia kila kitu, wakati ukweli ni magati manne tu anakwenda kuyamiliki, kuna fursa ya magati mengine matatu yanahitaji mwekezaji hapo hapo TPA hiyo ndio ya kujadili.
 
Yale yale ya "Kifungu", na tulishamaliza hilo kwa wewe kushindwa hata kukiweka hapa kifungu hicho. Leo hii unarudi kulekule, kuonysha upumbavu ulionao.
Kipo kifungu cha kuiendeleza sekta nzima ya shipping kwa ujumla. Kipo kifungu kinachoongelea kukuza uwezo wa vyuo vyetu mfano DMI.

Huko kwenye project contracts ndio kuna mengi yenye faida kwa biashara zetu za pale bandarini.
 
Kipo kifungu cha kuiendeleza sekta nzima ya shipping kwa ujumla. Kipo kifungu kinachoongelea kukuza uwezo wa vyuo vyetu mfano DMI.

Huko kwenye project contracts ndio kuna mengi yenye faida kwa biashara zetu za pale bandarini.
Lakini unavisikia tu wewe, hujawahi kuviona, na wala huna uwezo wa kuvielewa?
Sikiliza, hili ni kupoteza muda tu juu ya jambo ambalo halipo tena.
Tafuta sehemu nyingine ya kufanyia ufisadi kabla serikali hii mliyoiteka haijondolewa madarakani.

Habari ya IGA achana nayo sasa.
 
Lakini unavisikia tu wewe, hujawahi kuviona, na wala huna uwezo wa kuvielewa?
Sikiliza, hili ni kupoteza muda tu juu ya jambo ambalo halipo tena.
Tafuta sehemu nyingine ya kufanyia ufisadi kabla serikali hii mliyoiteka haijondolewa madarakani.

Habari ya IGA achana nayo sasa.
Pole sana maumivu yatakusumbua sana. IGA inaanza kazi bandarini Novemba mwaka huu.

Wenye uwezo wa kuelewa ni kina Kalamu walioamua kuisaliti nchi yao mchana kweupe jambo hili lipo kwa faida ya Tanzania.

Mmeleta siasa nyingi za kuudanganya umma kwenye suala la kiuchumi, hizi fitina zitakutesa sana wewe mrembo.
 
DP World anaanza kazi Novemba hapo TPA kwa IGA ile ile iliyopitishwa bungeni katikati ya mwaka huu, walikuwa waanza October lakini wataanza Novemba.
Hakuna anayekuzuia kujidanganya mwenyewe.
Dubai akipewa kazi hapo bandari, hiyo ni nje kabisa ya IGA.
Hakuna aliyesema popote kuwa DP World hawezi kupewa kazi popote Tanzania nje ya uhujumu wenu wa IGA
Leo unakuja kusema kuwa hata Bagamoyo mlikuwa mnajua kutafanyika uwekezaji, ikiwa jambo hulielewi usitanue mabega kujifanya mjuaji, kubali ueleweshwe
Haya sasa, tueleze wewe mjuaji kuhusu unachojua kuhusu Bagamoyo wasichokijua watu wengine. Tabia yako ni ya kusema mambo juu juu tu huelezi chochote!
Kwa hiyo unataka kueleza hapa kuwa Bagamoyo inafanyika chini ya IGA ya DP World. Mbona utakuwa ni mjinga wa hali ya juu sana.
 
TEC walishamaliza labda kama hawajipendi!
Wanajipenda na wanaipenda nchi kwa ujumla. Mwendeshaji anaanza kazi hapo bandarini Novemba Mosi iweke vizuri hiyo tarehe kwenye kalenda yako.

Hao TEC wanataka kuitisha serikali wakati viongozi wao wana machafu mengi sana, hiyo father Kitima ni mwenyekiti wa kamati ya kampeni ya Tundu Lissu ya urais wa 2020. Hakuiva na hayati JPM kwa sababu ya huo undumilakuwili.
 
Pole sana maumivu yatakusumbua sana. IGA inaanza kazi bandarini Novemba mwaka huu.

Wenye uwezo wa kuelewa ni kina Kalamu walioamua kuisaliti nchi yao mchana kweupe jambo hili lipo kwa faida ya Tanzania.

Mmeleta siasa nyingi za kuudanganya umma kwenye suala la kiuchumi, hizi fitina zitakutesa sana wewe mrembo.
Unanipa pole nyingi nyingi huku ikionyesha dhahiri maumivu makubwa uliyo nayo wewe kwa kunyang'anywa mfupa mdomoni?
 
Hakuna anayekuzuia kujidanganya mwenyewe.
Dubai akipewa kazi hapo bandari, hiyo ni nje kabisa ya IGA.
Hakuna aliyesema popote kuwa DP World hawezi kupewa kazi popote Tanzania nje ya uhujumu wenu wa IGA
Haya sasa, tueleze wewe mjuaji kuhusu unachojua kuhusu Bagamoyo wasichokijua watu wengine. Tabia yako ni ya kusema mambo juu juu tu huelezi chochote!
Kwa hiyo unataka kueleza hapa kuwa Bagamoyo inafanyika chini ya IGA ya DP World. Mbona utakuwa ni mjinga wa hali ya juu sana.
Kosa lililofanyika la mkataba kuvuja na ukageuka kujadiliwa mpaka na wauza maembe njiani halitafanyika tena kwenye mikataba hii ambayo zabuni zake zinatangazwa muda huu.

Serikali imejifunza jambo moja la maana sana.
 
hata ikiwa hivyo ni nje ya makubaliano ya IGA, usiwe mpumbavu.
Mpumbavu wewe usiyejua mipaka ya IGA ipo vipi, hizi project contracts zilizoandaliwa zimezaliwa baada ya IGA kupitishwa bungeni. Tatizo ni lile lile la kujifanya unajua sana mpaka unatumia na matusi kwenye sentensi zako.
 
Back
Top Bottom