Hawa watu Dhahabu Nyeusi kishawachambuwa, anasema "ujinga Mwafrika ni kujifanya anajuwa kumbe hajuwi", anaendelea kusema "Mwafrika hafanyi tafiti za kutafuta data. Ndipo tunapigwa bao", msikilize hapa:Kifungu no 23...
Still mtu atakwambia "hakuna termination clause"
Kifungu cha 23 wala sio termination clause.Kifungu no 23...
Still mtu atakwambia "hakuna termination clause"
Mbona kipo clear kabisa. Kinaonesha njia za kufanyia ikiwa mkataba utasitishwa au namna ya kusitisha ikiwa kuna matatizo. Kifungu cha 5:4 mpaka ukomo umewekwa.Kifungu cha 23 wala sio termination clause.
Kinahusu nini sasa kama sio termination?Kifungu cha 23 wala sio termination clause.
Sina tatizo aingie huo mkataba, shida yangu aondolewe kinga ya kutoshitakiwa kwa maamuzi mabaya baadae, yeye akimaliza atarudi kwao Zanzibar sisi tutabaki na shida zetu.
Umeelewa hoja yangu?kwahiyo unataka kusema hakuna Mtanganyika aliyeshirika katika kufanikisha huu mkataba?
Maamuzi yepi mabaya, au unaota?Sina tatizo aingie huo mkataba, shida yangu aondolewe kinga ya kutoshitakiwa kwa maamuzi mabaya baadae, yeye akimaliza atarudi kwao Zanzibar sisi tutabaki na shida zetu.
We mjinga umekuja na udini wako wala huna lolote, kwani kuondolewa kinga ya kutoshitakiwa ni vibaya? kama umefanya mazuri kwanini ujiwekee kinga?Maamuzi yepi mabaya, au unaota?
Wewe unajuwa maana ya jina Tanzania?
Anza wewe kwa kuondokana na ujinga wako wa kusema uongo.We mjinga umekuja na udini wako wala huna lolote, kwani kuondolewa kinga ya kutoshitakiwa ni vibaya? kama umefanya mazuri kwanini ujiwekee kinga?
Mjinga wewe na udini wako, jibu swali kwanini hutaki aondolewe kinga ya kutoshitakiwa na wakati anafanya vizuri?Anza wewe kwa kuindokana na ujinga wakowa kusema uongo.
Tuoneshe hayo maamuzi "mabaya" ya mama Samia yako wapi?
Punguani wahed.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Muulize Nyerere aliyeiandika hii katiba inayotumika sasa. Waulize na Mwinyi, Mkapa, Kikwete na mwendazake, kwanini hawakuondosha kifungu cha kinga kwenye katiba?Mjinga wewe na udini wako, jibu swali kwanini hutaki aondolewe kinga ya kutoshitakiwa na wakati anafanya vizuri?
Wewe ajuza huna akili, Nyerere kwani alikuwa malaika? ndiyo maana alikiri na akaomba msamaha, si aondoe hiyo kinga awe mfano sababu anafanya mazuri sn.Muulize Nyerere aliyeiandika hii katiba inayotumika sasa. Waulize na Mwinyi, Mkapa, Kikwete na mwendazake, kwanini hawakuondosha kifungu cha kinga kwenye katiba?
Tuoneshe maamuzi mabaya yepi alivyofanya mama Samia.
Mama anaupiga mwingi kitaifa na Kimataifa.
Haondoi hiyo kinga, ikiwa watu wenyewe anaowangoza ni wajinga kama wewe. Unasema "maamuzi mabaya", onesha hayo maamuzi mabaya ya mama Samia yako wapi?Wewe ajuza huna akili, Nyerere kwani alikuwa malaika? ndiyo maana alikiri na akaomba msamaha, si aondoe hiyo kinga awe mfano sababu anafanya mazuri sn.
