DP World wameachia Bandari? TPA yatangaza kutafuta Mzabuni kuhudumia Makasha katika Terminal II

Aisee!!! Atalitolea ufafanuzi nadhani, muhusika.
 
Tarehe 25 mwezi wa kumi nenda bandarini utaona DPW akianza shughuli za uendeshaji wa magati namba tatu mpaka saba pale TPA.
Hapo sasa DP WEDI WANARUHUSIWA KUOMBA, LKN SI KAMA VILE WALIVYOTAKA FANYA

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
 
Wewe una akili ndogo unatakiwa kujua kulingana na ile IGA DPW ndio wenye mamlaka ya bandari yote na Tanzania wakitaka kufanya lolote watawajuza kwa hiyo kwakifupi DPW wamepewa taarifa na wameruhusu kutangazwa kwa tenda na sitoshangaa na wao wakawa wahusika wa kuomba hiyo tenda na kushinda!

Tunajua serikali inajaribu kujitekenya halafu baadae ichekeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Terms ziko wazi nenda kasome ! DPW wanajulishwa na tenda inatangazwa na wao ndio wanahamua nani awe mwekezaji na kwa aina hii ya tenda ni wazi kuwa DPW wanaweza kushinda kupitia wao direct au kampuni yao ili kuendelea na kiini macho ..kama umesoma IGA uwezi shangaa TPA kutangaza tenda lakini kwa ile IGA hii ni kiini macho 😎😎😎😎
 
Mwelekeze Ng"ombe wa CCM Huyo
 
Kwa hiyo wewe unafurahia kusikia watz hawana uwezo wa kuendesha bandari? Crazy!!! We mtu wa hovyo kweli.
 
Wanaleta kanyaboya, ukishangaa huku wanapiga kule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…