DP World Washusha Meli yenye Kontena 4,000 Dar Port. Meneja TPA asema ni matokeo ya uwekezaji, adai huo ni Mwanzo tu

Dar bado kuna msongamano mkubwa, meli zinaelekea mombasa ama Tanga.
Watu wameagiza mizigo 10/04/2024 Hadi Leo hawajapata....
Nashangaa Hawa wanaoshabikia ukubwa wa meli wakati meli zinakaa foleni mwezi mzima pale bandarini zikisubiri zamu Yao kushushia mizigo IFIKE.
Hawa DP sijaona faida Yao mpaka sasa
 
Hao ni waongo tu, kuna meli zimefika 13/6 na bado hazijashusha mizigo lkn hiyo iliyofika jana eti itakaa kwa muda wa siku 5 tu. Je kwa nini meli zilizofika tarehe 17 mbona hazijapangiwa siku ya kusha?
Watu wanamizigo ya tarehe 10/04 hawajapata pale Yoonek Cargo Hadi Sasa afu tunapigwa fix za kijinga
 
Isije kuwa inashusha makontena 1000 baadae yanasepa.
Au makotena yanashushwa hawalipo kodi wala ushuru.
 
Yah nimeitafuta hii Habari sijona mtandaoni ila nakumbuka hilo
 
Mama anauza nchi tu!
Hakuna kitu hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…