DP World kuchukua Eneo la Chuo Cha Polisi Kurasini

Duh, hivi kweli wewe ni Mtanzania? Mbona kila hoja inayoigusa DPW unajitokeza kutetea? Hivi una maslahi gani na hao wageni?

Unakata sana aise
Hawa wa hivi huwa wapo sana. Huwa hawako serious, wanapenda kuleta utani kwa kila jambo, kwao hiyo ni furaha kufanya hivyo. Huwa always wako vizuri tu kwa sababu hawawi na stress.
 
Acha mikwara mbuzi wewe.
 
Duh, hivi kweli wewe ni Mtanzania? Mbona kila hoja inayoigusa DPW unajitokeza kutetea? Hivi una maslahi gani na hao wageni?

Unakata sana aise
Hata mimi naona Kuna watu wanajifanya wabongo kumbe sio , lengo lao sio zuri kabisa
 
kama wanachukua hilo eneo, serikali si ndio inatakiwa ilipe kutokana na makubariano ya mkataba, au
 
Serikali bado inaendelea kusimamia bandari na pale wanapewa baadhi ya operations tu sio sehemu yote. Suala la ulinzi na usalama 24/7 lipo chini ya vyombo vyetu msipende kuongea mambo ambayo hayapo.
 
Duh, hivi kweli wewe ni Mtanzania? Mbona kila hoja inayoigusa DPW unajitokeza kutetea? Hivi una maslahi gani na hao wageni?

Unakata sana aise
Hao wameshaambiwa Watajengewa Misikiti akili zao zote zishafiringwa sio wao tena bali ni UTI tupu ndizo zinaongea
 
Shupazeni shingo na kujibu uharo, mama yenu mtampoteza. Na zipo tabiri kwamba anaweza asimalize mihula miwili. Jiwe alishupaza shingo, mdanganyeni macho kumchuzi naye ashupaze shingo.
Tulia wewe huyu mama hana roho mbaya kama yule jamaa . Samia mpaka 2030 hutaki hama nchi.
 
Hayo malori Yao yatasindikizwa na Nani toka bandarini Hadi mpakani?
Watayatafutia barabara Yao au Ni hii hii? Yatapita Iyovya? Haya ya kwetu ya transit yatafanya kazi gani?
Kuna mtu somewhere amechoka kazi.
 
 

Attachments

  • F6F6765B-1913-45FC-9A24-8A5E42AF5E44.png
    84.3 KB · Views: 3
  • IMG_2047.MP4
    1.2 MB
Habari hii kama ni ya kweli basi inasikitisha sana..... ila Malori 2,000 hayatoshi kufanya supply za mizigo ndani na nje ya nchi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…