DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

Unapiga porojo, unatafsiri utakavyo na vifungu vipo wazi. Jisomee👇🏾 utueleze ni nini hiki👇🏾

MAKALA YA 22
MAREKEBISHO YA BAADAYE
Mkataba huu unaweza kubadilishwa wakati wowote, kwa maandishi, kwa makubaliano ya pamoja ya Nchi Wanachama. Hakuna marekebisho ya Mkataba huu yatakuwa na athari bila makubaliano kwa saini na kuridhia na / au kupitishwa kwa nyaraka zinazofaa na Nchi Wanachama.



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Usikimbilie kusema unapiga porojo sasa wewe si ume weka mkataba tu discuss au unatuchora jibu kwa hoja basi
 
Kwani sio ndio mkataba unavyoeleza au wewe hauelewi kinachoelezwa kwenye mkataba huu wa kimangungo mkuu
 
Sasa wewe ni mjuaji wa kuiba bandari zetu za Tanganyika na kuziacha za Zanzibar? Hapo Mimi nimeweka hoja kulingana na mkataba lkn wewe unajibu kutoka makalioni hebu achaa upuuzi
 
Baaada ya kelele kuwa kubwa mkaleta version ya kunjunga ila kutulaghai.
 
Hiki kipengere ni hatari kuliko hatari yenyewe, yaani hata isipo perform hakuna mtu kujitoa, ni kama ndoa ya kikristo hadi kifo kiwatenge.

“Nchi Wanachama hazitakuwa na haki ya kukemea, kujiondoa, kusimamisha au kusitisha Mkataba huu katika hali yoyote, ikiwa ni pamoja na katika tukio la uvunjaji wa nyenzo, mabadiliko ya msingi ya hali, kukatizwa kwa uhusiano wa kidiplomasia au wa kidiplomasia, au sababu nyingine yoyote inayotambuliwa chini ya sheria ya kimataifa”.
😆😄😂
 
Usikimbilie kusema unapiga porojo sasa wewe si ume weka mkataba tu discuss au unatuchora jibu kwa hoja basi
Nasema oorojo kwa sababu unabuni vitu kichwani mwako na mkataba upo. Nukuu kifungu kinachokupa shida, hapa hatujadili mawazo yako, tunajadiki nkataba.

Tena nawachora sana mnavyohaha baada ya kuuweka mkataba hapa.

Usimtishe ntu kwa juandamana, kaendamane tu, ni haki yako.

Leo mna kauli ya kusema mtaandamana, miaka miwili nyuna hata jwinyu mlikuwa hamfanyi.

Ma shaa Allah.Neema za mama hizo.



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Baaada ya kelele kuwa kubwa mkaleta version ya kunjunga ila kutulaghai.
Leta "version yako ambayo siyo ya "kunjunga". Tuloiweka hapa, vifungu vyake vilivyomo ni hivi...



JEDWALI LA YALIYOMO
SEHEMU YA I​
7​
UFAFANUZI, UFAFANUZI NA UPEO​
7​
MAKALA YA I​
7​
UFAFANUZI NA UFAFANUZI​
7​
PART Il​
12​
MAJUKUMU YA JUMLA​
12​
MAKALA YA 2​
13​
MALENGO YA MKATABA​
13​
MAKALA YA 3​
14​
USHIRIKIANO​
14​
MAKALA YA 12​
20​
ULINZI NA USALAMA​
20​
MAKALA YA 13​
21​
MAUDHUI YA NDANI, AJIRA NA UWAJIBIKAJI WA KIJAMII WA USHIRIKA​
21​
MAKALA YA 14​
23​
MATUMIZI YA​
23​
MAKALA YA 15​
23​
VIWANGO VYA MAZINGIRA, AFYA YA KAZI, KIJAMII NA USALAMA​
23​
MAKALA YA 16​
24​
VIWANGO VYA KIUFUNDI​
24​
MAKALA YA 17​
24​
HAKI ZA KAZI​
24​
SEHEMU YA Ill​
25​
UTAWALA WA FEDHA​
25​
MAKALA YA 18​
25​
KODI, WAJIBU NA TOZO NYINGINE​
25​
SEHEMU YA IV​
25​
MASHARTI YA MWISHO​
25​
MAKALA YA 19​
25​
MFULULIZO WA SERIKALI​
25​
MAKALA YA 20​
26​
MAKAZI YA MIGOGORO​
26​
MAKALA YA 21​
27​
SHERIA YA UTAWALA​
27​
MAKALA YA 22​
27​
MAREKEBISHO YA BAADAYE​
27​
MAKALA YA 23​
27​
MUDA NA KUKOMESHA​
27​
MAKALA YA 24​
28​
UHIFADHI, LUGHA NA VIAMBATANISHO​
28​
MAKALA YA 25​
29​
KUINGIA KATIKA NGUVU​
29​
MAKALA YA 26 29

