DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

Hebu niwekee hapa
Tena cha 2o kimeelezea namna ya kutatuwa sintofahamu yoyote ikitokea, hapa nakuwekea kilichoweka muda kabisa...

article 5:4
Nchi Wanachama zinakubaliana kwamba Awamu ya 1 Miradi (kama ilivyoelezwa katika Kiambatisho 1) itakuwa miradi ya kipaumbele kwa ajili ya maendeleo na utekelezaji. Serikali ya Tanzania itahakikisha kuwa TPA haizingatii mapendekezo mengine yoyote ya Miradi yoyote ya Awamu ya 1 kwani kuanzia Tarehe ya Saini hadi tarehe kama hiyo kama majadiliano kati ya DPW na TPA kwa Miradi ya Awamu ya 1 yamesitishwa au kumalizika kwa kipindi cha miezi 12 kutoka Tarehe ya Saini ya Mkataba huu, Chochote ni cha zamani.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Mungu atajibu kuomba kwetu sisi tusio na nguvu Wala mamlaka,

Ni mwaminifu sana, ametusaidia katika mengi,

Hata hili atatusaidia.

Aamin.
 
Bi Faiza Fox,

Umepata wapi mamlaka kutafsiri mkataba wa DP World Kwa kiswahili kutumia google?

Je kamusi ya kiswahili inaruhusiwa mahakamani kutafsiri HUKUMU au SHERIA?

Una HAKIKA tafsiri uliyofanya haijabalili chochote ktk mkataba?
 
Mpendwa Bibi FaizaFoxy , mimi kama Mtanzania ambae sio mwanasheria wala sina elimu kuhusu mikataba naomba kueleweshwa haya,
1.Kwa nini hii IGA ihusishe vitu vyote hivi vya Tanzania kama sea ports,lake ports,special economic zones,logistics parks,trade corridors etc, na sio bandari ya DSM tu??

2.Kwa nini Tanzania inatakiwa imjulishe kwanza Dubai fursa zozote zile za uwekezaji wa bandari? Huoni kwamba hiyo inatunyima sovereignty yetu? Kwa hiyo leo tukipata muwekezaji katika bandari za Mwanza inatakiwa kwanza Dubai apewe taarifa?? Kwa nini hilo??


3.Katika kipengele ambacho sijakielewa kabisa ni hiki hapa hebu nipatie ufafanuzi vizuri???

Kwa hiyo Dubai akifanya material breach,akicompromise security yetu,nchi yetu haina uwezo wa kuterminate contract hadi tusubiri usuluhishi kulingana na article 20.

Huu mkataba ungependeza zaidi iwapo Tanzania ingekua na uwezo wa kuuvunja mkataba palepale endapo Dubai wakienda kinyume na mkataba au wakihatarisha usalama wetu.
kwa mujibu wa hapa itatakiwa tusubiri disputes kwanza.

4.Kitu kingine ambacho kinanipa ukakasi sana sana ni kwamba katika IGA hii kwa upande wa Tanzania tunaona sahii za watu watatu na majina yao Rais,waziri na katibu wake,

lakini upande wa Dubai tunaona mtu mmoja tu majina yake na sahii huyu Ahmed CEO wa DP-W, sioni mtu mwingine upande huu wa Dubai naona sahii tu sioni jina?? Huyu mtu aliye mchagua huyu Ahmed na kusaini hapo ni nani hasa?? Mbona anafichwa? Majina yake hayapo?
 

Attachments

  • Screenshot_20230620-180822.png
    210.6 KB · Views: 7
Maswali yako ni ya kiwango cha juu kuliko uwezo wa huyo bibi.

Huyu kikongwe sio mchambuzi bali mpiga debe.
 
Dada umepewa sh. Ngapi kuupigia debe huu mkataba??. Huu mkataba ubadilishwe au baadhi ya vifungu vifutwe.
Shillingi tena? watu tunaongelea dollars.

Umelala dorooo.



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Huu mkataba unakwenda kuingia kwenye vitabu vya kihistoria.
Mkataba wa Kilaghai wa Chifu Hangaya
Yaani ni aibu hata kuutazama
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.


Maneno ya aliyekosa zabibu hayo. Huna hoja.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Kwa Mahakama gani na sheria zipi?

Ole sabaya tu aliwatoa jasho Wanasheria
Utashitakiwa Tanzania tu, kwani wewe DP World?


Ole Sabaya na jamaa yake Mbowe wamshukuru mama. Wote walikuwa wananyea debe, cheza na dikteta mwendazake wewe?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Utashutajiwa Tanzania tu, kwani wewe DP World?


Ole Sabaya na jamaa yake Mbowe wamshukuru mama. Wote walikuwa wananyea debe, cheza na dikteta mwendazake wewe?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Kiswahili chako cha Comoro utashurajiwa ndio nini?
 
Hii kitu yaezekana mmeedit toka Lumumba!! Lete majibu hapa kuhusu.. article no 23 duration and termination!
Duration soma srtivke 5:4, mengine soma article 20, mwanzo moaka mwisho wake.

Weka waki ambao hauja edtiwa, yanini unaandikia mate na wino upo?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Kuna baadhi ya vipengele vyenye shida umevificha.
Watanzania sio wajinga mpaka wameamua kupinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…