DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

Kilichomo ndani ndio cha muhimu. Contents zile hazifai kuitwa partnership wala IGA. Zile contents ni mkataba.
huwezi kuwa na mkataba kama hakuna consideration wala time. The content in hand does not pass the test of the contract
 
Hiyo ni IGA, lakini HGA inatupa madaraka ya kuingia mikataba mingine ya kibiashara itakayokuwa na masharti yenye kwenda sambamba na matakwa yetu.
 
Pole sana. Sio uamuzi wako wa kutaka au kukataa, ni masuala ya bandari na ufanisi wake yenye kuzipa hoja za kuwapa hawa jamaa uhalali wa kuwekeza bandarini.

Ukiwa huna biashara yoyote yenye uhusiano na bandari huwezi kuja na nadharia nyingi zisizo na mashiko.
 
This is issue is behind the future Generations so tusirahisishe tu Mambo hapa ni Busara za Walioshikiria kalamu
 
This is issue is behind the future Generations so tusirahisishe tu Mambo hapa ni Busara za Walioshikiria kalamu
Tunapoteza muda kuendekeza majibizano, ni dalili za umaskini kutawala akili zetu.

Hakuna anayefurahi kuona wateja wakiikimbia bandari yetu na kwenda kwa majirani zetu kwa upuuzi wetu.

Kuwa na uchungu na TZ ni kuonyesha kwa vitendo sio kupinga mambo ya kimaendeleo yanayokuja.
 
Vipi Taqiya haijatumika hapa maana si Dhambi kwa Mnyazi Mngu huko kwa Jamii za Arabuni
 
Seen
 
Your browser is not able to display this video.
 
Mkataba wa bandari, kwa kipimo chochote kile cha uelewa, ni mkataba wa hovyo kabisa. Mkataba huu wa hovyo kuna watu wameusaini, wabumge wakaubariki.
Mkataba upi huo wa bandari unaoungolea? wa 2020 au wa 2022.

Usicheze na maneno na kujaza watu ujinga uliokujaa wewe.

Twende taratibu. Nakuchambuwa hapa para au senetensi moja moja mpaka ukimbie.

Tafadhali kwanza jibu, hayo niliyokuulliza. Maana kama ulikuwa huelewi, kuna mikataba 36 ilisainiwa dubai, inayohusiana kwa kiasi kikubwa na bandari ni hiyo miwili, wa 2020 na wa 2022. Upi unauongelewa wewe
 
Achana na kichwa. Soma contents.
Tuoneshe kifungu kilichokuwa siyo sawa. Mkataba si unao au huna? Kama huna upo post namba moja hapo juu.

Yanini unaandikia mate na wino upo?
 

Unaongelea nini na ulimweka nani madarakani? Ulimweke nani dhaman ya madraka? Na kipi wameshindwa kusimamia?

Au unabwabwaja na kuhororoja tu bila mpango.

Msijifanye wajanja wakati ni wajinga mnaokuja na uongo wa kila aina kwa kuwa tu mianya yenu ya wizi inazibwa kisayansi.
 
Hii dhambi iwatafune wao na vizazi vyao vyote
 
Mawakala wa shetani mpo kazini.

Mamako pengine hajawahi kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi, au hajawahi hata kuwa monitor wa darasani. Hivi wewe utakuwa na akili ya kulelewa na mjinga kumkosoa mwanamke wa shoka aliyelelewa Madrassa?


Mama Samia hahitaji mtu yeyote wala hana cha kuogopa zaidi ya Allah. Ungehsema huo utumbo wako ingekuwa wewe ndiye ulimchaguwa kuwa Rais.

Kazi ya Mungu haina makosa.


Mama Samia anaupiga mwingi kitaifa na kimataifa.

Unamtazama kwa uonga? Mtazame vizuri:

 
Unamtazama kwa uoga tu, unaona mama Samia na kubwabwaja na kuhororoja kwenu kote hana habari. yeye anaupiga mwingi tu, kitaifa na kimataifa.

Naona wewe na anayejiita FRANCIS DA DON mmekuja na wimbo mmoja lakini chorus tofauti. Ni mawakala wa shetani yupi nyinyi?
Maana mkataba huu hapa mbele ya uso wenu hamuoneshi una tatizo lipi? Tatizo lenu mkataba au Waarabu wanaokuja kutuletea maendeleo tuliyoshindwa kujiletea zaidi ya miaka 60 ya uhuru sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…