joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Hana wasi na juzi kaoa Mbunge wa viti maalumu ambaye anakunja milioni kumi na nane kwa mwezi.a.k.a Mzee wa minyamaView attachment 2942072
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana wasi na juzi kaoa Mbunge wa viti maalumu ambaye anakunja milioni kumi na nane kwa mwezi.a.k.a Mzee wa minyamaView attachment 2942072
Ninavyowajua hao wafanyakazi wa bandari wemgi watabaki TPA maana DPW watashindwa coz wengi ni wavivu tuuu!!Mkuu mbona tangazo lipo wazi au mimi ndio sielewi? Huwezi kuwa mtumishi wa serikali halafu hapo hapo ukawa mtumishi wa DPW. Mumishi anachagua abaki TOA au aende DPW na huo ndio utaratibu na hao watumishi wamepewa elimu na muda wa kuchakata suala hili tangu mapema sana.
Kwa ninachofahu na nilichoelewa ni kuwa Ukiamua kwenda DPW utapewa terminal benefits zote kisha unaajiririwa DPW ambapo huko ni private sector na tunajua huko hakuna mbambamba ni kazi kwa kwenda mbele tofauti na serikalini ambako hata uharibu vipi basi unaangaliwa au watakuhamisha kitengo. Lakini private sector huwa wapo strictly.
Sasa hapo ni uamuzi na uchaguzi wa mwajiriwa mwenyewe abaki au aende lakini hakuna aliyetimuliwa wala kulazimishwa kuchagua atakacho
Tokea miaka ya 2000 mwanzon kitenge ni kuoa tuHana wasi na juzi kaoa Mbunge wa viti maalumu ambaye anakunja milioni kumi na nane kwa mwezi.
Njia ya muongo ni fupi ule ulikua uongo1. Kama nakumbuka vizuri! Tuliambiwa DP watapewa gati no 7&8 pekee!..sasa mbona hapo wamepewa gati zaidi ya hizo?
2..TPA wamebaki na gati ngapi?.
Ila sio Arabs tu wanaotubabua Sisi wa Swahili, Africans, kila race, wazungu, wa china, wa Hindi, wanatubabua kweli kweli, Ila wabaya wetu ni mijitu myeusi iliyopo madarakani, mi ccm, hawa ndio chanzo cha yote,Na msikiti Utajengwa humo humo ndani, muda utaongea tu hawa Akina Tippp Tipp wamepewa Nchi na Elimu yao tunaenda kuifundisha Shuleni! Mungu atusimamie na hawa Wakoloni waliotugeuza watumwa. Daaaah
Unaongea kwa nyodo, jeuri, ngebe na nakujivunia kwasababu tangu udogoni mwako you lived a pampered unaishi Canada hadi kustaaf nakupokea mafao maneno. Mmebaki tu kubeza na kudharau wengine kwa mentality za kishenzi na za kidini.Mleta mada ana upoyoyo fulani hivi.
Hiyo ndio mada iliyopo?Unaongea kwa nyodo, jeuri, ngebe na nakujivunia kwasababu tangu udogoni mwako you lived a pampered unaishi Canada hadi kustaaf nakupokea mafao maneno. Mmebaki tu kubeza na kudharau wengine kwa mentality za kishenzi na za kidini.
Nasikia wanyarwanda ndio dominant hapo bandarini kana kwamba bandari ni Yao vile!!
Ulinzi magari ya usafirishaji yote yao vipi!!?
Kuna ukweli!!?
Mkataba wa DPW uliosainiwa ulikuwa gati namba 4 mpaka 7.1. Kama nakumbuka vizuri! Tuliambiwa DP watapewa gati no 7&8 pekee!..sasa mbona hapo wamepewa gati zaidi ya hizo?
2..TPA wamebaki na gati ngapi?.
Wananchi aisee 😀Bandari imekuwa kama Simba SC Wana Makolo 🐼
Utabidi ukajaribu biashara ya mapapai au matikiti hapo ukiwa umestaafishwa kwa hii biashara inalipa lazima utoboe broo😂😂Vipi ikiwa utasitisha Mkataba TPA na kisha Usiajiriwe DP World?
Huwezi kuelewa una UMALAYA wa kisiasa na kidiniUna-maanisha nini kwa "kuguswa"?
Kwanza utakuwa unafuga majini wewe!Shahada yenyewe uliyonayo ni miaka 1980s .Tukikupeleka kwenye Telecommunication towers za sikuhizi huna unachokijua .Hiyo ndio mada iliyopo?
harisha tu, ukimaliza nambie.
Walete ufanisi sasa ,maana ndio kinachotakiwa , ule ulelemama na kufanya kazi kwa mazoea viishe ,maana kuna wapumbavu hapo bandarini washajiona miungu watu na kufanya kazi kwa rushwa ,wizi na kujuanaDP wana world class standard hakuna longo longo kama unajijua wewe unga unga mwana bora bakia TPA....wako very strictly watanzania nawajua wataanza kulalamika soon.....wako atrictly niamini mm
Na ndio kinachotakiwa , maana hata TPA bandari yenyewe ishawashinda siku nyingi , upumbavu mwingi , kufanya kazi kwa mazoea , kujuana na rushwaKwa watanzania walivyo wajinga wajinga na wavivu nawashauri wabaki TPA!
Hao DPW sio watu wa mchezo wajiandae kwa mchaka mchaka chinja….kama ni mwizi lazima wakutose baharini hawana mchezo ndio maana wanesema wanaotaka kuajiriwa na sio wanaotaka kuamia maana yake unachagua kuacha kazi TPA au kubaki au kwenda kuajiriwa DPW na utasaini mkataba mpya hapo hautozidi miaka mitano….
Kwa watanzania niwajuavyo watapoteza kazi sana hapo…