DP World wameachia Bandari? TPA yatangaza kutafuta Mzabuni kuhudumia Makasha katika Terminal II

Nguvu ya TEC
 
Hao chawa wa mama kichwani matope matupu.
 
Upo sahihi. Kwa mujibu wa IGA, DPW inaenda****
Kusimamia, Kuendesha na Kuendeleza ******eneo jingine tofauti na eneo hilo lililotangazwa kwa uzabuni
nadhani hata hatujui tunashangilia nn maskini siye
 
TEC ni lidude likubwa haliwezi kupigizana kelele kama wanavyofanya mashehe ubwabwa wakina mazinge,muharam,asad,ponda nk.Wametoa WARAKA wamekaa kimya sasa samia ashupaze shingo aone kitakachotokea.
Wewe na kanisa lako sijui TEC mlishajibiwa kuwa hamna jeuri ya kuligawa Taifa kama unabisha waambie hao TEC wafanye cha kufanya
 
Kina Tulia watatoa wapi hela za kurudisha kwa mwarabu. Au walikuwa hawajazitumia?
 
Tatizo siyo DP World ,Tatizo ni Mikataba ya Kimangungo hata hao wapya wakija na IGA/HGA zilezile haina maana....Wabadilishe vipengele ambavyo wanasheria walivipinga ili iwe win-win na si huu wa sasa ambao 100% inakula kwetu.
 
Kwa hiyo wewe unafurahia kusikia watz hawana uwezo wa kuendesha bandari? Crazy!!! We mtu wa hovyo kweli.
Profesa Assad alisema kwamba afrika inao upungufu wa nguvu kazi yenye elimu, huyo ni CAG mstaafu ambaye lazima ni mtu wa TISS pia.

Na yeye aliongea akiwa anafurahia uwezo wetu wa kuendesha bandari kuwa mdogo?, ukweli siku zote unaposemwa huwa ni tiba kwa yule anayeusikia ndio maana ya msemo usemao ukweli unauma.
 
Tatizo siyo DP World ,Tatizo ni Mikataba ya Kimangungo hata hao wapya wakija na IGA/HGA zilezile haina maana....Wabadilishe vipengele ambavyo wanasheria walivipinga ili iwe win-win na si huu wa sasa ambao 100% inakula kwetu.
Mengi hatuyajui tena yale ya kitaalam. DPW anatarajia kuja na ufanisi wa mapato ya trilioni 28 kwa mwaka pesa atakayokusanya TRA, sidhani kama tunanyonywa na hawa waarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…