DPP anaposhindwa kuendesha kesi kwa MIAKA MINNE si ashitakiwe?

DPP anaposhindwa kuendesha kesi kwa MIAKA MINNE si ashitakiwe?

Kuna kesi nyingi ambazo watu ambao wamebambikwa , na kuwa watuhumiwa wa karne, haziendi mbele wala hakuna kinachoendelea.
Kuna Kesi ya yule aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa RAHCO, Tito Benhadart, sasa mwaka unaenda wa tano.
Kuna wengine wengi tu Keko na Segerea.

Lakini funga kazi ni hii ya VIP na IPTL ya akina Rugemalira na Singh


Mimi si mwanasheria , lakini ntural justice inaonekana kama wako kizuizini kwa amri na si kwa kesi inayoeleweka.

Hapa naomba DPP na Jeshi la Polisi na hata Magereza wanaowakweka ndani watu bila kujua la kufanya kwa uonezi mkubwa , basi washitakiwe na hata na third party.

Mtu unapomuweka mahabusu , basi ijulikane kuwa kuna kesi ya kujibu.
Lakini watu wanakaa ndani kwa MIAKA MINNE au MITANO, polisi wanachunguza mpaka hawaoni makosa yalikofichwa .
Hapa basi aidha tuna Idara mbovu sana za uchunguzi kipolisi na wameshindwa ku build up a case kutokana na kosa, au ni ubambikwaji tu ambao hauna ushahidi wowote.

Hizi Idara za Mahakama , Polisi na kwa njia ya kusukumiziwa tatizo, Magereza, wamekuwa miungu watu ambao sasa wanajiona wako juu ya utu na sheria.

DPP ashitakiwe.
Asante Mama kwa kusikia kilio cha wapenda haki!!
DPP Biswalo OUT!
 
Asante Mama kwa kusikia kilio cha wapenda haki!!
DPP Biswalo OUT!
Kwa kweli KUDOS kwa Mama.
Mambo mengine ya uonezi kiserikali , au kwa matakwa ya mtu mwenye madaraka yanaumiza watu sana.
Mama Samia ubarkiwe sana kwa kusikia kero hizi.
 
Kuna kesi nyingi ambazo watu ambao wamebambikwa , na kuwa watuhumiwa wa karne, haziendi mbele wala hakuna kinachoendelea.
Kuna Kesi ya yule aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa RAHCO, Tito Benhadart, sasa mwaka unaenda wa tano.
Kuna wengine wengi tu Keko na Segerea.

Lakini funga kazi ni hii ya VIP na IPTL ya akina Rugemalira na Singh


Mimi si mwanasheria , lakini ntural justice inaonekana kama wako kizuizini kwa amri na si kwa kesi inayoeleweka.

Hapa naomba DPP na Jeshi la Polisi na hata Magereza wanaowakweka ndani watu bila kujua la kufanya kwa uonezi mkubwa , basi washitakiwe na hata na third party.

Mtu unapomuweka mahabusu , basi ijulikane kuwa kuna kesi ya kujibu.
Lakini watu wanakaa ndani kwa MIAKA MINNE au MITANO, polisi wanachunguza mpaka hawaoni makosa yalikofichwa .
Hapa basi aidha tuna Idara mbovu sana za uchunguzi kipolisi na wameshindwa ku build up a case kutokana na kosa, au ni ubambikwaji tu ambao hauna ushahidi wowote.

Hizi Idara za Mahakama , Polisi na kwa njia ya kusukumiziwa tatizo, Magereza, wamekuwa miungu watu ambao sasa wanajiona wako juu ya utu na sheria.

DPP ashitakiwe.
Haya mambo ya kuwekana ndani indefinate sasa yatapunguwa kama c kuondoka kabisa kwa sababu yule aliyekuwa anatowa amri mungu keshamchukuwa na yule mtekelezaji leo hi ameshaondolewa na Rais.
 
Kuna kesi nyingi ambazo watu ambao wamebambikwa , na kuwa watuhumiwa wa karne, haziendi mbele wala hakuna kinachoendelea.
Kuna Kesi ya yule aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa RAHCO, Tito Benhadart, sasa mwaka unaenda wa tano.
Kuna wengine wengi tu Keko na Segerea.