UBADILISHAJI WA IGA KUWA SHERIA YA KITAIFA 29

MAKALA YA 27 30

KUINGIA KATIKA UHUSIANO WA NGUVU KATI YA MKATABA HUU NA NYINGINE

MAJUKUMU YA KIMATAIFA NA YA NDANI KATIKA NCHI WANACHAMA 30

MAKALA YA 28 30

UWEZO WA VYAMA VYA SERIKALI NA WATIA SAINI WAO 30

MAKALA YA 29 30




UTENDAJI NA UTUNZAJI WA IGA NA MIKATABA MINGINE INAYOHUSIANA
NA MSAADA KWA SHUGHULI ZA MRADI 30

MAKALA YA 30 31

UTULIVU 31

MAKALA YA 31 31

KUBADILISHANA KWA MAKUBALIANO / MAKUBALIANO 31

KIAMBATISHO 1: MAENEO YA USHIRIKIANO 33

KIAMBATISHO 2: CHOMBO CHA FNGUVU YA ULL 34


Sema umeshushuka tu. Kifungu kipi kinachokupa shida hapo tukupe darsa?

Hapo sasa " 😂😂😂


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Sasa wewe ni mjuaji wa kuiba bandari zetu za Tanganyika na kuziacha za Zanzibar? Hapo Mimi nimeweka hoja kulingana na mkataba lkn wewe unajibu kutoka makalioni hebu achaa upuuzi
Huu ni ukurasa wa mwanzo kabisa wa mkatab soma vizzuri utueleze ni nini hujakielewa hapa...

MAKUBALIANO YA SERIKALI

KATI​

ΤHΕ lJNlTED REPlJBLlC 0F TANZANIA



NA

THE EMIRATE 0F DUBAI​

KUHUSU​

USHIRIKIANO WA KIJAMII WA KIUCHUMI KWA MAENDELEO YA NA

KUBORESHA UTENDAJI BANDARI ZA BAHARI YA 0F ANO I-ACP TANZANIA

Oktoba, 2022​



Umeshindwa hoja unaanza kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.

Utakuwa na Tanzania bila Zanzibar?


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Porojo kwa sababu unabuni vitu kichwsni mwako na mkataba upo. Nukuu kifungu kinachokupa shida, hapa hatujadili mawazo yako, tunajadiki nkataba.

Tena nawachora sana mnavyohaha baada ya kuuweka mkataba hapa.

Usimtishe ntu kwa juandamana, kaendamane tu, ni haki yako.

Leo mna kauli ya kusema mtaandamana, miaka miwili nyuna hata jwinyu mlikuwa hamfanyi.

Ma shaa Allah.Neema za mama hizo.



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Kwaiyo ni sawa mkataba usainiwe Dodoma alafu mgogoro ukitokea arbitration ikafanyike south Afrika?
 
Sasa wewe ni mjuaji wa kuiba bandari zetu za Tanganyika na kuziacha za Zanzibar? Hapo Mimi nimeweka hoja kulingana na mkataba lkn wewe unajibu kutoka makalioni hebu achaa upuuzi
Hoja yako ipo kifungu cha ngapi?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Kwaiyo ni sawa mkataba usainiwe Dodoma alafu mgogoro ukitokea arbitration ikafanyike south Afrika?
Sawa kabisa, "neutral ground". Mkaaba wa nchi mbili kama una mzozo unatatuliwa nchi ya tatu. Tena hapo sisi tuna advantage, kwanza South Afrika ipo karibu sana na sisi ukilinganisha na wataotokea Dubai, halafu tunaushirikiano wa SADC naSoth Africa. Usisahau hilo.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Kwa sababu nguvu kubwa imetumika kuuponda huu mkataba wa maendeleo, sasa tuwache porojo, mkataba ndiyo huu, mseme tatizo nini.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
FaizaFoxy mmekosea kitu kimoja tu nyie wana CCM. Na kosa hili ni kuweka wazi ujinga na uchafu wenu huu...

Mngemalizana kimya kimya na waarabu wenu halafu sisi Watanganyika tungejua haya kwenye matokeo yake kama ambavyo imekuwa hivyo miaka yote mliyouza rasrimali asili zetu kwa jina la "uwekezaji"..

Hapa mmeula wa chuya. Na ieleweke kuwa, HAKUNA JEMA LITATOKA CCM wala kwa RAIS SAMIA wako leo Wala kesho..!!
 
Back
Top Bottom