DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

Kifungu no 23...
Still mtu atakwambia "hakuna termination clause"
Hawa watu Dhahabu Nyeusi kishawachambuwa, anasema "ujinga Mwafrika ni kujifanya anajuwa kumbe hajuwi", anaendelea kusema "Mwafrika hafanyi tafiti za kutafuta data. Ndipo tunapigwa bao", msikilize hapa:

 
Kifungu cha 23 wala sio termination clause.
Mbona kipo clear kabisa. Kinaonesha njia za kufanyia ikiwa mkataba utasitishwa au namna ya kusitisha ikiwa kuna matatizo. Kifungu cha 5:4 mpaka ukomo umewekwa.


Huu mkataba /makubaliano ni mzuri sana. Kwa kwango chochote kile.

Sema katika sheria kuna kitu kimoja ambacho hakiepukiki katika mkataba wowote. Ulaji kwa wanasheria. Mwanasheria hata kama anajuwa hii kesi siyo ya kushinda ataikamia tu, kama hakufanya hivyo akale wapi? Ndiyo maana katika sheria tunaambiwa mawakili kazi yao ni kumsaidia hakimu ili haki itendeke. Hata wapingane vipi wanasheria lakini wapo pale kumsaidia hakimu.
 
Clause ya 23 inaelezea kitu ambacho hakiishi(non existing object). Haipo popote hicho kitu kinachozungumziwa na clause ya 23. Ni mjinga anaweza kukubali. Badala ya kuweka sharti, imeweka ahadi.
 
Sina tatizo aingie huo mkataba, shida yangu aondolewe kinga ya kutoshitakiwa kwa maamuzi mabaya baadae, yeye akimaliza atarudi kwao Zanzibar sisi tutabaki na shida zetu.

kwahiyo unataka kusema hakuna Mtanganyika aliyeshirika katika kufanikisha huu mkataba?
 
Sina tatizo aingie huo mkataba, shida yangu aondolewe kinga ya kutoshitakiwa kwa maamuzi mabaya baadae, yeye akimaliza atarudi kwao Zanzibar sisi tutabaki na shida zetu.
Maamuzi yepi mabaya, au unaota?

Wewe unajuwa maana ya jina Tanzania?
 
We mjinga umekuja na udini wako wala huna lolote, kwani kuondolewa kinga ya kutoshitakiwa ni vibaya? kama umefanya mazuri kwanini ujiwekee kinga?
Anza wewe kwa kuondokana na ujinga wako wa kusema uongo.

Tuoneshe hayo maamuzi "mabaya" ya mama Samia yako wapi?

Punguani wahed.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Anza wewe kwa kuindokana na ujinga wakowa kusema uongo.

Tuoneshe hayo maamuzi "mabaya" ya mama Samia yako wapi?

Punguani wahed.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Mjinga wewe na udini wako, jibu swali kwanini hutaki aondolewe kinga ya kutoshitakiwa na wakati anafanya vizuri?
 
Mjinga wewe na udini wako, jibu swali kwanini hutaki aondolewe kinga ya kutoshitakiwa na wakati anafanya vizuri?
Muulize Nyerere aliyeiandika hii katiba inayotumika sasa. Waulize na Mwinyi, Mkapa, Kikwete na mwendazake, kwanini hawakuondosha kifungu cha kinga kwenye katiba?

Tuoneshe maamuzi mabaya yepi alivyofanya mama Samia.


Mama anaupiga mwingi kitaifa na Kimataifa.
 
Wewe ajuza huna akili, Nyerere kwani alikuwa malaika? ndiyo maana alikiri na akaomba msamaha, si aondoe hiyo kinga awe mfano sababu anafanya mazuri sn.
 
Wewe ajuza huna akili, Nyerere kwani alikuwa malaika? ndiyo maana alikiri na akaomba msamaha, si aondoe hiyo kinga awe mfano sababu anafanya mazuri sn.
Haondoi hiyo kinga, ikiwa watu wenyewe anaowangoza ni wajinga kama wewe. Unasema "maamuzi mabaya", onesha hayo maamuzi mabaya ya mama Samia yako wapi?

Mpaka sasa umeshindwa kuonesha, umeshushuka shuu, unazuga zuga tu.

Punguani wahed.

Mama anaupiga mwingi kitaifa na Kimataifa.
 
Apelekewe huyu mzee tena asomewe

 
Huna akili wewe ajuza, Magu tulimsema kupendelea Chato na ukatili mbona ulikaa kimya? mdini wewe huna hoja jinga kubwa. Kinga ya nini kwa mtu unayefanya mazuri?
 
Mjinga wewe umezeeka huoni tena unaandika ujinga ujinga wako
 
Mkataba ni muda gani nauliza kwa mara nyingne
 

Attachments

  • E6037D63-BDD0-46EF-9697-F2E3B0E40358.jpeg
    41.4 KB · Views: 3
Umeongopa mara mbili.

Kwanza hakuna makubaliano ya IGA ya Tanzania na DP World.

Pili ukomo upo. Soma kifungu cha 5:4 utueleze yanasema nini.
 
Mjinga wewe umezeeka huoni tena unaandika ujinga ujinga wako
AlhamduliLlah mimi nimezeeka sana tena, lakini sisemi uongo kama wewe. Kumbuka, uzee ni sifa siyo ugonjwa.

Hayo ya kukosea jiulize kwanini imewekwa feature ya editing?

Mpaka sasa bado hujathibitisha uongo wako wanjusema "maamuzi mabaya", ya mama Samia. Mimi nnakaba mpaka penati mpaka ukiri kuwa u muongo.

Wewe ndiyo katika wale anaotufundisha Dhahabu Nyeusi kuwa mna ujinga wa Kiafrika. Bofya chini hapo ujione unavyochambuliwa na Dhahabu Nyeusi👇🏾



Mama anaupiga mwingi kitaifa na Kimataifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…