Lakini funga kazi ni hii ya VIP na IPTL ya akina Rugemalira na Singh


Mimi si mwanasheria , lakini ntural justice inaonekana kama wako kizuizini kwa amri na si kwa kesi inayoeleweka.

Hapa naomba DPP na Jeshi la Polisi na hata Magereza wanaowakweka ndani watu bila kujua la kufanya kwa uonezi mkubwa , basi washitakiwe na hata na third party.

Mtu unapomuweka mahabusu , basi ijulikane kuwa kuna kesi ya kujibu.
Lakini watu wanakaa ndani kwa MIAKA MINNE au MITANO, polisi wanachunguza mpaka hawaoni makosa yalikofichwa .
Hapa basi aidha tuna Idara mbovu sana za uchunguzi kipolisi na wameshindwa ku build up a case kutokana na kosa, au ni ubambikwaji tu ambao hauna ushahidi wowote.

Hizi Idara za Mahakama , Polisi na kwa njia ya kusukumiziwa tatizo, Magereza, wamekuwa miungu watu ambao sasa wanajiona wako juu ya utu na sheria.

DPP ashitakiwe.
kwani dpp ndio mpelelezi wa kesi mzee? yeye ndiye aliwakamata?
 
kwani dpp ndio mpelelezi wa kesi mzee? yeye ndiye aliwakamata?
DPP ana mamlaka ya kumwomba Jaji au Hakimu kufta kesi kama mkamataji hana lolote analofanya, ndani ya kipindi fulani.
Kesi haiwezi pelelezwa indefinately.
 
DPP ana mamlaka ya kumwomba Jaji au Hakimu kufta kesi kama mkamataji hana lolote analofanya, ndani ya kipindi fulani.
Kesi haiwezi pelelezwa indefinately.
kwani majaji hawawezi kufanya hilo suo motu kwa kuitisha jalada na kulifanyia mapitio? kwanini alaumiwe dpp peke yake? au sisi mawakili tufungue kesi za kikatiba? tumefanya hilo ili mahakama ichore mstari kama kesi za armed robbery?
 
Kuna kesi nyingi ambazo watu ambao wamebambikwa , na kuwa watuhumiwa wa karne, haziendi mbele wala hakuna kinachoendelea.
Kuna Kesi ya yule aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa RAHCO, Tito Benhadart, sasa mwaka unaenda wa tano.
Kuna wengine wengi tu Keko na Segerea.

Lakini funga kazi ni hii ya VIP na IPTL ya akina Rugemalira na Singh


Mimi si mwanasheria , lakini ntural justice inaonekana kama wako kizuizini kwa amri na si kwa kesi inayoeleweka.

Hapa naomba DPP na Jeshi la Polisi na hata Magereza wanaowakweka ndani watu bila kujua la kufanya kwa uonezi mkubwa , basi washitakiwe na hata na third party.

Mtu unapomuweka mahabusu , basi ijulikane kuwa kuna kesi ya kujibu.
Lakini watu wanakaa ndani kwa MIAKA MINNE au MITANO, polisi wanachunguza mpaka hawaoni makosa yalikofichwa .
Hapa basi aidha tuna Idara mbovu sana za uchunguzi kipolisi na wameshindwa ku build up a case kutokana na kosa, au ni ubambikwaji tu ambao hauna ushahidi wowote.

Hizi Idara za Mahakama , Polisi na kwa njia ya kusukumiziwa tatizo, Magereza, wamekuwa miungu watu ambao sasa wanajiona wako juu ya utu na sheria.

DPP ashitakiwe.
Tayari leo Mh. Rais kapita nae. Imechangiwa pia na lile agizo la kufuta kesi zisizo kuwa na ushahidi jamaa kakaa kimya kama hakuna agizo toka kwa Mkuu wa nchi.
 
kwani majaji hawawezi kufanya hilo suo motu kwa kuitisha jalada na kulifanyia mapitio? kwanini alaumiwe dpp peke yake? au sisi mawakili tufungue kesi za kikatiba? tumefanya hilo ili mahakama ichore mstari kama kesi za armed robbery?
Tatizo kubwa hapa , Muhimili wa Sheria na Mahakama kuliingiliwa na wanasiasa.
Wanasiasa wanaamrishaPolisi kukamata, wanawaamrisha Majaji kufunga watu, hata kuamrisha Polisi kumweka mtu ndani kwa kubambika kesi.
 
