Mambo ya Tunisia yalianza hivi hivi kiutani[emoji2][emoji51][emoji26],serikali iachane na mkataba
Wewe mkataba unapita na huyo wakuleta tunisia tutapambana naye shenzi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya Tunisia yalianza hivi hivi kiutani[emoji2][emoji51][emoji26],serikali iachane na mkataba
Jingine linaloendelea , ambalo silijui rasmi. Ni kuwa DP world ataingiza magari zaidi ya 2000 yaani maroli Kwa ajili ya kisafirisha mizigo nje ya nchi, inavyosemekana DP world ndio atakuwa transporter pekee wa kisafirisha mizigo nje ya nchi, na watanzania watabaki Tanzania.
Wachukue tu hayo maeneo tena tulichelewa
Hili nalo Jeshi la polisi limsake aliyetoa taarifa hizi. Nimewaona JWTZ linamsaka aliyeandika wameongeza mshahara! Tumefikishwa huku na serikali hii
Ni huzuni kwa kweli[emoji16][emoji24]Mpaka tufike 2030 cjui nn kitakuwa kimebakia mikononi mwa watanganyika[emoji22]. Lile la wamasai wa loliondo hakuna aliewapigania leo limetufika wote
Mgao utapewa, we punguza pingapinga tu....Kwa hili sitavumilia nipo tayari nijichome moto hadharani kwaajili ya watanzia wenzangu, labda Dp world wakinipa mgao na mimi ndo ntakaa kimya
Bila hivyo ntajichoma moto hadharani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kweli samia umeamua kushupaza shingo? Sitasema tena juu ya hili ! KWA jiwe tulimshauri abadilike akashupaza shingo mpaka nikaandika hapa menemene tekel na persin!!!! Kwako mama samia sitaandika haya ila mpaka nione kweli dp wamepewa hizo exclusive rights ikitokea hivyo nitanawa mikono juu yako na sitakuwa na hatia juu yako nitakususa na kumuachia Mungu.
Uongo bila ht aibuKwa hiyo Watanzania hawataruhusiwa kuendesha biashara za maroli kwenda nje ya nchi?
Huu Ni uongooo siamini....hizi Ni chuki zenu.
Mungu sema na aliyewaleta DPW, kama ulivyosema na Jiwe
Tamko uchwara.Tamko la wenye Akili Kubwa duniani TEC hawajalisikia au ni Jeuri tu?
Hata mm nawaunga mkono hao wawekezajiDuh, hivi kweli wewe ni Mtanzania? Mbona kila hoja inayoigusa DPW unajitokeza kutetea? Hivi una maslahi gani na hao wageni?
Unakata sana aise
Asipouonyesha tutajuaje kwamba humu jukwaani tunachati na majuha?Sometimes si lazima kuonesha ujuha.
Hebu tutajie wewe nani anamiliki akili.Umeshawahi Kumiliki Akili Timamu hata kidogo tu?
Wenye eneo walilitoa kwa hiari yao hawakulazimishwa Mbumbumbu wewe kwa hio hatutaki mnalazimisha alafu unaleta habari za unajua? Kichwa chako punguani kabisa MbumbumbuUnajua eneo la ikulu ya Magogoni ulikuwaga msikiti?
Uoga ni dhambi mbaya sanaNi huzuni kwa kweli[emoji16][emoji24]
Bora wachukue tu maana kijografia ...tulipo leo mzigo ukishuka bandarini mara unaambia uende mbagala mara kigamboni mara buza wafanye hivyo mzigo ushuke tupate siku iyoyoo Kuna ICD mpaka mwenge. Wakati kurasini ni wehemu ya fursa ...ni swala.la.kufikiri tu
Punguza uropokajiTEC nani DP world ndani ya nyumbaa serikali tupate maokoto yetu
Kwanini tunawaruhusu kutugawa?DPW inatugawa kama Taifa
Wewe nyamaza la sivyo nitakuzibua vibao😂😂Afadhali yeye atajichoma. Mimi na mpango wa kutembea uchi hadharani siku tatu mfulululizo na kunya hovyo hovyo halafu kujiua