DP-World nuru ya kuboresha utendaji na ufanisi katika sekta ya Bandari nchini Tanzania

DP-World nuru ya kuboresha utendaji na ufanisi katika sekta ya Bandari nchini Tanzania

Wadau wote na waungwana!

Mchakato unaendelea katika kufanikisha kuingia mkataba na kampuni ya DP World ni jambo jema ambalo litaleta Mapinduzi makubwa katika sekta ya Bandari nnchini...
Tumepigwa sana mkuu.., toka miaka ya 1990's mpaka leo tunaendelea kupigwa., ndio maana tukiona hata jani tu tunahisi ni NYOKA.
 
Hao jamaa si wako wanafanya kazi kwenye baadhi ya nchi za afrika, hebu tuleteeni data za waliyoyafanya huko, badala ya kuimba hizi nyimbo za kuwasifia tu. Tuleteeni data nchi walizofanya kazi, na kufanya bandari itoe 60% ya bajeti ya nchi. Leteni data, sio maneno.

Mpemba.... Acha kuwa mvivu boya wewe ni jukumu lako kutafuta kitu unachotaka kupata ufafanuzi wake wala sio kulalama hapa Jf.

Tumia akili na uwezo wako kujua hayo ni bora tumeshaingia mkataba baada ya wahusika kupata taarifa zetu. Hayo yote kamuulize mbuge wako bwege na bwanyenye wewe!
 
Tumepigwa sana mkuu.., toka miaka ya 1990's mpaka leo tunaendelea kupigwa., ndio maana tukiona hata jani tu tunahisi ni NYOKA.

Yenga... kwa hili la DP world nakutoa wasiwasi kabisa. Kila kitu kitakuwa na faida na manufaa kwa pande zote. Ondoa shaka mkuu.
 
Na pia Mamlaka ya Mapato Dubai njooni pia huku kuna uozo mkubwa mno kwenye utendaji wa TRA ya Tanzania kwani uwepo wenu na connection ya DP World Tanzania itaweza kuboresha upatikanaji wa mapato makubwa.
Mamlaka ya mapato Dubai haiwezi kuhusika kivyovyote na utendaji wa TRA, acha bangi
 
DP-WORLD unafanana sana na Kamanda asiyechoka, mmefanana mno kama mapacha
 
Yenga... kwa hili la DP world nakutoa wasiwasi kabisa. Kila kitu kitakuwa na faida na manufaa kwa pande zote. Ondoa shaka mkuu.
Tatizo kubwa lililopo mkuu ni kuhusu watawala.., maana raia kwa asilimia kubwa hawana imani nao. Mpaka mwenda zake wanamuona alikuwa sawa maana hata wapigaji walipata uoga.
 
Mamlaka ya mapato Dubai haiwezi kuhusika kivyovyote na utendaji wa TRA, acha bangi

Proved ! Thanks kama hilo la mapato haliwezekani nakushukuru kwa your valuable contributions na pia na wewe nakupatia kuwa mzalendo nambari 8, mkuu vp ile ya ATCL kuchukuliwa na Fly Dubai?

Halafu Hiyo ya Bangi imetoka wapi tena mkuu!
 
DP-WORLD unafanana sana na Kamanda asiyechoka, mmefanana mno kama mapacha

Evelyn Salt... nakupa nambari yako kuwa wewe ni mzalendo namba 9, najua pia natambua kuwa wewe na involved ni marafiki ila sijamsikia kwenye hili na DP World yeye kila kitu ni kuku tuu wa singida.

Appreciated sana Evelyn Salt.
 
Tatizo kubwa lililopo mkuu ni kuhusu watawala.., maana raia kwa asilimia kubwa hawana imani nao. Mpaka mwenda zake wanamuona alikuwa sawa maana hata wapigaji walipata uoga.
CAG hasadi kosa lake lilikuwa nini?
 
Chief! Wewe kwani unalipwa nini kupinga vitu vya maendeleo bwege wewe!
Kweli wewe ni popoma yaaani uuzwaji wa rasilimali ya taifa unaita maendeleo na ulivyozwazwa kwa kuficha upumbavu wako umeamua kuja na newID motherfanta
 
Tatizo kubwa lililopo mkuu ni kuhusu watawala.., maana raia kwa asilimia kubwa hawana imani nao. Mpaka mwenda zake wanamuona alikuwa sawa maana hata wapigaji walipata uoga.
Yenga...! Nisikilize na amini ninachokuambia kwani nina uhakika na mapato makubwa kwa serekalini na kuboresha maisha ya watanzania. Kwa hiyo worry not trust on me "DP World"
 
Back
Top Bottom