Kweli wewe ni popoma yaaani uuzwaji wa rasilimali ya taifa unaita maendeleo na ulivyozwazwa kwa kuficha upumbavu wako umeamua kuja na newID motherfanta
Fala wewe jingajinga[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
HahaaaKuna kipinidi tukikaa kimya mnakuja kutuchokonoA.
Ndo ukwel huoKipara 20! Huo upuuzi wako wa kibaguzi ipo siku utakuponza.
Hiki kizaz kinaturudishia ukoloni , kizaz kimekata tamaa kbsHao jamaa si wako wanafanya kazi kwenye baadhi ya nchi za afrika, hebu tuleteeni data za waliyoyafanya huko, badala ya kuimba hizi nyimbo za kuwasifia tu. Tuleteeni data nchi walizofanya kazi, na kufanya bandari itoe 60% ya bajeti ya nchi. Leteni data, sio maneno.
Unatumia nn kufikiria , wanaoua waislam wenzao huko yemen ndo waje wakujengee nchi yeye wwHata wakiichukua TISS Tutafanikiwa sana hapa Tz!
Inasikitisha sana , mwafrika anadanganywa na dini kama babu zake walipodanganywa kwa vioo , vitukuu vitatucheka sanaMpemba.... Acha kuwa mvivu boya wewe ni jukumu lako kutafuta kitu unachotaka kupata ufafanuzi wake wala sio kulalama hapa Jf . Tumia akili na uwezo wako kujua hayo ni bora tumeshaingia mkataba baada ya wahusika kupata taarifa zetu. Hayo yote kamuulize mbuge wako bwege na bwanyenye wewe!
Fala wewe boya!Inasikitisha sana , mwafrika anadanganywa na dini kama babu zake walipodanganywa kwa vioo , vitukuu vitatucheka sana
Mbona matusi mwarabu wa dubei?Fala wewe boya!
Huyo covax uliyemtaja hapa anashadadia hili jambo kwa efforts za kidini hana analojua anadhani muarabu anakuja kutangaza dini.Covax ni mzalendo nambari 1. Ahsante Sana.
Mbona matusi mwarabu wa dubei?
Mimi nimekujibu kutokana na hoja iliyokuwa ktk post husika niliyo-quote ila tuelewane kitu kimoja.Saint!
1. Wewe umeona sehemu yoyote imetajwa dini!
2. Au unafikiri uarabu ni dini! Umesikia wanakuja kujenga misikiti bandarini!...
Takataka
Mimi siyo kilaza kama wewe eti nije public kupongeza ujio wa DP WORLD kwa mkataba wa hovyo kuwahi kutokea.Program Manager! Takataka ni wewe mwenyewe au hizo Program unazozisimamia boya wewe! Kama hukuwa na hoja ya kupongeza ujio wa DP World ni bora ungekaa kimya kuliko kuandika upuuzi wako pimbi wewe!
.Wadau wote na waungwana!
Mchakato unaendelea katika kufanikisha kuingia mkataba na kampuni ya DP World ni jambo jema ambalo litaleta Mapinduzi makubwa katika sekta ya Bandari nnchini.
Hayo maneno yote yanayosemwa kuhusu ujio wa DP World ni hisia tuu bila ya kuwa na uhalisia wowote na ndio maana wawakiloshi wetu Wabunge wamepitisha kwa 100 %, haya yote humu mitandaoni na maadamano ni kelele za chura tuu.
Nawasihi watanzania tuwe wavumilivu kwani mambo mazuri yanakuja na pato la taifa litaongezeka mno.
Pia nawaomba sana kwa ushirikiano mwema DP World waongee na ndugu zao Fly Emirate kupitia kampuni yao ya Fly Dubai waje wachukue ATCL ili wafanye mapinduzi katika sekta ya Anga kwani nayo imekuwa na hasara na vituko kila mwaka.
Na pia Mamlaka ya Mapato Dubai njooni pia huku kuna uozo mkubwa mno kwenye utendaji wa TRA ya Tanzania kwani uwepo wenu na connection ya DP World Tanzania itaweza kuboresha upatikanaji wa mapato makubwa.
Hivi vitu pamoja na kivifanya muda mrefu tumeshindwa kupata mafanikio yoyote. Watanzania tusijiegemeze kwenye neno uzalendo kwani uzalendo sio umaskini.
Mjinga kweli wewe na boya tuu.
Hatutaki kelele
Mjinga kweli wewe na boya tuu
Nitafute??? Mbona hamkuniambia nikawatafute DP World ili niwalete. Nyinyi mnaoimba hizo pambio, ndio tafuteni data na kuleta, sio mnaongea tu vitu ambavyo hata kwenye huo mkataba wa sasa havipo. Kwanza ametokea wapi huyo DP World? Hiyo Procurement Process ilifanyikia wapi? Maana hatujawahi kuona hata Expression of Interest ikitangazwa kwenye magazeti. Alishindanishwa na nani mpaka yeye akatokea kushinda. Na kama ilikuwa ni single source, kulikuwa na vigezo gani ambavyo vilimfanya yeye ashinde, na wengine washindwe???Mpemba.... Acha kuwa mvivu boya wewe ni jukumu lako kutafuta kitu unachotaka kupata ufafanuzi wake wala sio kulalama hapa Jf.
Tumia akili na uwezo wako kujua hayo ni bora tumeshaingia mkataba baada ya wahusika kupata taarifa zetu. Hayo yote kamuulize mbuge wako bwege na bwanyenye wewe!