DP World wawepo Uingereza kwa wanaojitambua halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

DP World wawepo Uingereza kwa wanaojitambua halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

Uko sahihi popoma. Bongo ina uhaba mkubwa wa wananchi wanaojielewa. Ukitoa makundi yafuatayo unaweza kukuta hata hao wanaojitambua 50k hawafiki;
1. Wafuasi wa Da Mange.
2. Wafuasi wa Mdude Chadema.
3. Wafuasi wa Dr Babutale.
4. Wafuasi wa manabii feki.
Kichwa kikubwa ubongo wa sisimizi
 
Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).

Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?

DP World wapewe bandari tafadhali.
Rwanda mna bandari we mkimbizi
 
Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).

Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?

DP World wapewe bandari tafadhali.
umewaambia ukweli
 
Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).

Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?

DP World wapewe bandari tafadhali.
We endelea na hizi mbanga, tutakuvua cheo cha upopoma with immediate effect😆
 
Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).

Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?

DP World wapewe bandari tafadhali.
Issue sio kutowataka DP acha kuchanganya mambo...watu wanahoji namna mkataba ulivyo na mashariti yake ikiwemo duration sawa?....wewe umeuona mkataba wa DP na UK?....
Punguza mdomo....fuatilia mambo kabla ya kukurupuka
 
Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).

Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?

DP World wapewe bandari tafadhali.


Shida sio asipewe au apewe bandari bali shida ni namna mkataba ulivyoingiwa mazingira yake na baadhi ya vipengele vyake, mfano mkataba unasema bandari ZOTE za nchi hii apewe lakini bandari za Zanzibar tu hazihusiki, muda wa mkataba sio specified na inapotokea dispute usuluhishi ufanywe kwa sheria za kimataifa wakati Tz ni nchi na Dubai sio nchi nk, kifupi mkataba umekuwa ni siri mno na wa harakaharaka mno kiasi kwamba unatia mashaka, na mikataba ya aina hiyo imekuwepo nchini mwetu ambapo mwisho wa siku ni sisi "tuliopigwa" refer; TICKS, NET group solution nk. Wasiwasi baada ya kung'atwa na nyoka ndio akili, katika jambo hili la Bandari zetu nina wasiwasi mkubwa sana kwamba Madam president kaingizwa chaka na watendaji wake, maskini hajui hatari ya huo mkataba, wewe kwanini huoni kateua washauri wapya hivi karibuni ?!!.

Ingekuwa vizuri utuletee hapa huo mkataba kati ya DP world na Uingereza (nchi inayojitambua) ili tuuone ukoje na tupate kujifunza.
 
Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).

Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?

DP World wapewe bandari tafadhali.
Tatizo MKATABA....
 
Dpw hawawezi kuiharibu UK kwa kuwa si mbumbumbu, na mifumo (sheria)yao inajisimamia. Mkataba wetu unaona dhahiri, dpw wanatoa maagizo, sisi hatuonekani hata kutoa maagizo kwao.
Toka lini muuzaji akatoa maagizo kwa mnunuzi ? Ulisikia wapi ?
 
Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?

Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).

Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?

DP World wapewe bandari tafadhali.
Acha UJINGA terms and conditions za UK na TZ unazijua?😡😡😡
 
Back
Top Bottom