Kuna kesi nyingi ambazo watu ambao wamebambikwa , na kuwa watuhumiwa wa karne, haziendi mbele wala hakuna kinachoendelea.
Kuna Kesi ya yule aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa RAHCO, Tito Benhadart, sasa mwaka unaenda wa tano.
Kuna wengine wengi tu Keko na Segerea.

Lakini funga kazi ni hii ya VIP na IPTL ya akina Rugemalira na Singh


Mimi si mwanasheria , lakini ntural justice inaonekana kama wako kizuizini kwa amri na si kwa kesi inayoeleweka.

Hapa naomba DPP na Jeshi la Polisi na hata Magereza wanaowakweka ndani watu bila kujua la kufanya kwa uonezi mkubwa , basi washitakiwe na hata na third party.

Mtu unapomuweka mahabusu , basi ijulikane kuwa kuna kesi ya kujibu.
Lakini watu wanakaa ndani kwa MIAKA MINNE au MITANO, polisi wanachunguza mpaka hawaoni makosa yalikofichwa .
Hapa basi aidha tuna Idara mbovu sana za uchunguzi kipolisi na wameshindwa ku build up a case kutokana na kosa, au ni ubambikwaji tu ambao hauna ushahidi wowote.

Hizi Idara za Mahakama , Polisi na kwa njia ya kusukumiziwa tatizo, Magereza, wamekuwa miungu watu ambao sasa wanajiona wako juu ya utu na sheria.

DPP ashitakiwe.
Kuna mahakama huru?
 
Kuna kesi nyingi ambazo watu ambao wamebambikwa , na kuwa watuhumiwa wa karne, haziendi mbele wala hakuna kinachoendelea.

Mimi si mwanasheria , lakini ntural justice inaonekana kama wako kizuizini kwa amri na si kwa kesi inayoeleweka.

Hapa naomba DPP na Jeshi la Polisi na hata Magereza wanaowakweka ndani watu bila kujua la kufanya kwa uonezi mkubwa , basi washitakiwe na hata na third party.

Hizi Idara za Mahakama , Polisi na kwa njia ya kusukumiziwa tatizo, Magereza, wamekuwa miungu watu ambao sasa wanajiona wako juu ya utu na sheria.

DPP ashitakiwe.
Kama ni kweli, kama unavyosema, DDP ameamrishwa, hivyo ni kesi za kubambika, sasa washitakiwe kwa nini ili hali umeeleza wamepewa amri?!. Manyanyaso, maonevu, dhulma, kumbambikia watu kesi, kusotesha watu mahabusu, kutotenda haki etc, issues hizi huwa zinashughulikiwa na karma. Mama Samia hataki mambo haya, na keshaelekeza yaangaliwe na yamalizwe.

P
 
Kama ni kweli, kama unavyosema, DDP ameamrishwa, hivyo ni kesi za kubambika, sasa washitakiwe kwa nini ili hali umeeleza wamepewa amri?!. Manyanyaso, maonevu, dhulma, kumbambikia watu kesi, kusotesha watu mahabusu, kutotenda haki etc, issues hizi huwa zinashughulikiwa na karma. Mama Samia hataki mambo haya, na keshaelekeza yaangaliwe na yamalizwe.

P
Mkuu aliyeagiza kubambikwa mtu kesi ndiye anashughulikia na karma.
Haya tumeyaona maishani.

Aliyetekeleza maagizo kinyume na kiapo chake cha kazi , kushitakiwa ni sawa na iko kwenye mstari, maana sheria itamhusu.
 
Kama walikula mzigo unaobebwa kwa sandarusi unawaonea hiruma ya nini?
Dikteta wenu kabaki Story tu
51lNYJ9hVPL._SY445_SX342_QL70_ML2_.jpg
 
Back
Top Bottom