DP World wameachia Bandari? TPA yatangaza kutafuta Mzabuni kuhudumia Makasha katika Terminal II

DP World wameachia Bandari? TPA yatangaza kutafuta Mzabuni kuhudumia Makasha katika Terminal II

Maslahi ya watanzania yanatakiwa yajae kwenye vifungu vyote siyo kimoja cha 31, kenge wewe
Hata uandike kwa kutumia wino wa dunia nzima, mwisho wa siku biashara za kimataifa zinaendeshwa kwa sheriq na kanuni za kimataifa, hakuna kujimwambafai.

Usijidanganye na kudanganya wajinga wengine.

Hujaiona mikataba ya mwendazake na timu ya waliotunga hiyo mikataba inavyohenyeshwa kimataifa?

Nikukumbushe?
 
Wewe ndio huna akili unayetafsiri kingereza moja kwa moja kwenda kiswahili.

Kumbuka kwenye mkataba kuna maneno WILL na SHALL, hayo yana maana mbili tofauti kabisa.

Usiusome mkataba ukautafsiri moja kwa moja kwenye kiswahili, usidhani kuwa hao waliosaini mikataba hawana akili na wanawaza kitoto kama wewe na mimi huku mitaani.

IGA ya DPW ni tofauti kabisa na ya huyo mwekezaji mpya anayetafutwa, itakuwa tofauti na ya yule atakayepatikana na kuendesha Mbamba Bay Port.
Terms zote za kwenye IGA wewe umeona maneno mawili tu, WILL and SHALL?!

Kasome mkataba acha ujinga.
 
Mbona tunalipa mabilioni kila siku kwa kuvunja mikataba ya madini
We upo nchi gani!!
 
Terms zote za kwenye IGA wewe umeona maneno mawili tu, WILL and SHALL?!

Kasome mkataba acha ujinga.
Ujinga unauleta wewe unayedhani IGA ya Dubai ndio kila kitu pale bandarini.

Hiyo barua inawataka wenye uwezo wa kufanya shughuli za bandari iwe ni wazalendo wa ndani iwe wa nje, kujitokeza kugombea hiyo tender ili wapate hiyo kazi.

Huu ni muda wa sisi wazalendo kuomba hiyo kazi kama tunao uwezo kweli wa masuala ya loading na offloading na uendeshaji mzima wa logistics za bandari kisasa.
 
Terms zote za kwenye IGA wewe umeona maneno mawili tu, WILL and SHALL?!

Kasome mkataba acha ujinga.
Serikali ya mama Samia na serikali ya Dubai wameachia kwa kuwaogopa mwambulukusi, mdudu na silaa.

Wanatisha hao three the hardways.

Hivi wako wapi mashujaa?
 
Hata uandike kwa kutumia wino wa dunia nzima, mwisho wa siku biashara za kimataifa zinaendeshwa kwa sheriq na kanuni za kimataifa, hakuna kujimwambafai.

Usijidanganye na kudanganya wajinga wengine.

Hujaiona mikataba ya mwendazake na timu ya waliotunga hiyo mikataba inavyohenyeshwa kimataifa?

Nikukumbushe?
Watanzania kwanza tungekuza uelewa wetu wa masuala mengi ya kidunia kabla hata ya kufikiria kuwa washindani wa soko la kimataifa.

Tunashindwa kujua mipaka ya IGA ni ipi lakini ukisoma unaweza kudhani unachat na profesa wa chuo kikuu.
 
Terms zote za kwenye IGA wewe umeona maneno mawili tu, WILL and SHALL?!

Kasome mkataba acha ujinga.
Serikali ya mama Samia na serikali ya Dubai wameachia kwa kuwaogopa mwambulukusi. Mdudu na silaa.

Wanatisha hao three the hardways.

Hivi wako wapi mashujaa?
 
Wanaona Aibu, Si unajua tena wanafki,

Utapotea kimya kimya kama ulivyokuja,

TEC walitoa maoni wakamaliza wakakaa kimya.
TEC ni lidude likubwa haliwezi kupigizana kelele kama wanavyofanya mashehe ubwabwa wakina mazinge,muharam,asad,ponda nk.Wametoa WARAKA wamekaa kimya sasa samia ashupaze shingo aone kitakachotokea.
 
Tunawakumbusha tu TEC ,Profesa Tibaijuka, Kinana , GSM na wengine kuwa TPA wametoa tenda ya kuendesha bandari.

Kufuatia ule waraka wenu mliosa mmetumwa na watanzania sasa hapa ndipo tunataka waje wale wawekezaji wenu mliokuwa mnawasema kwenye ule waraka wenu wa ki intarahamwe kuwa kuwa watanzania wanaweza kufanya hii kazi.

Hatutaki mje kuanza kuwalaumu waarabu kwa haya mambo maana mmesema kuna watanzania wana uwezo,haya tangazo la kuitisha tenda hili hapa mkalisome makanisani kama mlivyousoma waraka ule ili wale mnaosema wana uwezo waje kuomba na wapewe kazi hii.
hayo yaache huko ulikocop kwa kigogo.
 
