DP World na kelele zinazoendelea, napata tabu sana kuamini iwapo Rais yupo ama laa! Na kama yupo mbona hatoi mwelekeo? Ona na huu udini!!

Huyu wa kwetu haya mengi wala machachei hana labda ya kununua magoli
 
Kashauriwa kuwa ni upepo unapita ndo maana yuko kimya
 
mjinga.
 
La bandari mbona lilishaisha!
Sasa hv ni utekelezaji tu.
Hao wapiga kelele wacha waendelee nao ndo namna ya kutoa stress zao
 
Anaelewa kabisa wanchi hawataki huo mkataba upo kiunyonyaji zaidi ni vile tu kashupaza shingo!

Kikubwa tambua kabisa UONGOZI umemshinda na hauwezi kuinua mikono tu ndo hawezi ko bora liende ngwe yake iishe
Mpumbavu we!
 
Mwacheni Raisi wetu apige kazi ya kutuletea maendeleo......habari za mkataba alishamaliza na sasa anasubiri utekelezaji tu.

Nyie raisi wenu si mbowe!! Msikilizeni mbowe
 
Dola 2510 kutoka 2309 2021 January
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…