DP-World nuru ya kuboresha utendaji na ufanisi katika sekta ya Bandari nchini Tanzania

DP-World nuru ya kuboresha utendaji na ufanisi katika sekta ya Bandari nchini Tanzania

DP-WORLD

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2023
Posts
266
Reaction score
286
Wadau wote na waungwana!

Mchakato unaendelea katika kufanikisha kuingia mkataba na kampuni ya DP World ni jambo jema ambalo litaleta Mapinduzi makubwa katika sekta ya Bandari nnchini.

Hayo maneno yote yanayosemwa kuhusu ujio wa DP World ni hisia tuu bila ya kuwa na uhalisia wowote na ndio maana wawakiloshi wetu Wabunge wamepitisha kwa 100 %, haya yote humu mitandaoni na maadamano ni kelele za chura tuu.

Nawasihi watanzania tuwe wavumilivu kwani mambo mazuri yanakuja na pato la taifa litaongezeka mno.

Pia nawaomba sana kwa ushirikiano mwema DP World waongee na ndugu zao Fly Emirate kupitia kampuni yao ya Fly Dubai waje wachukue ATCL ili wafanye mapinduzi katika sekta ya Anga kwani nayo imekuwa na hasara na vituko kila mwaka.

Na pia Mamlaka ya Mapato Dubai njooni pia huku kuna uozo mkubwa mno kwenye utendaji wa TRA ya Tanzania kwani uwepo wenu na connection ya DP World Tanzania itaweza kuboresha upatikanaji wa mapato makubwa.

Hivi vitu pamoja na kivifanya muda mrefu tumeshindwa kupata mafanikio yoyote. Watanzania tusijiegemeze kwenye neno uzalendo kwani uzalendo sio umaskini.
 
Covax ni mzalendo nambari 1. Ahsante Sana.
 
Wadau wote na waungwana!

Mchakato unaendelea katika kufanikisha kuingia mkataba na kampuni ya DP World ni jambo jema ambalo litaleta Mapinduzi makubwa katika sekta ya Bandari nnchini...
Kuwa kichaa siyo mpaka mtu uvae chupi kichwani, wakati mwingine kukaa kimya ni busara zaidi kuliko kusema kitu chochote.

Keep in mind that, " the difference between fools and braves is that, Braves always speak when they have something to say, but Fools speak because they have to say something".
 
Wadau wote na waungwana!

Mchakato unaendelea katika kufanikisha kuingia mkataba na kampuni ya DP World ni jambo jema ambalo litaleta Mapinduzi makubwa katika sekta ya Bandari nnchini...
Hao jamaa si wako wanafanya kazi kwenye baadhi ya nchi za afrika, hebu tuleteeni data za waliyoyafanya huko, badala ya kuimba hizi nyimbo za kuwasifia tu.

Tuleteeni data nchi walizofanya kazi, na kufanya bandari itoe 60% ya bajeti ya nchi. Leteni data, sio maneno.
 
DP-WORLD mnaupiga mwingi 👏👏👏

Kwenye mkataba tuweke kifungu cha kuwaongezea mashirika mengine mkifanya kazi vizuri. Hata kama hamna misitu tutawapa TFS. Kuna TANESCO , TAA, TTCL zote zinahitaji wawekezaji.
Bufa! Wewe ni mzalendo nambari 2 baada ya Covax. Good Sana na nakushukuru always appreciated for your valuable contributions towards development of Tanzania.
 
Kuwa kichaa siyo mpaka mtu uvae chupi kichwani, wakati mwingine kukaa kimya ni busara zaidi kuliko kusema kitu chochote.

Keep in mind that, " the difference between fools and braves is that, Braves always speak when they have something to say, but Fools speak because they have to say something".
John... wewe ni mzalendo nambari 3 baada ya Covax na Bufa
 
Wadau wote na waungwana!

Mchakato unaendelea katika kufanikisha kuingia mkataba na kampuni ya DP World ni jambo jema ambalo litaleta Mapinduzi makubwa katika sekta ya Bandari nnchin...
Hata wakiichukua TISS Tutafanikiwa sana hapa Tz!
 
Back
Top Bottom