Hao wanao tangaza hyo kazi wao wameshindwa nn kuongeza wigo kusimamia gati hilo shenzi zaoo
Domo la mswahili halilali njaa, Mambo yapo hadharani bado tu nongwa zipo palepale dah! Qui qui qui😁😁😁
WAZEE WA NONGWA!
 
DP World anategemewa kuendesha magati namba tatu mpaka saba, huyo anayetafutwa ni muendelezaji mwingine wa magati namba nane mpaka kumi na moja.

Hii ni aibu kwa baraza la maaskofu waliosema wanapinga bandari zote nchini kupewa DPW, hayo magati yanayotafuta muendelezaji ni sehemu tu ya bandari ya Dar.

Kuna tangazo kama hili litakuja baadae mwaka huu kuhusu uendelezaji wa bandari ya Bagamoyo.

Kuna tangazo lingine litakuja kuhusu uendelezaji wa bandari ya Mbamba Bay kule Ziwa Nyasa na kutakuwa na tangazo kuhusu bandari ya Ziwa Tanganyika.

Kote huko serikali itatangaza nafasi ya uendelezaji wa bandari hizo. Maaskofu hawajamtendea haki Rais SSH kwa kuja na waraka ambao umefanana na upotoshaji wa kinachotegemewa kufanyika.
wewe mjinga TEC inataarifa nyeti za nchi hii huwa hawakurupuki kama mashehe wako ubwabwa.Ndo maana imetoa taarifa ikapiga kimya.Sasa jukumu lilobaki ni la samia kuonyesha ubavu.

Samia hawezi kuuza bandari za nchi yetu kwa wapwa wake Dubai tukae kimya.NEVER!
 
Maaskofu walichemka sana kuusoma ule waraka. Halafu ni majina 32 wakaorodheshwa kumbe wanaingizwa mkenge bila ya kufahamu.

Kama DPW amenunua hiyo bandari imeweza vipi kutangaza tender ya kuendesha magati yake?.

Hatujui mambo mengi na hatutaki kukubali kwamba hatujui.
wewe mjinga usitumie kichwa kama kizibio cha shingo.
 
Wewe ndio huna akili unayetafsiri kingereza moja kwa moja kwenda kiswahili.

Kumbuka kwenye mkataba kuna maneno WILL na SHALL, hayo yana maana mbili tofauti kabisa.

Usiusome mkataba ukautafsiri moja kwa moja kwenye kiswahili, usidhani kuwa hao waliosaini mikataba hawana akili na wanawaza kitoto kama wewe na mimi huku mitaani.

IGA ya DPW ni tofauti kabisa na ya huyo mwekezaji mpya anayetafutwa, itakuwa tofauti na ya yule atakayepatikana na kuendesha Mbamba Bay Port.
we' kweli chizi fresh!

unajua sheria kushinda Emaratus prof.Shivji,Tundu Lissu,Kibatala,Think Tank ya Taifa(TEC)?
 
Hamna chochote cha kufurahia hapo, hiyo ni michezo ya Samia kutaka kuhalalisha kwamba mwarabu alipewa bandari baada ya taratibu zote kufuatwa.

Mwanzo walilazimisha kubadili sheria ili iwanufaishe waarabu, wakaona mambo magumu, bunge likagoma na serikali ikakubali yaishe.

Sasa wamekuja na hii mbinu ya kutanganza tender, kwasababu wengi walilalamika mwarabu amepewa bila kushindanishwa, hapo wanamtengenezea mazingira mwarabu ashinde ili wapate uhalali wa kumpa bandari.

Lakini pia, hata ukisoma objectives za IGA, mwarabu amepewa aendeshe bandari zote Tanganyika, tena kwa muda usiojulikana, hivyo hata kama hiyo terminal 2 akiendesha mwingine, itakuwa ni kwa muda tu, kwasababu hiyo terminal 2 bado ipo ndani ya bandari ya Dsm ambayo mwarabu ameshakabidhiwa milele, msidanganyike.

Serikali ya Samia inatakiwa kuvunja ule mkataba wa hovyo wa IGA walioingia na mwarabu, wasitudanganye kwa hii michezo ya kitoto wanayocheza, ni utapeli mtupu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndio wanatakiwa sasa kutuambia ule mkataba kati yao na mwarabu wameuvunja, ijulikane rasmi, sio kutuvizia na hizi hatua zao fupi zisizoeleweka.

Ieleweke wazi, tatizo sio tender kutangazwa, tatizo pale ni terms za hovyo kwenye ule mkataba wa IGA, msidanganyike.
Eti kutuvizia[emoji23]
 
Mambo yanaenda kinyumenyume. Tulianza kwa kusaini mkataba kati yetu na mkandarasi, tukaja kuomba ridhaa bungeni (ili mkataba baina yetu na mkandarasi usainiwe), tumemaliza na kutangaza tenda (ili tumpate mkandarasi)
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unajua maana ya source? Ni kuwa hilo tangazo liko kwenye website ya bandari au kwenye gazeti lipi?

Hilo tangazo liko wapi ? Source lilikotolewa?
We nawe huon kama ni gazeti hilo au unachosha watu tu
 
Back
Top Bottom