DP World wawepo Uingereza kwa wanaojitambua halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

DP World wawepo Uingereza kwa wanaojitambua halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).

Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?

DP World wapewe bandari tafadhali.
 
Yaani DP World wawepo hadi nchi Kubwa ya Watu wanaojitambua duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

Taratibu sasa naanza Kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na Population Kubwa ya Watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata Elfu Hamsini ( 50,000 )

Yaani DP World ashindwe Kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo ( Kiuwekezaji wa Bandari ) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?

DP World wapewe Bandari tafadhali.
shda cyo DP World tatizo ni mkataba wa DP

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We unaona Uingereza ipo sawa na sisi? Elimu, siasa, uwazi na uhuru wa vyombo vya habari? Ulishatizama bunge la Uingereza? Wale jamaa ni vichwa huwezi waingiza mikataba ya kijinga na hata ikitokea utawajibishwa, katiba yao imenyooka, PM wanapigiwa kura za kutoaminiwa na MPs hapa utaweza?

Kingine hizo bandari sio kubwa kwa taifa la Uingereza.
 
Uko sahihi popoma. Bongo ina uhaba mkubwa wa wananchi wanaojielewa. Ukitoa makundi yafuatayo unaweza kukuta hata hao wanaojitambua 50k hawafiki;
1. Wafuasi wa Da Mange.
2. Wafuasi wa Mdude Chadema.
3. Wafuasi wa Dr Babutale.
4. Wafuasi wa manabii feki.
 
Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).

Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?

DP World wapewe bandari tafadhali.
Sio bandari tuu hata TRA na Takukuru wapewe wao hawa jama wako vyema mbaya
 
Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).

Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?

DP World wapewe bandari tafadhali.
Hakuna mtu asie wataka , watu wanachokataa ni aina ya mkataba wake na Tz, kaangalie hu mkataba wa UK kama n wakifisadi kama wetu
 
Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).

Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?

DP World wapewe bandari tafadhali.
Kwa kuanzia kalete mkataba wa DP na Uingereza
 
Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).

Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?

DP World wapewe bandari tafadhali.
Unakosea, shida sio DP WORLD kufanya kazi wapi shida mkataba tunaoingia nao kufanya kazi. Acha kuangalia ukubwa wa kampuni hilo halituhusu sana sisi tunaangalia huo mkataba unatija gani kwetu kama taifa. Nimegundua umesoma lakini haupo kati ya hao 50,000 uliowataja hapo maana umeanza kuangalia ukubwa wa kampuni hiyo, sisi inatija gani kwetu. Kwani makampuni yaliyowahi kuingia mikataba mikubwa hapa bongo yalitoka wapi na tukapigwa. Si nihukohuko abroad mf. uingereza, marekani n.k sasa wewe unakuja na hoja ya ukubwa wa kampuni na inapofanya kazi. Hata kama ingekua inafanya kazi bandari za U.S.A
 
Uko sahihi popoma. Bongo ina uhaba mkubwa wa wananchi wanaojielewa. Ukitoa makundi yafuatayo unaweza kukuta hata hao wanaojitambua 50k hawafiki;
1. Wafuasi wa Da Mange.
2. Wafuasi wa Mdude Chadema.
3. Wafuasi wa Dr Babutale.
4. Wafuasi wa manabii feki.
Wabongo tuko sawa, usitulazimishe kuamini ujinga. Tena sasa hivi ndo tupo active sana. Kwani mikataba mingapi mikubwa imepita huko nyuma na tulipigwa? Acha kujisahaulisha na kuita wabongo wenzako wajinga. Huna werevu wowote wewe. Tunahoji kwa maslahi yetu sote na sio ujinga, hizo ni rasilimali za taifa.
 
Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).

Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?

DP World wapewe bandari tafadhali.
Dpw hawawezi kuiharibu UK kwa kuwa si mbumbumbu, na mifumo (sheria)yao inajisimamia. Mkataba wetu unaona dhahiri, dpw wanatoa maagizo, sisi hatuonekani hata kutoa maagizo kwao.
 
Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).

Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?

DP World wapewe bandari tafadhali.
Bro mbona tunakuheshim sana lakin
 
Back
Top Bottom