fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Kwasababu ya uwepo wa vifaa vya kisasa wizi tuuweke pembeni Ila hapo kwenye UZEMBE KAZINI watafukuzwa wengiMkataba unasema sababu za kufukuzwa ni zile zile kama #TPA tu
Wizi uzembe kazini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasababu ya uwepo wa vifaa vya kisasa wizi tuuweke pembeni Ila hapo kwenye UZEMBE KAZINI watafukuzwa wengiMkataba unasema sababu za kufukuzwa ni zile zile kama #TPA tu
Wizi uzembe kazini
Hii itakuwa propaganda akili ya kuambiwa changanya na yako kiuhalisia asilimia kubwa ya wafanyakazi Kama sio wote wamebakiza chini ya Miaka 30 kustaafu .Wafanyakazi walihoji baada ya hiyo miaka 30 tutaenda wap ?
Muarabu:msiwe na hofu mm nipo na nitaendelea kuwepo kwa zaidi ya hiyo miaka 30
Mzee imetoka hiyooPropaganda hizi ama?
"Ngoja tuone"
"...Wananchi hawajaridhishwa na Mkataba baina ya DP World na Serikali ya Tanzania"
Shauri zaoKwasababu ya uwepo wa vifaa vya kisasa wizi tuuweke pembeni Ila hapo kwenye UZEMBE KAZINI watafukuzwa wengi
Hiyo 60% ni kwenye mshahara tu lkn kwa ujumla maslahi yanaongezeka Mara 3 zaidimsiwatishe waache wajiunge na mwarabu waachane na upuuzi wa kikokotoo, kama mwarabu anaboresha maslahi kwa asilimia 60 juu ya wanachopata Mungu awape nini tena? wakimbilie kwa mwarabu nchi imeshauzwa hiyo wanaojifanya kukomaa peleka nyasa huko na mwanza.
Hakika wapo mtegoniUyasemayo ni kweli tupu wafanyakazi wa tpa shuhuli hawana tena pale
Kuna Ridandasi soon kwa watakaogoma kwenda kwa muarabuPale kuna wafanyakazi zaidi ya 500 je huko mikoani wataweza kutosheleza wote????
Vifaa vilivyoshuka mpaka sasa na vinavyokuja ni cha kisasa mno baada miezi 3-7 nadhani hii bandari itakuwa na uharaka saana wa kupokea na kushusha mizigo MASHINE ZINAZOSHUKA SI HABAMbona ujataja Berth Zero - Kwa ajili ya magari. Hii pia imeenda 😀
Halafu unavyosema vifaa vya kisasa...umeona tafauti yake na vifaa vilivyopo?
DP kapania saana kuifanya hii port kuwa ya kisasambona dawa ni ndogo tu kama ameichukua jumla, kuitafuta Tanganyika hadi ipatikane, halafu mwarabu ataitafuta Tanzania aliyoingia nayo mkataba, atembee kwa mguu hadi dubai juu ya maji (kidding), though kama anaongeza maslahi na kama ataongeza kweli ufanisi, ngoja tumwangalie anachofanya, aifanye bora kama zile za dubai hapo labda tutamsamehe.
Wafanyakazi wanaotaka kwenda DP walihoji hichi kitu kuwa endapo siasa zitabadirika na kuingia kiongozi mwingine akavunja huo mkataba je wao maslahi yao yatakuwajeNi muda tu utasema Mzee nakuhakikishia kuna watu wamekaa kimya ngoja washike madaraka utakuja kuniambia
Ila sio lazima piaKuna Ridandasi soon kwa watakaogoma kwenda kwa muarabu
Wengine walishaenda kwa mwarabu na kazi washaanza kufanya mtu kachungulia kaona bado miaka mitano astaafu yanini kuendelea na tpaKuna Ridandasi soon kwa watakaogoma kwenda kwa muarabu
Sio lzm kwenda Dp lkn baada ya kubaki TPA kuna Ridandasi inafuatiaIla sio lazima pia
Bro hii nchi huijui mkuu. Watu waliohongwa hapo wakikamatwa watataja kila kitu. Na wakikubali kutoa ushahid mahakaman jins DP World walivyotoa rushwa kupata hiyo tenders unavunja mkataba. Kuna magufuli mwingine atakuja tu we subiri.Wafanyakazi wanaotaka kwenda DP walihoji hichi kitu kuwa endapo siasa zitabadirika na kuingia kiongozi mwingine akavunja huo mkataba je wao maslahi yao yatakuwaje
Muarabu akajibu kuwa kwa mkataba waliongia sio rahisi kichaa yoyote kuthubutu kuuvunja (muarabu kajihakikishia usalama) kwa kuzingatia siasa zetu
Tungeanza na ikulu, ingependeza sana tukibinafsisha ikulu, ili viongozi wajao wajifunze.Kwa manufaa ya vizazi vyetu vijavyo naunga mkono sekta nyingi tu zibinafisishwe ili kizazi kijacho kiadopt utendaji kazi wa wenzetu sio huu ujinga wa kiafrica uliopo sasa
sasa kama ni hivyo wanashangaa shangaa nini kukimbia fasta , yaani mtumishi wa serikali wa kibongo anajikuta sana hata kama anapokea aftatu kwa mwezi hajielewi kabisa sijui wanawaroga ndiomaana alipokuja jiwe alihangaika nao sana mara kawafukuza mara sijui hawana vyeti lakini wamo tu wala hawashituki, maslahi madogo bado wanalambalamba makalio ya siisiiemu.Hiyo 60% ni kwenye mshahara tu lkn kwa ujumla maslahi yanaongezeka Mara 3 zaidi
aifanye ili atuprove wrong, ama la asifikiri ameuziwa mazima na milele, kuna siku Tanganyika itazaliwa, watu wakiona wanaletewa ujinga watazalisha Tanganyika na yeye atabidi atafute Tanzania ipo wapi aliyoingia nayo mkataba. na watu wajue, kwanini wabara hawajawahi hata siku moja kushupalia issue ya Tanganyika hadi Mzanzibari alipoingia na kugawa bandari na mbunga? why now? ni kwasababu wameona kama maslahi ya watanganyika yanadhulumiwa na wazanzibari wanadekezwa kuanzia kina fei toto kwenye yanga wanatetewa hadi mtu mkubwa wa mwisho kwasababu tu rais katoka kwao. tuambiwe na umeme waliodaiwa kipindi cha magufuli walilipaje na kama walisamehewa kwanini sisi wengine wasitulipie.DP kapania saana kuifanya hii port kuwa ya kisasa
Tatizo.....ujanipa jibu sahihi.....mpaka sasa wameleta vifaa gani?Vifaa vilivyoshuka mpaka sasa na vinavyokuja ni cha kisasa mno baada miezi 3-7 nadhani hii bandari itakuwa na uharaka saana wa kupokea na kushusha mizigo MASHINE ZINAZOSHUKA SI HABA