Tumepigwa sana mkuu.., toka miaka ya 1990's mpaka leo tunaendelea kupigwa., ndio maana tukiona hata jani tu tunahisi ni NYOKA.Wadau wote na waungwana!
Mchakato unaendelea katika kufanikisha kuingia mkataba na kampuni ya DP World ni jambo jema ambalo litaleta Mapinduzi makubwa katika sekta ya Bandari nnchini...
Kwani wazanzibar hawataki madolari ya bure toka kwa waarabu wenzao na ndg katika imani!?
Hao jamaa si wako wanafanya kazi kwenye baadhi ya nchi za afrika, hebu tuleteeni data za waliyoyafanya huko, badala ya kuimba hizi nyimbo za kuwasifia tu. Tuleteeni data nchi walizofanya kazi, na kufanya bandari itoe 60% ya bajeti ya nchi. Leteni data, sio maneno.
Tumepigwa sana mkuu.., toka miaka ya 1990's mpaka leo tunaendelea kupigwa., ndio maana tukiona hata jani tu tunahisi ni NYOKA.
Mamlaka ya mapato Dubai haiwezi kuhusika kivyovyote na utendaji wa TRA, acha bangiNa pia Mamlaka ya Mapato Dubai njooni pia huku kuna uozo mkubwa mno kwenye utendaji wa TRA ya Tanzania kwani uwepo wenu na connection ya DP World Tanzania itaweza kuboresha upatikanaji wa mapato makubwa.
Tatizo kubwa lililopo mkuu ni kuhusu watawala.., maana raia kwa asilimia kubwa hawana imani nao. Mpaka mwenda zake wanamuona alikuwa sawa maana hata wapigaji walipata uoga.Yenga... kwa hili la DP world nakutoa wasiwasi kabisa. Kila kitu kitakuwa na faida na manufaa kwa pande zote. Ondoa shaka mkuu.
Mamlaka ya mapato Dubai haiwezi kuhusika kivyovyote na utendaji wa TRA, acha bangi
DP-WORLD unafanana sana na Kamanda asiyechoka, mmefanana mno kama mapacha
Sio tiss tu, wangezichukua hata na ikulu zote mbili za Magogoni na Chamwino ili Watanzania tupumzike.Hata wakiichukua TISS Tutafanikiwa sana hapa Tz!
Dubai ya Africa coming soon!
Mrangi wewe ni mzalendo nambari 11 appreciated.DP WORLD nikomesheee hapo bandarini [emoji1]
Ova
CAG hasadi kosa lake lilikuwa nini?Tatizo kubwa lililopo mkuu ni kuhusu watawala.., maana raia kwa asilimia kubwa hawana imani nao. Mpaka mwenda zake wanamuona alikuwa sawa maana hata wapigaji walipata uoga.
CAG hasadi kosa lake lilikuwa nini?
Kmmq wallah sijui umelipwa bei gani kuja kupima upepo
Kweli wewe ni popoma yaaani uuzwaji wa rasilimali ya taifa unaita maendeleo na ulivyozwazwa kwa kuficha upumbavu wako umeamua kuja na newID motherfantaChief! Wewe kwani unalipwa nini kupinga vitu vya maendeleo bwege wewe!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kuna kipinidi tukikaa kimya mnakuja kutuchokonoA.
Yenga...! Nisikilize na amini ninachokuambia kwani nina uhakika na mapato makubwa kwa serekalini na kuboresha maisha ya watanzania. Kwa hiyo worry not trust on me "DP World"Tatizo kubwa lililopo mkuu ni kuhusu watawala.., maana raia kwa asilimia kubwa hawana imani nao. Mpaka mwenda zake wanamuona alikuwa sawa maana hata wapigaji walipata uoga.