Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
uingereza hawajaingia nao mkataba kama wa kwetu pimbi wee. tunachogomba ni terms za mkataba, na sio uwekezaji wa dp world. akili zako ziko makalioni aisee.Sikiliza hapa ujue sababu ya DP World kukataliwa..
Shida si kufanya vyema we popoma, embu tonyeshe mikataba ya hizo nchi unazosema tulinganishe, huenda ukawa haumo kati ya hao 50elfu uliotaja. Mbuzi weweYaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?
Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).
Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?
DP World wapewe bandari tafadhali.
Tunaogopa mirija yetu itakatwa.Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?
Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).
Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?
DP World wapewe bandari tafadhali.
Umemjibu vizuri kabisa,...nilitaka mpa jibu linalofanana na hili.We unaona Uingereza ipo sawa na sisi? Elimu, siasa, uwazi na uhuru wa vyombo vya habari? Ulishatizama bunge la Uingereza? Wale jamaa ni vichwa huwezi waingiza mikataba ya kijinga na hata ikitokea utawajibishwa, katiba yao imenyooka, PM wanapigiwa kura za kutoaminiwa na MPs hapa utaweza?
Kingine hizo bandari sio kubwa kwa taifa la Uingereza.