Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Sikiliza hapa ujue sababu ya DP World kukataliwa..
uingereza hawajaingia nao mkataba kama wa kwetu pimbi wee. tunachogomba ni terms za mkataba, na sio uwekezaji wa dp world. akili zako ziko makalioni aisee.