Huna akili wewe ajuza, Magu tulimsema kupendelea Chato na ukatili mbona ulikaa kimya? mdini wewe huna hoja jinga kubwa. Kinga ya nini kwa mtu unayefanya mazuri?Haondoi hiyi. Kinga, ikiwa watu wenyewe anaowangiza ni waj8bga kama wewe. Unasema "maamuzi mabaya",onesha hayo maamuzi mabaya ya mama Samia yako wapi?
Mpaka sasa umeshindwa kuonesha, umeshushuka shuu, unazuga zuga tu.
Punguani wahed.
Mama anaupiga mwingi kitaifa na Kimataifa.
Mjinga wewe umezeeka huoni tena unaandika ujinga ujinga wakoHaondoi hiyi. Kinga, ikiwa watu wenyewe anaowangiza ni waj8bga kama wewe. Unasema "maamuzi mabaya",onesha hayo maamuzi mabaya ya mama Samia yako wapi?
Mpaka sasa umeshindwa kuonesha, umeshushuka shuu, unazuga zuga tu.
Punguani wahed.
Mama anaupiga mwingi kitaifa na Kimataifa.
Mkataba ni muda gani nauliza kwa mara nyingneRudi post namba 1 kasome kifungu cha 5:4. kinasema hivi:
5:
4. Nchi Wanachama zinakubali kwamba Miradi ya Awamu ya 1 (kama ilivyofafanuliwa katika Kiambatisho 1) itakuwa ndiyo miradi ya kipaumbele katika kuiendeleza na kuitekeleza. Serikali ya Tanzania itahakikisha kwamba TPA haitaongeza mapendekezo mengine yoyote ya Miradi yoyote ya Awamu ya 1 kuanzia Tarehe ya Kusainiwa hadi tarehe ambayo majadiliano kati ya DPW na TPA kwa Miradi ya Awamu ya 1 yamesitishwa au baada ya kumalizika muda wa miezi 12 kutoka Tarehe ya kusainiwa kwa Mkataba huu, yoyote iliyo ya mapema
Sasa umeona?
Umeongopa mara mbili.Mimi sio mwanasheria lkn ninatumia akili ya kawaida kuhoji na kutafakari mambo, tunaposema bandari zimeuzwa tuna maanisha kweli, nimeusoma mkataba huu kwa umakini mkubwa. Pamoja na mambo mengine mengi nitajikita katika
maneno muhimu sana yafuatayo:
Intergovernmental agreement (IGA)na Host government agreement (HGA)
Kwa kuzingatia maelezo yaliyopo kwenye mkataba,
Kwamba IGA ni makubaliano ya jumla/ makubwa au mama kati ya nchi na nchi japo sisi tumeingia makubaliano kati JMT na kampuni ya Dubai sijui yanaitwaje haya makubaliano.
HGA ni makubaliano madogo madogo ya miradi yatakayo kuwa ndani au chini ya IGA.
Sasa hoja yangu ni nini hapa?.
IGA hakuna ukomo yaani ni milele mpaka bahari na maziwa yetu yatakapo kauka lkn tunaambiwa HGA kutakuwa na ukomo maana yake ni hata pale HGA zitakapofikia ukomo tutalazimishwa/lazimika kuendelea na Hawa DPW hata wakivurunda, wakishindwa kutimiza masharti kwani hatutakuwa na uwezo wa kusitisha au kuvunja IGA Hivyo tutakuwa mateka WA milele.
Huu ni mkataba wa kilaghai kama Ile walikuwa wanaingia babu zetu kipindi cha utumwa na ukoloni bila kujua, tofauti kwamba Karne hii watawala wetu wanaingia kwa kujua kabisa.
Watanganyika tuamke tumeuzwa!
View attachment 2663427
AlhamduliLlah mimi nimezeeka sana tena, lakini sisemi uongo kama wewe. Kumbuka, uzee ni sifa siyo ugonjwa.Mjinga wewe umezeeka huoni tena unaandika ujinga ujinga wako