DP World na Bandari imeshatutoa katika Reli juu ya Tuhuma Kuu nyinginezo za Wizara ya Nishati

DP World na Bandari imeshatutoa katika Reli juu ya Tuhuma Kuu nyinginezo za Wizara ya Nishati

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kama kuna Watu nawapenda basi ni Watanzania kwani ni wepeei kuhamishwa Fikra na Mitazamo huku wakiridhishwa na Asali ya Timu zao Kubwa za Simba na Yanga kwa Kusaidiwa na Rais na Serikali.
 
Kama kuna Watu nawapenda basi ni Watanzania kwani ni wepeei kuhamishwa Fikra na Mitazamo huku wakiridhishwa na Asali ya Timu zao Kubwa za Simba na Yanga kwa Kusaidiwa na Rais na Serikali.
Uafrika hasa utanzania ni LAANA
 
Nishati ni shida kabisa kuwepo kwa 'yule mtu' pale kama ilivyo wizara ya fedha kuwepo 'yule mtu'!
yote iko mizi! 'dengereko' iko iba Zaramo iko ficha! Yote mizi!
 
Nishati ni shida kabisa kuwepo kwa 'yule mtu' pale kama ilivyo wizara ya fedha kuwepo 'yule mtu'!
yote iko mizi! 'dengereko' iko iba Zaramo iko ficha! Yote mizi!
He is not alone. Yupo pale kimkakati na kwa faida ya kikundi cha watu maalumu.
 
NCHII ISHAUZWA HII NIPEWE MGAO WANGU NITIMKIE UGANDA HUKO
 
Back
Top Bottom