MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kama kuna Watu nawapenda basi ni Watanzania kwani ni wepeei kuhamishwa Fikra na Mitazamo huku wakiridhishwa na Asali ya Timu zao Kubwa za Simba na Yanga kwa Kusaidiwa na Rais na Serikali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uafrika hasa utanzania ni LAANAKama kuna Watu nawapenda basi ni Watanzania kwani ni wepeei kuhamishwa Fikra na Mitazamo huku wakiridhishwa na Asali ya Timu zao Kubwa za Simba na Yanga kwa Kusaidiwa na Rais na Serikali.
He is not alone. Yupo pale kimkakati na kwa faida ya kikundi cha watu maalumu.Nishati ni shida kabisa kuwepo kwa 'yule mtu' pale kama ilivyo wizara ya fedha kuwepo 'yule mtu'!
yote iko mizi! 'dengereko' iko iba Zaramo iko ficha! Yote mizi!