Mko mlangoni kuaga ndani ya serikali ya kifisadi hii. Huo utakuwa mfupa wa mwanzo na mwisho mlionyang'anywa.Mfupa bado upo, utaanza kutafunwa baadae mwaka huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mko mlangoni kuaga ndani ya serikali ya kifisadi hii. Huo utakuwa mfupa wa mwanzo na mwisho mlionyang'anywa.Mfupa bado upo, utaanza kutafunwa baadae mwaka huu.
Ni wa mwanzo kabisa, kuna tender zimetangazwa za bandari nyinginezo za hapa hapa Tanzania.Mko mlangoni kuaga ndani ya serikali ya kifisadi hii. Huo utakuwa mfupa wa mwanzo na mwisho mlionyang'anywa.
IGA ni Dubai na Tanzania, hizi projects zinazofanyika sasa ni nje ya IGA, hazina uhusiano wowote na IGA.Mpumbavu wewe usiyejua mipaka ya IGA ipo vipi, hizi project contracts zilizoandaliwa zimezaliwa baada ya IGA kupitishwa bungeni. Tatizo ni lile lile la kujifanya unajua sana mpaka unatumia na matusi kwenye sentensi zako.
Daaaah, hii imekaa kibingwa sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Double penetration
Mkatoriki wa Italy anaeishi Tanzania nae anapigania bandarjMimi kama mtanzania;
Mimi kama mtanganyika;
Mimi kama mkatoliki;
Mimi kama mtu mwenye utimamu wa akili;
Naisubiri ccm uchaguzi mkuu wa 2025; kama kweli dp world watatia mguu Tanzania kwa mkataba ule.
Hiyo yote ni mipango iliyoandaliwa tokea awali, hata kabla ya ufisadi wa IGA haujazaliwa, na itatekelezwa nje ya IGA ya Dubai.Ni wa mwanzo kabisa, kuna tender zimetangazwa za bandari nyinginezo za hapa hapa Tanzania.
Mmiliki ndo MuarabuWatu walikuwa wanadhani watendaji wa @DP WORLD ni Waarabu
Kwani ccm wanahitaji kura ya mtu?!!Naisubiri ccm uchaguzi mkuu wa 2025; kama kweli dp world watatia mguu Tanzania kwa mkataba ule.
Jambo la maana sana waTanzania walilojifunza ni kuwa serikali ya Samia ni serikali ya kifisadi, serikali isiyoweka maslahi ya nchi hii mbele ya jambo lingine lolote; serikali iliyo tayari kuwahujumu wananchi wake na kuwafanya kuwa watwana mbele za vitaifa ambavyo sifa pekee vilivyo nayo ni kuwa na ukwasi.Kosa lililofanyika la mkataba kuvuja na ukageuka kujadiliwa mpaka na wauza maembe njiani halitafanyika tena kwenye mikataba hii ambayo zabuni zake zinatangazwa muda huu.
Serikali imejifunza jambo moja la maana sana.
Sidhani kama DP World ama mawakala wao wa hapa nchini watakuwa na ubavu wa kuweka miguu yao kwenye bandari ya Dar!. Siamini kama hawajitaki!! Mungu wetu ni mkuu sana! Kama hawajitaki ngoja tuone!!
Kalagabaho na ubozo wako - sijui kama unaukumbuka huo msemo tuliusema sana miaka ile ya shule ya msingi.IGA ni Dubai na Tanzania, hizi projects zinazofanyika sasa ni nje ya IGA, hazina uhusiano wowote na IGA.
Kura za namna hiyo safari hii wasahau. Wananchi hawataruhusu tena ujinga huo utokee.Kwani ccm wanahitaji kura ya mtu?!!
Wanashinda kwa kura za kughushi tu
Ungejua kuw DP World atakapofunga mitambo yake pale bandarini hiyo Serikali itakuwa imeweza kupambana na ufisadi wa sekta ya uchukuzi usingeandika hayo maneno yako.Jambo la maana sana waTanzania walilojifunza ni kuwa serikali ya Samia ni serikali ya kifisadi, serikali isiyoweka maslahi ya nchi hii mbele ya jambo lingine lolote; serikali iliyo tayari kuwahujumu wananchi wake na kuwafanya kuwa watwana mbele za vitaifa ambavyo sifa pekee vilivyo nayo ni kuwa na ukwasi.
WaTanzania hawataruhusu tena serikali ya namna hiyo itokee tena nchini mwao.
Mipasho ya namna hiyo ni kwa watu wa aina yako, usinihusishe na upumbavu wa namna hiyo.Kalagabaho na ubozo wako - sijui kama unaukumbuka huo msemo tuliusema sana miaka ile ya shule ya msingi.
Kaa hivyo hivyo na ujinga wako.Mipasho ya namna hiyo ni kwa watu wa aina yako, usinihusishe na upumbavu wa namna hiyo.
Ufisadi wa hapo bandarini unajulikana, na wote unatokana na hao hao wanaotafuta kutuingiza kwenye mikataba ya hovyo kama hiyo IGA.Ungejua kuw DP World atakapofunga mitambo yake pale bandarini hiyo Serikali itakuwa imeweza kupambana na ufisadi wa sekta ya uchukuzi usingeandika hayo maneno yako.
Kama kukufahamisha kuwa IGA ilishakufa wewe unaona ni ujinga, basi elewa wazi kuwa wewe ni mpumbavu.Kaa hivyo hivyo na ujinga wako.