DPP anaposhindwa kuendesha kesi kwa MIAKA MINNE si ashitakiwe?

DPP anaposhindwa kuendesha kesi kwa MIAKA MINNE si ashitakiwe?

Nimeona mwanasheria mmoja hivi kwenye youtube (pete madeleka) anadanganya watu ati pesa hizo huwa zinalipwa kwa DPP, nijuavyo mimi pesa hizo ambazo hata mimi nimeshalipa kwa ndugu zangu, zinalipwa kweney account iliyoko hazina iliyofunguliwa na Treasury registrar. hela zile haziendi kwenye ofisi yeyote nyingine. au yule jamaa alikuwa anamaanisha nini?
 
Inahitajika mjadala mzito na mkubwa sana kwa ukweli ulielezwa na mwanasheria huyu pmadeleka.

Waziri wa sheria na katiba inabidi ashughulikie haya yanayowatesa watuhumiwa wetu kwa mujibu wa sheria.

Huko Uhamiaji nako wajipange kujibu tuhuma hizi zilizoibuliwa na wakili huyu. Mengi aliyaysema juu ya uendeshwaji wa makosa ya jinai yana ukweli. Mfano mtu kupelekwa mahakamani ili hali hajathibitishwa kama kweli amekosa

Msikilize hapa akimwaga sumu kali on broad daylight

 
DPP kawa Jaji sasa mikesi yake ya hovyo yeye ndio anaenda kuiamua sasa, hatari sana maisha yanakwenda kasi mno.
 
Tukimpata DPP asiye na maadili (ethics), hizi "Plea bargain" na "Nolle prosequi" zinaweza kumfanya kuwa billionaire. Nadha hata huyu Biswalo kazitumia sana hizi.
Takukuru nao hawamuoni.
Au kwenye hii nchi ya kinga DPP nae amekingwa
 
DPP kawa Jaji sasa mikesi yake ya hovyo yeye ndio anaenda kuiamua sasa, hatari sana maisha yanakwenda kasi mno.
Kama vile majaji wamekua watazamaji na wasikilizaji wa maamuzi ya DPP.
Mganga ameuteka mhimili wa kutafsiri sheria
.Iandikwe hivyo kwenye vitabu vya kumbukumbu
 
Kama vile majaji wamekua watazamaji na wasikilizaji wa maamuzi ya DPP.
Mganga ameuteka mhimili wa kutafsiri sheria
.Iandikwe hivyo kwenye vitabu vya kumbukumbu
Wamelawitiwa sana kisheria , kumbuka alivyoenda kumtoa mahabusu usiku kesho yake akaapishwa ubunge na ndugway
 
Rais alikuwa ni JK pekee hawa wengine ni waigizaji tupu, JK nakumbuka watu walipiga kelele kuhusu mama wa pesa ya mboga na Ezekieli Maige akawatoa haraka sn, ikaja akina Hamis Kagasheki naye akamtoka, Emmanuel Nchimbi jambo sikuwa nimepevuka sn lakini hayo matukio nayakumbuka sn, huwezi kuwa na DPP takataka kama Mganga kwenye ofisi za umma pamoja Ole Sabaya ni mpuuzi mkubwa sn na dharau kwa wananchi.
Heshima kitu cha bure, huwezi kumuita mtu takataka au mpuuzi, huku ni kutukana!.
P
 
Inahitajika mjadala mzito na mkubwa sana kwa ukweli ulielezwa na mwanasheria huyu pmadeleka.

Waziri wa sheria na katiba inabidi ashughulikie haya yanayowatesa watuhumiwa wetu kwa mujibu wa sheria.

Huko Uhamiaji nako wajipange kujibu tuhuma hizi zilizoibuliwa na wakili huyu. Mengi aliyaysema juu ya uendeshwaji wa makosa ya jinai yana ukweli. Mfano mtu kupelekwa mahakamani ili hali hajathibitishwa kama kweli amekosa

Msikilize hapa akimwaga sumu kali on broad daylight


sijawahi kuona wakili asiye na ufahamu kama huyu, vyote ameongea hapo ni sifuri kabisa.ndio maana mnashindwa kesi aisee.
 
Back
Top Bottom